Lema ulimtukana Mzee Ndugai, Umeona aliyonena yametimia?

uwe hodari

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
4,002
8,396
Spika Ndugai aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kukosoa ufisadi wa serikali

Mapema kabisa alipoona Serikali ya Samia imepotea njia alikuja hadharani kuishauri Serkali iache kuingia mikataba ya kuuza nchi ( wakati ule mikataba ilikuwa imefichwa kusubiria muda rasmi)

Wakaanza mkataba wa kwanza wa kuuza Ngorongoro kwa waarabu
Leo hii wakazi wa Ngorongoro waliofukuzwa hawana pa kuishi

Umekuja huu mkataba wa kuuza bandari za Tanzania kwa Waarabu

Yote haya Mh. Ndugai aliyasema kwasababu aliyaona kabla ya kuletwa hadharani

Sasa yule mropokaji wa Arusha aliyekuwa anaendeshwa na chuki badala ya hoja akamjia juu Ndugai kuwa chadema itasimama na anayeuza nchini (bila yeye kujua) kuliko kusimama na Ndugai anayejaribu kufufua uozo wa Serikali

Lema amekaa bungeni miaka mingi tu ina maana hata kujitafutia maarifa nje ya mfumo rasmi wa elimu ameshindwa?

Kwa aina ya wabunge tena wa upinzani wanaotetea serkali kuuzwa je wajukuu na vitukuu vyetu wataikuta ile nchi imara aliyotuachia Nyerere? Au wajukuu wetu watakuwa wakiwa watumwa ndani ya nchi yao?

Nakulilia Tanganyika yangu
 
Spika ndugai aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kukosoa ufisadi wa serikali

mapema kabisa alipoona serikali ya Samia imepotea njia alikuja hadharani kuishauri serkali iache kuingia mikataba ya kuuza nchi ( wakati ule mikataba ilikuwa imefichwa kusubiria muda rasmi)

Wakaanza mkataba wa kwanza wa kuuza ngorongoro kwa waarabu
Leo hii wakazi wa ngorongoro waliofukuzwa hawana pa kuishi


Umekuja huu mkataba wa kuuza bandari za Tanzania kwa Waarabu


Yote haya Mh.ndugai aliyasema kwasababu aliyaona kabla ya kuletwa hadharani

Sasa yule mropokaji wa Arusha aliyekuwa anaendeshwa na chuki badala ya hoja akamjia juu ndugai

Kuwa chadema itasimama na anayeuza nchini (bila yeye kujua) kuliko kusimama na ndugai anayejaribu kufufua uozo wa serkali

Lema amekaa bungeni miaka mingi tu inamaana hata kujitafutia maarifa nje ya mfumo rasmi wa elimu ameshindwa?

Kwa aina ya wabunge tena wa upinzani wanaotetea serkali kuuzwa je wajukuu na vitukuu vyetu wataikuta ile nchi imara aliyotuachia Nyerere? Au wajukuu wetu watakuwa wakiwa watumwa ndani ya nchi yao?

Nakulilia Tanganyika yangu
Wanasema usilolijua ni usiku wa kiza. Sikubaliani na huu uzwazwa wa kuuza nchi kinyemela.

Pia sikubaliani nawe ktk kumlaumu Lema. Kwanza hajahusika na hizi kadhia za CCM na jambo la pili yeye ni raia kama mimi ambaye inabidi atumie msuli na akili kupata taarifa muhimu nyeti.

Tukubaliane kuwa mazuri 100 ya JPM yalifunikwa ama kuchafuliwa na rekodi moja tu, ambayo ni ukandamizaji wa HAKI za binadamu.
 
Spika ndugai aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kukosoa ufisadi wa serikali

mapema kabisa alipoona serikali ya Samia imepotea njia alikuja hadharani kuishauri serkali iache kuingia mikataba ya kuuza nchi ( wakati ule mikataba ilikuwa imefichwa kusubiria muda rasmi)

Wakaanza mkataba wa kwanza wa kuuza ngorongoro kwa waarabu
Leo hii wakazi wa ngorongoro waliofukuzwa hawana pa kuishi


Umekuja huu mkataba wa kuuza bandari za Tanzania kwa Waarabu


Yote haya Mh.ndugai aliyasema kwasababu aliyaona kabla ya kuletwa hadharani

Sasa yule mropokaji wa Arusha aliyekuwa anaendeshwa na chuki badala ya hoja akamjia juu ndugai

Kuwa chadema itasimama na anayeuza nchini (bila yeye kujua) kuliko kusimama na ndugai anayejaribu kufufua uozo wa serkali

Lema amekaa bungeni miaka mingi tu inamaana hata kujitafutia maarifa nje ya mfumo rasmi wa elimu ameshindwa?

Kwa aina ya wabunge tena wa upinzani wanaotetea serkali kuuzwa je wajukuu na vitukuu vyetu wataikuta ile nchi imara aliyotuachia Nyerere? Au wajukuu wetu watakuwa wakiwa watumwa ndani ya nchi yao?

Nakulilia Tanganyika yangu
Hivi unafikiria kwa kutunia MAKUNDUCHI AU MASABURI?

NDUGAI HAFAI
 
Wanasema usilolijua ni usiku wa kiza. Sikubaliani na huu uzwazwa wa kuuza nchi kinyemela.

Pia sikubaliani nawe ktk kumlaumu Lema. Kwanza hajahusika na hizi kadhia za CCM na jambo la pili yeye ni raia kama mimi ambaye inabidi atumie msuli na akili kupata taarifa muhimu nyeti.

Tukubaliane kuwa mazuri 100 ya JPM yalifunikwa ama kuchafuliwa na rekodi moja tu, ambayo ni ukandamizaji wa HAKI za binadamu.
Mwendazake alipowaminya mkakimbilia kwenye hoja kwamba anakandamiza Haki za Binadamu.

Nchi inapambaniwa law damu na jasho, Kufa na kupona, kuua na kusimamia ilimradi tu rasilimali za walio wengi zibaki salama.

Sasa kuwatoa hawa Waarabu tegemeeni kupoteza raia mamia na mamia. Mmeyaona ya Loliondo!!

Kwahiyo kuwaminya wasaliti watatu wanne kwa maslahi mapana ya raia milioni 60 ni jambo la kawaida.

Mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya...JPM
 
Spika ndugai aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kukosoa ufisadi wa serikali

mapema kabisa alipoona serikali ya Samia imepotea njia alikuja hadharani kuishauri serkali iache kuingia mikataba ya kuuza nchi ( wakati ule mikataba ilikuwa imefichwa kusubiria muda rasmi)

Wakaanza mkataba wa kwanza wa kuuza ngorongoro kwa waarabu
Leo hii wakazi wa ngorongoro waliofukuzwa hawana pa kuishi


Umekuja huu mkataba wa kuuza bandari za Tanzania kwa Waarabu


Yote haya Mh.ndugai aliyasema kwasababu aliyaona kabla ya kuletwa hadharani

Sasa yule mropokaji wa Arusha aliyekuwa anaendeshwa na chuki badala ya hoja akamjia juu ndugai

Kuwa chadema itasimama na anayeuza nchini (bila yeye kujua) kuliko kusimama na ndugai anayejaribu kufufua uozo wa serkali

Lema amekaa bungeni miaka mingi tu inamaana hata kujitafutia maarifa nje ya mfumo rasmi wa elimu ameshindwa?

Kwa aina ya wabunge tena wa upinzani wanaotetea serkali kuuzwa je wajukuu na vitukuu vyetu wataikuta ile nchi imara aliyotuachia Nyerere? Au wajukuu wetu watakuwa wakiwa watumwa ndani ya nchi yao?

Nakulilia Tanganyika yangu
Alishindwa Nini kutumia bunge kuikataa hiyo mikataba?
 
Spika ndugai aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kukosoa ufisadi wa serikali

mapema kabisa alipoona serikali ya Samia imepotea njia alikuja hadharani kuishauri serkali iache kuingia mikataba ya kuuza nchi ( wakati ule mikataba ilikuwa imefichwa kusubiria muda rasmi)

Wakaanza mkataba wa kwanza wa kuuza ngorongoro kwa waarabu
Leo hii wakazi wa ngorongoro waliofukuzwa hawana pa kuishi


Umekuja huu mkataba wa kuuza bandari za Tanzania kwa Waarabu


Yote haya Mh.ndugai aliyasema kwasababu aliyaona kabla ya kuletwa hadharani

Sasa yule mropokaji wa Arusha aliyekuwa anaendeshwa na chuki badala ya hoja akamjia juu ndugai

Kuwa chadema itasimama na anayeuza nchini (bila yeye kujua) kuliko kusimama na ndugai anayejaribu kufufua uozo wa serkali

Lema amekaa bungeni miaka mingi tu inamaana hata kujitafutia maarifa nje ya mfumo rasmi wa elimu ameshindwa?

Kwa aina ya wabunge tena wa upinzani wanaotetea serkali kuuzwa je wajukuu na vitukuu vyetu wataikuta ile nchi imara aliyotuachia Nyerere? Au wajukuu wetu watakuwa wakiwa watumwa ndani ya nchi yao?

Nakulilia Tanganyika yangu
Wapi na lini Lemma alimtukana huyo aliyekuwa tarishi wa dhalim Magufuli? Mkishaamka na hang'over za pombe za offer mnakimbilia kuandika mashudu humu.
 
Mwendazake alipowaminya mkakimbilia kwenye hoja kwamba anakandamiza Haki za Binadamu.

Nchi inapambaniwa law damu na jasho, Kufa na kupona, kuua na kusimamia ilimradi tu rasilimali za walio wengi zibaki salama.

Sasa kuwatoa hawa Waarabu tegemeeni kupoteza raia mamia na mamia. Mmeyaona ya Loliondo!!

Kwahiyo kuwaminya wasaliti watatu wanne kwa maslahi mapana ya raia milioni 60 ni jambo la kawaida.

Mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya...JPM
Na wewe mikojo ya wanaume imekuathiri sana
 
Mwendazake alipowaminya mkakimbilia kwenye hoja kwamba anakandamiza Haki za Binadamu.

Nchi inapambaniwa law damu na jasho, Kufa na kupona, kuua na kusimamia ilimradi tu rasilimali za walio wengi zibaki salama.

Sasa kuwatoa hawa Waarabu tegemeeni kupoteza raia mamia na mamia. Mmeyaona ya Loliondo!!

Kwahiyo kuwaminya wasaliti watatu wanne kwa maslahi mapana ya raia milioni 60 ni jambo la kawaida.

Mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya...JPM
Mkuu uwe unatafiti kabla ya kuandika
Mimi nilikuwa pro mwendazake na hili lilitokana na propaganda nyingi za kumsifia hadi wengi tukaingia upofu.

Ninaposema Haki za Binadamu, ni dhahiri kike mwenye akili aliyaona yaliyofanyika ikiwemo watu kupotezwa, wengine kubambikizwa kesi, vitisho vya wazi wazi, kuzuia shughuli za Kidemokrasia na kadhalika.

Leo tunauzwa kama nchi, badala ya kusimama kidete tunaanza kulaumiana na kunyoosheana vidole. Haisaidii
 
Well said brother

Kama hawa majangili ya kiarabu yatauziwa nchi

Kuja kuwatoa kuvunja mikataba yao ya kitapeli zitatumika gharama kubwa sana
Mwendazake alipowaminya mkakimbilia kwenye hoja kwamba anakandamiza Haki za Binadamu.

Nchi inapambaniwa law damu na jasho, Kufa na kupona, kuua na kusimamia ilimradi tu rasilimali za walio wengi zibaki salama.

Sasa kuwatoa hawa Waarabu tegemeeni kupoteza raia mamia na mamia. Mmeyaona ya Loliondo!!

Kwahiyo kuwaminya wasaliti watatu wanne kwa maslahi mapana ya raia milioni 60 ni jambo la kawaida.

Mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya...JPM
 
Back
Top Bottom