uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,002
- 8,396
Spika Ndugai aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kukosoa ufisadi wa serikali
Mapema kabisa alipoona Serikali ya Samia imepotea njia alikuja hadharani kuishauri Serkali iache kuingia mikataba ya kuuza nchi ( wakati ule mikataba ilikuwa imefichwa kusubiria muda rasmi)
Wakaanza mkataba wa kwanza wa kuuza Ngorongoro kwa waarabu
Leo hii wakazi wa Ngorongoro waliofukuzwa hawana pa kuishi
Umekuja huu mkataba wa kuuza bandari za Tanzania kwa Waarabu
Yote haya Mh. Ndugai aliyasema kwasababu aliyaona kabla ya kuletwa hadharani
Sasa yule mropokaji wa Arusha aliyekuwa anaendeshwa na chuki badala ya hoja akamjia juu Ndugai kuwa chadema itasimama na anayeuza nchini (bila yeye kujua) kuliko kusimama na Ndugai anayejaribu kufufua uozo wa Serikali
Lema amekaa bungeni miaka mingi tu ina maana hata kujitafutia maarifa nje ya mfumo rasmi wa elimu ameshindwa?
Kwa aina ya wabunge tena wa upinzani wanaotetea serkali kuuzwa je wajukuu na vitukuu vyetu wataikuta ile nchi imara aliyotuachia Nyerere? Au wajukuu wetu watakuwa wakiwa watumwa ndani ya nchi yao?
Nakulilia Tanganyika yangu
Mapema kabisa alipoona Serikali ya Samia imepotea njia alikuja hadharani kuishauri Serkali iache kuingia mikataba ya kuuza nchi ( wakati ule mikataba ilikuwa imefichwa kusubiria muda rasmi)
Wakaanza mkataba wa kwanza wa kuuza Ngorongoro kwa waarabu
Leo hii wakazi wa Ngorongoro waliofukuzwa hawana pa kuishi
Umekuja huu mkataba wa kuuza bandari za Tanzania kwa Waarabu
Yote haya Mh. Ndugai aliyasema kwasababu aliyaona kabla ya kuletwa hadharani
Sasa yule mropokaji wa Arusha aliyekuwa anaendeshwa na chuki badala ya hoja akamjia juu Ndugai kuwa chadema itasimama na anayeuza nchini (bila yeye kujua) kuliko kusimama na Ndugai anayejaribu kufufua uozo wa Serikali
Lema amekaa bungeni miaka mingi tu ina maana hata kujitafutia maarifa nje ya mfumo rasmi wa elimu ameshindwa?
Kwa aina ya wabunge tena wa upinzani wanaotetea serkali kuuzwa je wajukuu na vitukuu vyetu wataikuta ile nchi imara aliyotuachia Nyerere? Au wajukuu wetu watakuwa wakiwa watumwa ndani ya nchi yao?
Nakulilia Tanganyika yangu