Spika Ndugai: Kama bunge halitaibana na kuihoji serikali nani atafanya jukumu hilo?

Ukiona Mkeo na nyumba ndogo yako wamekuwa mashosti basi kaa chonjo unaumizwa !! na kwenye ngazi ya Taifa ukiona Bunge na Serikali ni kitu kimoja basi mwananchi kaa chonjo unaumizwa!!
Ukiwa na mahakama inayoliogopa bunge ndio umekwisha kabisa!!!!!
 
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Chanzo: ITV habari
Mliwanyanyasa mliowaita wapinzani,mkaona ni bora kupelekana mjengoni nyie wenyewe,sasa mnalialia nini.
 
Back
Top Bottom