Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Kumwaga damu zao ?!!Bila wa Tanganyika kukubali kufia wanachokiamini , bado tutaendelea kufanyiwa viini macho kama ya kina Ndugai & johnthebaptist . WANAFIKI
Ndio ukombozi wautakao utakuja na kusimama milele?!!
Hivi kule Ethiopia walipigana mara moja?!!!
Je mapigano ya huko nyuma yamewaletea WALICHOKIPIGANIA kiasi cha kuepusha mapigano haya mapya ya sasa?!!😲🤣
Leo hii Oromia waliodai wanaonewa miaka yote wanaungana na watesi wao wa miaka yote(TPLF) dhidi ya ndugu yao Abiy Ahmed aliyeibadili "status quo".....hapa unajifunza kuwa WANASIASA NA MAKUNDI YENYE NGUVU WAKO TAYARI kuziingiza nchi katika machafuko kwa KAFARA ZA DAMU ZA WALALAHOI NA MASKINI WALIO WENGI.....
#Siempre JMT
#NchiKwanza