Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Duu, hayo ndiyo mawazo yako, anyway ni uhuru wa mawazoMnooo......
Wakati mwingine kubadili "status quo" ni kukaribisha balaa.....balaa haswaaa......
Hayo ndiyo anayokutana nayo mh.Abiy Ahmed wa Ethiopia na mwishowe "anaitia kibiriti nchi"....
#Siempre JMT
Cc johnthebaptist