Spika Ndugai ana personality disorder?

Spika Ndugai ana personality disorder?

Ndugai hafai kua kiongozi ana jazba. Ajifunze japo hata kwa mzee chenge ni mtulivu sana anapoongoza bunge.
 
Dragon rejea tafsiri ya mtoa mada maana ya personality disorder ndiyo uchangie kumbuka huyu jamaa aliwahi mtwisha mpinzani wake rungu mpaka akazimia kwa hekima ya Mwenyezi MUNGU hakustahili nafasi hiyo.
 
Heshima kwenu,
Nimeangalia kwa makini clip inayoonesha Spika wa Bunge la Jamuhuri Mh. Job Ndugai akigombana na mbunge wa Kibamba Mh. John Mnyika. Nimetumia neno kugombana kwa kuwa kwa dhahiri Mh. Spika alikuwa na jazba. Aliamuru Mh.Mnyika atolewe nje na Segeant at Arms na asitie mguu bungeni wiki nzima. Kwa jinsi ilivyo nimeona kuwa hata kama Mh. Mnyika alikuwa na kosa, Mh. Spika hakutakiwa kuwa 'personal' kwenye matamshi yake. Naomba nitumie kimombo kodogo.
Personality refers to a distinctive set of traits, behaviors, styles and patterns that make out character or individuality.
How we perceive the world, our attitudes, thoughts and feelings are all part of our personality. People with healthy personalities are able to cope with normal stresses and have no trouble forming relationships with family, friends and co-workers.
What is a personslity disorder? Those who struggle with a personality disorder have great difficulty dealing with other people. They tend to be inflexible, rigid and unable to respond to changes and demands of life.
Julai 29,2015,Mh. Ndugai akiwa mgombea katika jimbo la Kongwa, alimpiga mgombea mwenzake rungu la kichwa mpaka akazimia. Mgombea huyo alilazimika kulazwa. Kama Mh. Mnyika angekuwa karibu na Mh.Ndugai, angepata kilichompata mgombea yule wa CCM. Pamoja na Mh. Kibajaji kumwita Mh. Mnyika mwizi, Mh. Ndugai hakujali, alikuwa na 'usongo' na Mh. Mnyika.
Bunge lenye kuvutia linahitaji Maspika wenye vichwa vilivyotulia. Hata Mh. Tulia, Naibu Spika, naye hutumia nguvu nyingi kuzima hoja zinazoichoma serikali. Waendesha vikao vya Bunge nao wanahitaji kupimwa kama wana 'disorder' yoyote.
Napenda kuwasilisha.
Kuna makabila ambayo hayafai kupewa nafasi za juu za uongozi, awamu ya tano imethibisha hilo
 
Personality refers to a distinctive set of traits, behaviors, styles and patterns that make out character or individuality.
How we perceive the world, our attitudes, thoughts and feelings are all part of our personality. People with healthy personalities are able to cope with normal stresses and have no trouble forming relationships with family, friends and co-workers.
What is a personslity disorder? Those who struggle with a personality disorder have great difficulty dealing with other people. They tend to be inflexible, rigid and unable to respond to changes and demands of life. Waendesha vikao vya Bunge nao wanahitaji kupimwa kama wana 'disorder' yoyote.
Napenda kuwasilisha.


Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
P
 
Mdee alisema HUYU SPIKA NI FALA

Mdee alisema kitendo cha kuchaguliwa na mtu au watu wengine ndio ufala. Ilo mnaona kosa. Alafu mbunge anamtukana waziri kivuli tena kwajina " mnyika ni mwizi" alafu spika anamsifia anayetukana na anajifanya asikilizi maneno ya pembeni wakati hata mdee alikuwa anaongea maneno ya pembeni.
CCM mnajizalilisha bungeni. Mmezuia bunge mubashara lakini bado watanzania wanauona unafiki wenu. Mara rambirambi mara kuchangulia watu mahali pakumuaga marehemu. Mmesha changanyikiwa
 
Mdee alisema kitendo cha kuchaguliwa na mtu au watu wengine ndio ufala. Ilo mnaona kosa. Alafu mbunge anamtukana waziri kivuli tena kwajina " mnyika ni mwizi" alafu spika anamsifia anayetukana na anajifanya asikilizi maneno ya pembeni wakati hata mdee alikuwa anaongea maneno ya pembeni.
CCM mnajizalilisha bungeni. Mmezuia bunge mubashara lakini bado watanzania wanauona unafiki wenu. Mara rambirambi mara kuchangulia watu mahali pakumuaga marehemu. Mmesha changanyikiwa
hayo yote umeyalenga kwangu nijibu mimi au kwa CCM tumsubiri msemaji wake labda atakuja hapa akujibu
 
Heshima kwenu,
Nimeangalia kwa makini clip inayoonesha Spika wa Bunge la Jamuhuri Mh. Job Ndugai akigombana na mbunge wa Kibamba Mh. John Mnyika. Nimetumia neno kugombana kwa kuwa kwa dhahiri Mh. Spika alikuwa na jazba. Aliamuru Mh.Mnyika atolewe nje na Segeant at Arms na asitie mguu bungeni wiki nzima. Kwa jinsi ilivyo nimeona kuwa hata kama Mh. Mnyika alikuwa na kosa, Mh. Spika hakutakiwa kuwa 'personal' kwenye matamshi yake. Naomba nitumie kimombo kodogo.
Personality refers to a distinctive set of traits, behaviors, styles and patterns that make out character or individuality.
How we perceive the world, our attitudes, thoughts and feelings are all part of our personality. People with healthy personalities are able to cope with normal stresses and have no trouble forming relationships with family, friends and co-workers.
What is a personslity disorder? Those who struggle with a personality disorder have great difficulty dealing with other people. They tend to be inflexible, rigid and unable to respond to changes and demands of life.
Julai 29,2015,Mh. Ndugai akiwa mgombea katika jimbo la Kongwa, alimpiga mgombea mwenzake rungu la kichwa mpaka akazimia. Mgombea huyo alilazimika kulazwa. Kama Mh. Mnyika angekuwa karibu na Mh.Ndugai, angepata kilichompata mgombea yule wa CCM. Pamoja na Mh. Kibajaji kumwita Mh. Mnyika mwizi, Mh. Ndugai hakujali, alikuwa na 'usongo' na Mh. Mnyika.
Bunge lenye kuvutia linahitaji Maspika wenye vichwa vilivyotulia. Hata Mh. Tulia, Naibu Spika, naye hutumia nguvu nyingi kuzima hoja zinazoichoma serikali. Waendesha vikao vya Bunge nao wanahitaji kupimwa kama wana 'disorder' yoyote.
Napenda kuwasilisha.
Spika alitakuwa awe Chenge. Huyu wa sasa ni kichaa
 
Chenge pamoja na matatizo yake mengine is the only mature mbunge kuwa speaker kwa upande wa ccm! Huu ni ukweli. Kwanza mtu aliyewahi kumpiga mtu anakuwaje spika badala ya kuwa jela?
 
Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
You are not a critical thinker. Most likely spika ni mtu asiyeweza kuzuia hasira kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi ye yote. Wako wazazi ambao kwa kukosa kuzuoa hasira wamwjikuta wakiwapiga watoto wao wa kuwazaa hadi kuwaua.
 
Spika alitakuwa awe Chenge. Huyu wa sasa ni kichaa
India alikuwa anatibiwa nini? Alirudi akiwa na busara kiasi. Sasa hivi mashavu yamerudi amesahau....
Yeye akiwa anaumwa busara inakuwepo na akipona kiburi kinaongezeka. Au alipoumwa alikiona kiti cha hukumu? Tutamuombea hali mojawapo.
 
You are not a critical thinker. Most likely spika ni mtu asiyeweza kuzuia hasira kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi ye yote. Wako wazazi ambao kwa kukosa kuzuoa hasira wamwjikuta wakiwapiga watoto wao wa kuwazaa hadi kuwaua.
kamwe hatutaruhusu kiti cha spika kidharauliwe. Najua ninyi ni watu wa kupinga kila kitu, pingeni tu
 
kamwe hatutaruhusu kiti cha spika kidharauliwe. Najua ninyi ni watu wa kupinga kila kitu, pingeni tu
Mwambieni ajifunze kutoka kwa maspika wengine jinsi ya kuongoza bunge. Kwa hiyo unaona ilikuwa sahihi kumwambia Lusinde ni kiboko yao? Uspika gani huu ambao uko one-sided?
 
Heshima kwenu,
Nimeangalia kwa makini clip inayoonesha Spika wa Bunge la Jamuhuri Mh. Job Ndugai akigombana na mbunge wa Kibamba Mh. John Mnyika. Nimetumia neno kugombana kwa kuwa kwa dhahiri Mh. Spika alikuwa na jazba. Aliamuru Mh.Mnyika atolewe nje na Segeant at Arms na asitie mguu bungeni wiki nzima. Kwa jinsi ilivyo nimeona kuwa hata kama Mh. Mnyika alikuwa na kosa, Mh. Spika hakutakiwa kuwa 'personal' kwenye matamshi yake. Naomba nitumie kimombo kodogo.
Personality refers to a distinctive set of traits, behaviors, styles and patterns that make out character or individuality.
How we perceive the world, our attitudes, thoughts and feelings are all part of our personality. People with healthy personalities are able to cope with normal stresses and have no trouble forming relationships with family, friends and co-workers.
What is a personslity disorder? Those who struggle with a personality disorder have great difficulty dealing with other people. They tend to be inflexible, rigid and unable to respond to changes and demands of life.
Julai 29,2015,Mh. Ndugai akiwa mgombea katika jimbo la Kongwa, alimpiga mgombea mwenzake rungu la kichwa mpaka akazimia. Mgombea huyo alilazimika kulazwa. Kama Mh. Mnyika angekuwa karibu na Mh.Ndugai, angepata kilichompata mgombea yule wa CCM. Pamoja na Mh. Kibajaji kumwita Mh. Mnyika mwizi, Mh. Ndugai hakujali, alikuwa na 'usongo' na Mh. Mnyika.
Bunge lenye kuvutia linahitaji Maspika wenye vichwa vilivyotulia. Hata Mh. Tulia, Naibu Spika, naye hutumia nguvu nyingi kuzima hoja zinazoichoma serikali. Waendesha vikao vya Bunge nao wanahitaji kupimwa kama wana 'disorder' yoyote.
Napenda kuwasilisha.
 
Mwambieni ajifunze kutoka kwa maspika wengine jinsi ya kuongoza bunge. Kwa hiyo unaona ilikuwa sahihi kumwambia Lusinde ni kiboko yao? Uspika gani huu ambao uko one-sided?
Mabunge yaliyopita hayakuwa na wabunge mbumbumbu namna hii.
Kweli Lusinde ni kiboko yao kwa sababu alifanikiwa kuwatoa nyumbu nje ya jengo
 
Back
Top Bottom