K Kamundu Platinum Member Nov 22, 2006 6,606 8,744 Sep 2, 2022 #1 Inasikitisha miaka yote ya ubunge unakumbukwa kwa haya tu. Fanyeni kazi kwa haki huwezi kujua kesho yako.
Inasikitisha miaka yote ya ubunge unakumbukwa kwa haya tu. Fanyeni kazi kwa haki huwezi kujua kesho yako.
Kanali G JF-Expert Member Oct 21, 2013 9,902 14,378 Sep 2, 2022 #2 Atakumbukwa pia kwa kumtandika mpinzani wake bakora mpaka akazima wakati wa uchaguzi
S Sexless JF-Expert Member Mar 11, 2017 21,563 50,407 Sep 2, 2022 #4 Umesahau picha ya rais wa Mbeya a.k.a Sugu. Yote haya aliyasababisha Ndugai
Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,369 33,015 Sep 2, 2022 #5 Nakikumbuka alivyomrudisha kihuni Bw. Cecil Mwambe pale Bungeni huwa naona huyu jamaa alikuwa zero brain kabisa
Nakikumbuka alivyomrudisha kihuni Bw. Cecil Mwambe pale Bungeni huwa naona huyu jamaa alikuwa zero brain kabisa