Spika Ndugai: Kama bunge halitaibana na kuihoji serikali nani atafanya jukumu hilo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,532
141,335
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Chanzo: ITV habari
 
Lema, Zito, Msigwa, Lisu and co waliokuwa wanaibana serikali mliaamua kuwaondoa kwa mkono wa dola, ili mlete wasio wabana! Wameamua kutekeleza kilichofanya muwapeleke, napo mnalalamika.

Isimamie mwenyew Mzee baba, kama unavyo wasimamia wale wadau wako 19!

Mlisema hao jamaa tajwa hapo juu kwamba kusema sema kwao juu ya ubadhirifu na ufisadi, na white elephant projects wanachelewesha Maendeleo, wamekuja wasio zungumza napo mna lalamika! Duuh

Human nature is so complex!
 
CCM hatuwezi kuihoji serikali kwasababu Bashiru tunae atatuandika majina.2025 hawezi kutupitisha kama 2020 waliokuwa wanaihoji serikali walionekana wajuaji.Sasa tumejifunza no KIMYA!
Hats kumuuliza PM KIMYA!

Watusaidie uviko 19.Wao hawana chakupoteza.
 
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Source: ITV habari
Bunge halina mvuto, wabunge wanatoa hoja rojorojo , hazina zege la kutosha!
 
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Source: ITV habari


Tatizo la wabunge wa kubebwa mbona bunge lililopita hakusema haya
 
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Source: ITV habari
Hao ni wabunge wa NDIOOO kila kitu, kama mlivyohitaji. Hata Covid 19 waliingizwa humo kwa kukubali masharti hayohayo.
 
Ndugai ni wa kupuuzwa tuu. Sijawahi kuona mgogo mjinga hivi. Haya anayoyaongea alipaswa kuyasimamia tangu utawala wa magufuli. Sasa magufuli amekufa ndio anajuwa kazi ya bunge ni kusimamia serikali?
Kila zama na kitabu chake!
 
Back
Top Bottom