Spika Ndugai utakumbukwa kwa lipi?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,606
8,744
Inasikitisha miaka yote ya ubunge unakumbukwa kwa haya tu. Fanyeni kazi kwa haki huwezi kujua kesho yako.

1662141862005.png


1662141899911.png

1662141925253.png


1662141971079.png

1662142051649.png
 
Atakumbukwa pia kwa kumtandika mpinzani wake bakora mpaka akazima wakati wa uchaguzi
 
Umesahau picha ya rais wa Mbeya a.k.a Sugu.
Yote haya aliyasababisha Ndugai
Screenshot_20220902-223617.png
 
Nakikumbuka alivyomrudisha kihuni Bw. Cecil Mwambe pale Bungeni huwa naona huyu jamaa alikuwa zero brain kabisa
 
Back
Top Bottom