Spika Tulia punguza kuitetea serikali, waache wabunge watetee wananchi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,502
51,097
Ndugu Spika

Ninakuelewa vizuri, pengine huna uchungu sana na wananchi, kwa sababu mazingira yako ya kuingia bungeni tangu mwanzo, na baada ya uchaguzi 'feki' wa mwaka 2020 ni kwa mbeleko ya dola. Kwa hivyo labda unadhani una cha kuilipa fadhila serikali.

Lakini nataka nikukumbushe tu kuwa nafasi uliyonayo ni nyeti sana, inagusa maslahi ya moja kwa moja ya wananchi. Kwa hiyo nakuomba jambo moja tu kuwa, kama wewe huwezi kutetea wananchi, basi angalau waache wabunge watetee na wasimamie maslahi ya wananchi.

Ndugu Spika, Nimekufuatilia jinsi unavyoendesha bunge haswa katika huu mgogoro wa wananchi wa kimasai huko Ngorongoro na Loliondo, umeonekana huna chembe ya kujali hata kodogo madhila yanayowakuta wananchi wa kimasai.

Wewe unaitetea serikali. Ulianza kwa kuagiza yupe aliyerekodi clip iliyoonyesha wananchi wakikimbia mirindimo ya risasi na mabomu yaliyokuwa yakirushwa na maaskari eti akamatwe, ukasema eti tuko katika vita ya kiuchumi.

Ndugu Tulia, vita ya kiuchumi ndo inamaanisha dola kunyanyasa, kutesa na kuhujumu wananchi wake yenyewe?

Cha kushangaza, badala ya kumuacha Mbunge wa wananchi mheshimiwa Sendeka awakilishe wananchi kwa uhuru na uwazi kadri ya ufahamu wake wewe ukajigeuza Wakili wa serikali kuuliza maswali utadhani bungeni tuko mahakamani. Spika ulitaka kuachive nini? Ulitaka kumfurahisha nani? Ulikuwa unamtetea nani, kwa nini na kwa faida ya nani?

Bahati Nzuri Ole Sendeka alikusomea barua ya Waziri mkuu mstaafu ndugu Mizengo Pinda, ikikutanabahisha kuwa uwelewa wa Serikali kuhusu eneo la Loliondo kuwa ni maeneo ya vijiji vya wananchi kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2009 ya uhifadhi, na kwamba uelewa wa serikali ni kuwa sheria hiyo ilifuta sheria ya uhifadhi ya mwaka 1974. Sasa wewe Tulia ulitaka kuprove bungeni kuwa serikali na akina Mizengo Pinda walikosea kudhani kuwa sheria hiyo ya mwaka 2009 ilifuta ile ya mwaka 1974?

Ndugu Tulia, unafahamika vizuri toka zamani kuwa pale maslahi ya serikali na CCM yanapohongana na wananchi wewe huwa unasimama na serikali, na ndiyo maana unakumbukwa kwa kesi maarufu ya wananchi wasimame umbali gani kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura.

Yote hii ni kuzuia wananchi wasilinde kura zao zisichakachuliwe. Sasa naona na kwenye hii issue ya ndugu zetu wamasai wewe hujaoi hata kidogo feelings zao, bali upo kuhakikisha dola inalindiwa taswira yake, licha ya uonevu mkubwa wanaotendewa wamasai underground.

Ndugu Spika, Je unajua kuwa OBC na mwanamfalme walikuja nchini kimagumashi?

Ndugu Spika je unajua kuwa OBC inashutumiwa kunuka rushwa na kununua watu kibao tangu ilipoingia nchini?

Ndugu Spika hebu amua sasa. Na wewe uko tayari kuingia katika payroll, au kufanya bidding ya kampuni ya mwarabu ya OBC au unataka kusimama na wananchi?

Ndugu Spika, ushauri wangu kwako. Simama na wananchi, achana na hao waliowekwa mfukoni na OBC. Maana kama kuna machafuko yatakayokuja Tanzania, nayaona yataletwa na hiyo kampuni ikishirikiana na madalali wao, wengine wakiwa ni watu waliowahi kushika nyadhifa kubwa katika nchi hii.

Ndugu Spika,

Wananchi tunataka uhuru wetu, ila naona makampuni ya nje kama hiyo OBC ikishirikiana na madalali wauza nchi wanataka kuupoka huo uhuru. Hatutakubali!
 
Unaweza kua msomi ili usifahamu kuongoza watu. Wasomi wengi wanalazimisha ili. Uspika kaupata kwa neema zake uvccm na ccm unategemea atafanya nini kipya
 
Ndugu Spika

Ninakuelewa vizuri, pengine huna uchungu sana na wananchi, kwa sababu mazingira yako ya kuingia bungeni tangu mwanzo, na baada ya uchaguzi 'feki' wa mwaka 2020 ni kwa mbeleko ya dola. Kwa hivyo labda unadhani una cha kuilipa fadhila serikali.

Lakini nataka nikukumbushe tu kuwa nafasi uliyonayo ni nyeti sana, inagusa maslahi ya moja kwa moja ya wananchi. Kwa hiyo nakuomba jambo moja tu kuwa, kama wewe huwezi kutetea wananchi, basi angalau waache wabunge watetee na wasimamie maslahi ya wananchi.

Ndugu Spika, Nimekufuatilia jinsi unavyoendesha bunge haswa katika huu mgogoro wa wananchi wa kimasai huko Ngorongoro na Loliondo, umeonekana huna chembe ya kujali hata kodogo madhila yanayowakuta wananchi wa kimasai.

Wewe unaitetea serikali. Ulianza kwa kuagiza yupe aliyerekodi clip iliyoonyesha wananchi wakikimbia mirindimo ya risasi na mabomu yaliyokuwa yakirushwa na maaskari eti akamatwe, ukasema eti tuko katika vita ya kiuchumi.

Ndugu Tulia, vita ya kiuchumi ndo inamaanisha dola kunyanyasa, kutesa na kuhujumu wananchi wake yenyewe?

Cha kushangaza, badala ya kumuacha Mbunge wa wananchi mheshimiwa Sendeka awakilishe wananchi kwa uhuru na uwazi kadri ya ufahamu wake wewe ukajigeuza Wakili wa serikali kuuliza maswali utadhani bungeni tuko mahakamani. Spika ulitaka kuachive nini? Ulitaka kumfurahisha nani? Ulikuwa unamtetea nani, kwa nini na kwa faida ya nani?

Bahati Nzuri Ole Sendeka alikusomea barua ya Waziri mkuu mstaafu ndugu Mizengo Pinda, ikikutanabahisha kuwa uwelewa wa Serikali kuhusu eneo la Loliondo kuwa ni maeneo ya vijiji vya wananchi kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2009 ya uhifadhi, na kwamba uelewa wa serikali ni kuwa sheria hiyo ilifuta sheria ya uhifadhi ya mwaka 1974. Sasa wewe Tulia ulitaka kuprove bungeni kuwa serikali na akina Mizengo Pinda walikosea kudhani kuwa sheria hiyo ya mwaka 2009 ilifuta ile ya mwaka 1974?

Ndugu Tulia, unafahamika vizuri toka zamani kuwa pale maslahi ya serikali na CCM yanapohongana na wananchi wewe huwa unasimama na serikali, na ndiyo maana unakumbukwa kwa kesi maarufu ya wananchi wasimame umbali gani kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura.

Yote hii ni kuzuia wananchi wasilinde kura zao zisichakachuliwe. Sasa naona na kwenye hii issue ya ndugu zetu wamasai wewe hujaoi hata kidogo feelings zao, bali upo kuhakikisha dola inalindiwa taswira yake, licha ya uonevu mkubwa wanaotendewa wamasai underground.

Ndugu Spika, Je unajua kuwa OBC na mwanamfalme walikuja nchini kimagumashi?

Ndugu Spika je unajua kuwa OBC inashutumiwa kunuka rushwa na kununua watu kibao tangu ilipoingia nchini?

Ndugu Spika hebu amua sasa. Na wewe uko tayari kuingia katika payroll, au kufanya bidding ya kampuni ya mwarabu ya OBC au unataka kusimama na wananchi?

Ndugu Spika, ushauri wangu kwako. Simama na wananchi, achana na hao waliowekwa mfukoni na OBC. Maana kama kuna machafuko yatakayokuja Tanzania, nayaona yataletwa na hiyo kampuni ikishirikiana na madalali wao, wengine wakiwa ni watu waliowahi kushika nyadhifa kubwa katika nchi hii.

Ndugu Spika,

Wananchi tunataka uhuru wetu, ila naona makampuni ya nje kama hiyo OBC ikishirikiana na madalali wauza nchi wanataka kuupoka huo uhuru. Hatutakubali!

Marehemu Meko katuachia msala mkubwa sana, kusanyiko la mazuzu wa CCM na Spika mtetezi wa Serikali. Natamani hata wangepigwa stroke wote hapo mjengoni kila anayetoka na kikopo chake mkononi kukinga mimate inayomwagika ovyo.
 
Ndugu Spika

Ninakuelewa vizuri, pengine huna uchungu sana na wananchi, kwa sababu mazingira yako ya kuingia bungeni tangu mwanzo, na baada ya uchaguzi 'feki' wa mwaka 2020 ni kwa mbeleko ya dola. Kwa hivyo labda unadhani una cha kuilipa fadhila serikali.

Lakini nataka nikukumbushe tu kuwa nafasi uliyonayo ni nyeti sana, inagusa maslahi ya moja kwa moja ya wananchi. Kwa hiyo nakuomba jambo moja tu kuwa, kama wewe huwezi kutetea wananchi, basi angalau waache wabunge watetee na wasimamie maslahi ya wananchi.

Ndugu Spika, Nimekufuatilia jinsi unavyoendesha bunge haswa katika huu mgogoro wa wananchi wa kimasai huko Ngorongoro na Loliondo, umeonekana huna chembe ya kujali hata kodogo madhila yanayowakuta wananchi wa kimasai.

Wewe unaitetea serikali. Ulianza kwa kuagiza yupe aliyerekodi clip iliyoonyesha wananchi wakikimbia mirindimo ya risasi na mabomu yaliyokuwa yakirushwa na maaskari eti akamatwe, ukasema eti tuko katika vita ya kiuchumi.

Ndugu Tulia, vita ya kiuchumi ndo inamaanisha dola kunyanyasa, kutesa na kuhujumu wananchi wake yenyewe?

Cha kushangaza, badala ya kumuacha Mbunge wa wananchi mheshimiwa Sendeka awakilishe wananchi kwa uhuru na uwazi kadri ya ufahamu wake wewe ukajigeuza Wakili wa serikali kuuliza maswali utadhani bungeni tuko mahakamani. Spika ulitaka kuachive nini? Ulitaka kumfurahisha nani? Ulikuwa unamtetea nani, kwa nini na kwa faida ya nani?

Bahati Nzuri Ole Sendeka alikusomea barua ya Waziri mkuu mstaafu ndugu Mizengo Pinda, ikikutanabahisha kuwa uwelewa wa Serikali kuhusu eneo la Loliondo kuwa ni maeneo ya vijiji vya wananchi kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2009 ya uhifadhi, na kwamba uelewa wa serikali ni kuwa sheria hiyo ilifuta sheria ya uhifadhi ya mwaka 1974. Sasa wewe Tulia ulitaka kuprove bungeni kuwa serikali na akina Mizengo Pinda walikosea kudhani kuwa sheria hiyo ya mwaka 2009 ilifuta ile ya mwaka 1974?

Ndugu Tulia, unafahamika vizuri toka zamani kuwa pale maslahi ya serikali na CCM yanapohongana na wananchi wewe huwa unasimama na serikali, na ndiyo maana unakumbukwa kwa kesi maarufu ya wananchi wasimame umbali gani kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura.

Yote hii ni kuzuia wananchi wasilinde kura zao zisichakachuliwe. Sasa naona na kwenye hii issue ya ndugu zetu wamasai wewe hujaoi hata kidogo feelings zao, bali upo kuhakikisha dola inalindiwa taswira yake, licha ya uonevu mkubwa wanaotendewa wamasai underground.

Ndugu Spika, Je unajua kuwa OBC na mwanamfalme walikuja nchini kimagumashi?

Ndugu Spika je unajua kuwa OBC inashutumiwa kunuka rushwa na kununua watu kibao tangu ilipoingia nchini?

Ndugu Spika hebu amua sasa. Na wewe uko tayari kuingia katika payroll, au kufanya bidding ya kampuni ya mwarabu ya OBC au unataka kusimama na wananchi?

Ndugu Spika, ushauri wangu kwako. Simama na wananchi, achana na hao waliowekwa mfukoni na OBC. Maana kama kuna machafuko yatakayokuja Tanzania, nayaona yataletwa na hiyo kampuni ikishirikiana na madalali wao, wengine wakiwa ni watu waliowahi kushika nyadhifa kubwa katika nchi hii.

Ndugu Spika,

Wananchi tunataka uhuru wetu, ila naona makampuni ya nje kama hiyo OBC ikishirikiana na madalali wauza nchi wanataka kuupoka huo uhuru. Hatutakubali!
MHIMILI NI mmoja tu hakuna cha BUNGE wala MAHAKAMA lazima wote Wajumbe MAPAMBIO

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
OBC inafahamika kwa kutembeza rupia , usikute huyu Spika naye keshanunuliwa.

Wangalau spika Sita alisimama kama spika, lakini maspika wengine wote waliofuata ni kama huwekwa na serikali na hupewa muongozo na serikali jinsi ya kuliendesha bunge. Hivyo hawa maspika wanapokaa kwenye hicho kiti ni kama wanashindana kujipendekeza kwa serikali. Na huyu spika Tulia amekithiri kwenye kuchezea sheria toka awe naibu spika na sasa spika. Sehemu kubwa ya sheria anazotumia sio sheria kama sheria, bali nguvu ya dola ndio imekuwa sehemu ya kulindia sheria zake.
 
Ni upunguani wa akili kuamini kuwa Tanzania ina Bunge🐒🐒🐒

 
Spika anasimamia ukweli,wabunge wenu wengi ni vilaza na hawana Takwimu..

Huwa wanahemka kamanavyofanya nyie humu mitandaoni,watu hamna data wala hamna uelewa wa mambo ila mna hemka..

Sasa ukikutana na Spika kama Tulia ambae anataka ushahidi wa unachoongea lazima akuzingue yule ni msomi sio mburula.
Ndugu Spika

Ninakuelewa vizuri, pengine huna uchungu sana na wananchi, kwa sababu mazingira yako ya kuingia bungeni tangu mwanzo, na baada ya uchaguzi 'feki' wa mwaka 2020 ni kwa mbeleko ya dola. Kwa hivyo labda unadhani una cha kuilipa fadhila serikali.

Lakini nataka nikukumbushe tu kuwa nafasi uliyonayo ni nyeti sana, inagusa maslahi ya moja kwa moja ya wananchi. Kwa hiyo nakuomba jambo moja tu kuwa, kama wewe huwezi kutetea wananchi, basi angalau waache wabunge watetee na wasimamie maslahi ya wananchi.

Ndugu Spika, Nimekufuatilia jinsi unavyoendesha bunge haswa katika huu mgogoro wa wananchi wa kimasai huko Ngorongoro na Loliondo, umeonekana huna chembe ya kujali hata kodogo madhila yanayowakuta wananchi wa kimasai.

Wewe unaitetea serikali. Ulianza kwa kuagiza yupe aliyerekodi clip iliyoonyesha wananchi wakikimbia mirindimo ya risasi na mabomu yaliyokuwa yakirushwa na maaskari eti akamatwe, ukasema eti tuko katika vita ya kiuchumi.

Ndugu Tulia, vita ya kiuchumi ndo inamaanisha dola kunyanyasa, kutesa na kuhujumu wananchi wake yenyewe?

Cha kushangaza, badala ya kumuacha Mbunge wa wananchi mheshimiwa Sendeka awakilishe wananchi kwa uhuru na uwazi kadri ya ufahamu wake wewe ukajigeuza Wakili wa serikali kuuliza maswali utadhani bungeni tuko mahakamani. Spika ulitaka kuachive nini? Ulitaka kumfurahisha nani? Ulikuwa unamtetea nani, kwa nini na kwa faida ya nani?

Bahati Nzuri Ole Sendeka alikusomea barua ya Waziri mkuu mstaafu ndugu Mizengo Pinda, ikikutanabahisha kuwa uwelewa wa Serikali kuhusu eneo la Loliondo kuwa ni maeneo ya vijiji vya wananchi kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2009 ya uhifadhi, na kwamba uelewa wa serikali ni kuwa sheria hiyo ilifuta sheria ya uhifadhi ya mwaka 1974. Sasa wewe Tulia ulitaka kuprove bungeni kuwa serikali na akina Mizengo Pinda walikosea kudhani kuwa sheria hiyo ya mwaka 2009 ilifuta ile ya mwaka 1974?

Ndugu Tulia, unafahamika vizuri toka zamani kuwa pale maslahi ya serikali na CCM yanapohongana na wananchi wewe huwa unasimama na serikali, na ndiyo maana unakumbukwa kwa kesi maarufu ya wananchi wasimame umbali gani kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura.

Yote hii ni kuzuia wananchi wasilinde kura zao zisichakachuliwe. Sasa naona na kwenye hii issue ya ndugu zetu wamasai wewe hujaoi hata kidogo feelings zao, bali upo kuhakikisha dola inalindiwa taswira yake, licha ya uonevu mkubwa wanaotendewa wamasai underground.

Ndugu Spika, Je unajua kuwa OBC na mwanamfalme walikuja nchini kimagumashi?

Ndugu Spika je unajua kuwa OBC inashutumiwa kunuka rushwa na kununua watu kibao tangu ilipoingia nchini?

Ndugu Spika hebu amua sasa. Na wewe uko tayari kuingia katika payroll, au kufanya bidding ya kampuni ya mwarabu ya OBC au unataka kusimama na wananchi?

Ndugu Spika, ushauri wangu kwako. Simama na wananchi, achana na hao waliowekwa mfukoni na OBC. Maana kama kuna machafuko yatakayokuja Tanzania, nayaona yataletwa na hiyo kampuni ikishirikiana na madalali wao, wengine wakiwa ni watu waliowahi kushika nyadhifa kubwa katika nchi hii.

Ndugu Spika,

Wananchi tunataka uhuru wetu, ila naona makampuni ya nje kama hiyo OBC ikishirikiana na madalali wauza nchi wanataka kuupoka huo uhuru. Hatutakubali!
 
Dr Tulia angekuwa mwalimu mzuri sana wa sheria akiamua kufundisha na angetengeneza wanasheria bora wengi.

Mie nadhani aeleweki kwa sababu yupo too academic kwenye ku reason halafu ni mwanasheria na hapo wabunge ndio wanapopata tabu akilalia kiti kwa jinsi anavyofiria.

Yeye anataka unachoongea lazima kiwe na merit za evidence zinazokubalika ata mahakamani sio source za ovyo ovyo, kama utajenga premise kwa kutumia sheria uwe na ufahamu on what the law implies literally. Anawakumbusha wabunge mara kwa mara watambue lile jumba ni sehemu muhimu sio sehemu ya kujibia unofficial statement za nchi nyingine wanazookota mitandaoni.

In short she is too academic na mara nyingi amekuwa mwalimu kwa wabunge aki-demand michango yao either iwe researched kwanza rightly and quoting right legal passages sio kuropoka ovyo; hapo ndio nadhani aeleweki.

Wabunge wanapata tabu nae maana ni muda mrefu awajakutana na msomi wa kweli wa sheria kama speaker; washazoea kiti kukaliwa na watu wanaotegemea team ya bunge kuwatafsiria sheria lakini speaker anaufahamu wa kuwajibu papo hapo kisheria.

Hiyo sio kusema hana katabia cha unazi wa kichama at times.

Tatizo zaidi ni naibu speaker yule mzee ni big mistake anaedhani wabunge ni kama watoto wadogo anaweza wakaripia wakati kuna watu wapo umri nae sawa, wamemzidi elimu na mafanikio; sikupenda kabisa alivyomjibu Kimei akichangia kwenye budget. Naibu speaker aache uswahili na aheshimu watu uwezi kuwakaripia watu wazima wenye heshima kwenye jamii zao, watoto na wajukuu; awe na adabu yule babu ovyo sana.
 
Spika anasimamia ukweli,wabunge wenu wengi ni vilaza na hawana Takwimu..

Huwa wanahemka kamanavyofanya nyie humu mitandaoni,watu hamna data wala hamna uelewa wa mambo ila mna hemka..

Sasa ukikutana na Spika kama Tulia ambae anataka ushahidi wa unachoongea lazima akuzingue yule ni msomi sio mburula.
Kabisa I agree with you 100% ili ndio tatizo lake she is too academic and a lawyer too; she demands quality accepted evidence na unachoongea au ujue what the law implies sio watu wajiropokee tu.

Hapo ndio wabunge wenye elimu ya kuunga unga wanapopata shida nae.
 
Ndugu Spika

Ninakuelewa vizuri, pengine huna uchungu sana na wananchi, kwa sababu mazingira yako ya kuingia bungeni tangu mwanzo, na baada ya uchaguzi 'feki' wa mwaka 2020 ni kwa mbeleko ya dola. Kwa hivyo labda unadhani una cha kuilipa fadhila serikali.

Lakini nataka nikukumbushe tu kuwa nafasi uliyonayo ni nyeti sana, inagusa maslahi ya moja kwa moja ya wananchi. Kwa hiyo nakuomba jambo moja tu kuwa, kama wewe huwezi kutetea wananchi, basi angalau waache wabunge watetee na wasimamie maslahi ya wananchi.

Ndugu Spika, Nimekufuatilia jinsi unavyoendesha bunge haswa katika huu mgogoro wa wananchi wa kimasai huko Ngorongoro na Loliondo, umeonekana huna chembe ya kujali hata kodogo madhila yanayowakuta wananchi wa kimasai.

Wewe unaitetea serikali. Ulianza kwa kuagiza yupe aliyerekodi clip iliyoonyesha wananchi wakikimbia mirindimo ya risasi na mabomu yaliyokuwa yakirushwa na maaskari eti akamatwe, ukasema eti tuko katika vita ya kiuchumi.

Ndugu Tulia, vita ya kiuchumi ndo inamaanisha dola kunyanyasa, kutesa na kuhujumu wananchi wake yenyewe?

Cha kushangaza, badala ya kumuacha Mbunge wa wananchi mheshimiwa Sendeka awakilishe wananchi kwa uhuru na uwazi kadri ya ufahamu wake wewe ukajigeuza Wakili wa serikali kuuliza maswali utadhani bungeni tuko mahakamani. Spika ulitaka kuachive nini? Ulitaka kumfurahisha nani? Ulikuwa unamtetea nani, kwa nini na kwa faida ya nani?

Bahati Nzuri Ole Sendeka alikusomea barua ya Waziri mkuu mstaafu ndugu Mizengo Pinda, ikikutanabahisha kuwa uwelewa wa Serikali kuhusu eneo la Loliondo kuwa ni maeneo ya vijiji vya wananchi kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2009 ya uhifadhi, na kwamba uelewa wa serikali ni kuwa sheria hiyo ilifuta sheria ya uhifadhi ya mwaka 1974. Sasa wewe Tulia ulitaka kuprove bungeni kuwa serikali na akina Mizengo Pinda walikosea kudhani kuwa sheria hiyo ya mwaka 2009 ilifuta ile ya mwaka 1974?

Ndugu Tulia, unafahamika vizuri toka zamani kuwa pale maslahi ya serikali na CCM yanapohongana na wananchi wewe huwa unasimama na serikali, na ndiyo maana unakumbukwa kwa kesi maarufu ya wananchi wasimame umbali gani kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura.

Yote hii ni kuzuia wananchi wasilinde kura zao zisichakachuliwe. Sasa naona na kwenye hii issue ya ndugu zetu wamasai wewe hujaoi hata kidogo feelings zao, bali upo kuhakikisha dola inalindiwa taswira yake, licha ya uonevu mkubwa wanaotendewa wamasai underground.

Ndugu Spika, Je unajua kuwa OBC na mwanamfalme walikuja nchini kimagumashi?

Ndugu Spika je unajua kuwa OBC inashutumiwa kunuka rushwa na kununua watu kibao tangu ilipoingia nchini?

Ndugu Spika hebu amua sasa. Na wewe uko tayari kuingia katika payroll, au kufanya bidding ya kampuni ya mwarabu ya OBC au unataka kusimama na wananchi?

Ndugu Spika, ushauri wangu kwako. Simama na wananchi, achana na hao waliowekwa mfukoni na OBC. Maana kama kuna machafuko yatakayokuja Tanzania, nayaona yataletwa na hiyo kampuni ikishirikiana na madalali wao, wengine wakiwa ni watu waliowahi kushika nyadhifa kubwa katika nchi hii.

Ndugu Spika,

Wananchi tunataka uhuru wetu, ila naona makampuni ya nje kama hiyo OBC ikishirikiana na madalali wauza nchi wanataka kuupoka huo uhuru. Hatutakubali!
Hata mimi sijamuelewa sijui ni uendeshaji gani wa Bunge.Ni mbunge wangu ila sioni future kwenye jimbo langu la mbeya mjini.
 
Back
Top Bottom