DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,910
- 18,411
Hayo ameyasema leo wazi Ikiwa ni muendelezo wa kile kinacholalamikiwa na Wananchi kwa wabunge kuuliza maswali mepesi Bungeni huku maswali magumu na ya Kimaendeleo wakiyaacha na kuogopa kuyauliza ....
Spika Dkt Tulia ameongea Hayo baada ya waziri Dugange kujibu swali lililokuwa linauliza Upungufu wa Vyoo Kwenye zahanati..
"Wabunge hapa wameuliza kuhusu vyoo na wewe (Naibu Waziri Dugange) kwenye majibu yako ukatoa majibu, nafikiri kwa nchi yetu tulipofikia ni mahali ambapo hatutakiwi kuwa tunazungumza vyoo kwenye zahanati, choo kimoja pale vyoo viwili pale, serikali inafanya kazi sana na kuna mambo mengi sana ya kujibu na Kuyaongelea na hakuna sababu ya kujadili vyoo humu ndani," - Spika wa Bunge, Dkt @TuliaAckson
HIli jibu limefanya niendelee kuona Huenda bunge letu linaweza kurejea kwenye ajenda maalumu za kitaifa kuliko kujadili Vitu ambavyo wananchi wanaona havina msingi
Spika Dkt Tulia ameongea Hayo baada ya waziri Dugange kujibu swali lililokuwa linauliza Upungufu wa Vyoo Kwenye zahanati..
"Wabunge hapa wameuliza kuhusu vyoo na wewe (Naibu Waziri Dugange) kwenye majibu yako ukatoa majibu, nafikiri kwa nchi yetu tulipofikia ni mahali ambapo hatutakiwi kuwa tunazungumza vyoo kwenye zahanati, choo kimoja pale vyoo viwili pale, serikali inafanya kazi sana na kuna mambo mengi sana ya kujibu na Kuyaongelea na hakuna sababu ya kujadili vyoo humu ndani," - Spika wa Bunge, Dkt @TuliaAckson
HIli jibu limefanya niendelee kuona Huenda bunge letu linaweza kurejea kwenye ajenda maalumu za kitaifa kuliko kujadili Vitu ambavyo wananchi wanaona havina msingi