K Kamundu Platinum Member Joined Nov 22, 2006 Posts 9,571 Reaction score 14,875 Sep 2, 2022 #1 Inasikitisha miaka yote ya ubunge unakumbukwa kwa haya tu. Fanyeni kazi kwa haki huwezi kujua kesho yako.
Inasikitisha miaka yote ya ubunge unakumbukwa kwa haya tu. Fanyeni kazi kwa haki huwezi kujua kesho yako.
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,897 Reaction score 14,447 Sep 2, 2022 #2 Atakumbukwa pia kwa kumtandika mpinzani wake bakora mpaka akazima wakati wa uchaguzi
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 61,558 Reaction score 74,369 Sep 2, 2022 #3 Ametupwa Huko, Hasikiki
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 27,687 Reaction score 65,270 Sep 2, 2022 #4 Umesahau picha ya rais wa Mbeya a.k.a Sugu. Yote haya aliyasababisha Ndugai
Kinyungu Platinum Member Joined Apr 6, 2008 Posts 22,360 Reaction score 44,971 Sep 2, 2022 #5 Nakikumbuka alivyomrudisha kihuni Bw. Cecil Mwambe pale Bungeni huwa naona huyu jamaa alikuwa zero brain kabisa
Nakikumbuka alivyomrudisha kihuni Bw. Cecil Mwambe pale Bungeni huwa naona huyu jamaa alikuwa zero brain kabisa