Spika Ndugai ana personality disorder?

Spika Ndugai ana personality disorder?

Hapa ni UKAWA thread mwanangu. Wananikaba koo sina hamu nao

Nipo ktk Mfungo Mkuu vingenevyo ningewafahamisha tofaut ya nyama na maini hao,bado hawajakua siku wakikuwa watajua
Waache tu wapige ngoma na kuicheza wenyewe Mkuu
 
whatever the case kwa tanzania mtu mzima akiongea haubishani nae,pili siasa sio chuki km umetolewa si utoke then taratibu zifuate zingine?na hapa ndo maana naona shule za serikali zinafeli wakati za misheni zinafaulo japo kuwa walimu wametoka chuo kimoja na kozi moja when other factor remain constant obidience ni tabu.
mnyika nakuamin kuliko mwenyekiti wako,siamini unaanza taratibu za akina lema kwa mfumo wetu hautobozi labda ingekuwa kwa mfumo wa marekani.
huku kwenye mitandao tunaandika lakini kwenye maofisi yetu hatufanyi hivyo na sifa ya unafiki wa kitanzania,
yule ni kiongozi kwako,pia ni mtu mzima ukiondolewa ww maana wananchi wamekosa mwakilishi
 
Sasa hapa mbona lawama zote zinaelekezwa kwa Ndugai?
Mara nyingine busara inabidi ifichwe ili mambo yasizidi kuharibika. Pia fahamu kwamba sehemu rasmi yenye mkusanyiko rasmi wa watu lazime kuwe na superior na subordinate. Kiti cha Spika kinaongozwa ma kanuni, sio busara. Spika alipomwambia mnyika azime mike na akae alipaswa atii pasipo kuhoji, maana ile ilikuwa ni amri ya spika kwenda kwa subordinate wake ambaye ni mbunge katika kikao cha bunge.
Kwa nini basi usimtendee kiongozi wako kinachostahili?

Unatumia nguvu nyingi kumtetea ndungai. Lakini ukweli ni hata ukimwojesha mtoto video ya hoja ndungai kuhusu kauli " ufala" ulinganisha na sasa hivi " mnyika ni mwizi" atauona unafiki uliotumika
 
Nipo ktk Mfungo Mkuu vingenevyo ningewafahamisha tofaut ya nyama na maini hao,bado hawajakua siku wakikuwa watajua
Waache tu wapige ngoma na kuicheza wenyewe Mkuu
Hata mimi nawatahadhalisha kama saa 12 ikiwakuta humu JF watashangaa
 
whatever the case kwa tanzania mtu mzima akiongea haubishani nae,pili siasa sio chuki km umetolewa si utoke then taratibu zifuate zingine?na hapa ndo maana naona shule za serikali zinafeli wakati za misheni zinafaulo japo kuwa walimu wametoka chuo kimoja na kozi moja when other factor remain constant obidience ni tabu.
mnyika nakuamin kuliko mwenyekiti wako,siamini unaanza taratibu za akina lema kwa mfumo wetu hautobozi labda ingekuwa kwa mfumo wa marekani.
huku kwenye mitandao tunaandika lakini kwenye maofisi yetu hatufanyi hivyo na sifa ya unafiki wa kitanzania,
yule ni kiongozi kwako,pia ni mtu mzima ukiondolewa ww maana wananchi wamekosa mwakilishi
Well said mkuu
 
Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
Kuna mahali huwa hatuelewani. Ukisoma vizuri points za mleta mada, anasema wanao kalia kiti cha spika wanatakiwa kupunguza jazba na kutenda haki. Mimi sioni hata sababu ya ile dua wanayo omba asubuhi. Maana wanamdhihaki Mungu.
Sawa ni mhimili hilo halina ibishi. Hebu fikiria mahakimu na majaji wakiwa kama viongozi wa bunge ni nani atakuwa huru? Nionavyo mimi magereza yangejaa. Ila muhimili wa mahakama umejaa weledi na hufuata taratibu na sheria kutoa hukumu.
Haiwezekani spika kwa sababu nae ni msimamizi wa mhimili aamue kama yuko nyumbani kwake..
Hakuna spika kama hakuna bunge...
 
Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
Kuna mahali huwa hatuelewani. Ukisoma vizuri points za mleta mada, anasema wanao kalia kiti cha spika wanatakiwa kupunguza jazba na kutenda haki. Mimi sioni hata sababu ya ile dua wanayo omba asubuhi. Maana wanamdhihaki Mungu.
Sawa ni mhimili hilo halina ibishi. Hebu fikiria mahakimu na majaji wakiwa kama viongozi wa bunge ni nani atakuwa huru? Nionavyo mimi magereza yangejaa. Ila muhimili wa mahakama umejaa weledi na hufuata taratibu na sheria kutoa hukumu.
Haiwezekani spika kwa sababu nae ni msimamizi wa mhimili aamue kama yuko nyumbani kwake..
Hakuna spika kama hakuna bunge...
 
Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
Kuna mahali huwa hatuelewani. Ukisoma vizuri points za mleta mada, anasema wanao kalia kiti cha spika wanatakiwa kupunguza jazba na kutenda haki. Mimi sioni hata sababu ya ile dua wanayo omba asubuhi. Maana wanamdhihaki Mungu.
Sawa ni mhimili hilo halina ibishi. Hebu fikiria mahakimu na majaji wakiwa kama viongozi wa bunge ni nani atakuwa huru? Nionavyo mimi magereza yangejaa. Ila muhimili wa mahakama umejaa weledi na hufuata taratibu na sheria kutoa hukumu.
Haiwezekani spika kwa sababu nae ni msimamizi wa mhimili aamue kama yuko nyumbani kwake..
Hakuna spika kama hakuna bunge...
 
Unatumia nguvu nyingi kumtetea ndungai. Lakini ukweli ni hata ukimwojesha mtoto video ya hoja ndungai kuhusu kauli " ufala" ulinganisha na sasa hivi " mnyika ni mwizi" atauona unafiki uliotumika
Wewe ukiwa mkuu wa kaya/familia halafu atokee mtoto aseme baba fala na mtoto mwingine amwite mtoto mwenzake mwizi, je utalinganisha kauli hizo? suala la spika kuitwa fala ni jingine, na la mnyika kuitwa mwizi ni jingine. Tena spika ana hekima sana, Kuitwa fala? Wapinzani hamna shukrani kabisa, ingekuwa ni mimi ndie spika aliyeniita fala asingekuwa mbunge maisha yake yote
 
Kuna mahali huwa hatuelewani. Ukisoma vizuri points za mleta mada, anasema wanao kalia kiti cha spika wanatakiwa kupunguza jazba na kutenda haki. Mimi sioni hata sababu ya ile dua wanayo omba asubuhi. Maana wanamdhihaki Mungu.
Sawa ni mhimili hilo halina ibishi. Hebu fikiria mahakimu na majaji wakiwa kama viongozi wa bunge ni nani atakuwa huru? Nionavyo mimi magereza yangejaa. Ila muhimili wa mahakama umejaa weledi na hufuata taratibu na sheria kutoa hukumu.
Haiwezekani spika kwa sababu nae ni msimamizi wa mhimili aamue kama yuko nyumbani kwake..
Hakuna spika kama hakuna bunge...
katiba,taratibu,sheria,kanuni,miongozo na desturi ndo source ya maamuzi kwenye common law km tz,huwezi fanya km kenya kwa kuwa kuna tofauti kimfumo na kidestruri
 
Kuna mahali huwa hatuelewani. Ukisoma vizuri points za mleta mada, anasema wanao kalia kiti cha spika wanatakiwa kupunguza jazba na kutenda haki. Mimi sioni hata sababu ya ile dua wanayo omba asubuhi. Maana wanamdhihaki Mungu.
Sawa ni mhimili hilo halina ibishi. Hebu fikiria mahakimu na majaji wakiwa kama viongozi wa bunge ni nani atakuwa huru? Nionavyo mimi magereza yangejaa. Ila muhimili wa mahakama umejaa weledi na hufuata taratibu na sheria kutoa hukumu.
Haiwezekani spika kwa sababu nae ni msimamizi wa mhimili aamue kama yuko nyumbani kwake..
Hakuna spika kama hakuna bunge...
Nielewe... Spika ni binadamu. tena spika ni kiongozi. Sasa huyu binadamu anapovaa mavazi mawili ya ubinadamu na uongozi ni kawaida kuwa na jazba pindi ikitokea kapotezewa hashima yake. Labda kama utaniambia ni nini hasa kibaya alichofanya huyu spika
 
Spika wa wa serikali ya ccm huyo. Waache kudanganya watoto mashuleni kwamba kuna mihimili mitatu iliyo sawa.
 
Spika wa wa serikali ya ccm huyo. Waache kudanganya watoto mashuleni kwamba kuna mihimili mitatu iliyo sawa.
Ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. usirudie kukosea tena wala usipotoshe watoto wetu
 
Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
Kwshiyo unatetea upumbavu, kumuita mwenzako mwizi au kuwsita wenzako wezi tena si Mara moja. Yule mdada aliwasha mike Mara 2 na kurudia neno hilo hilo . Watu hatukuamua kuwa upinzani ili kupokea udhalilishwaji au kunyamaza kama kondoo tunspodhalilishwa.
Uzuri imani ya chama chenu pia utamka kuwa binadamu wote ni ndugu zangu, kila mtu anastahili heshima. Hivi ni ccm tu ndio wanastahili heshima, hao wenye itikadi tofauti na nyie wabezwe tu? Hili dharau ya ccm ndio maana imetuletea matatizo katika uwekezaji. Makosa wamefanya wao sasa wakiambiwa ukweli wanatujia juu.
Hata iweje hili aibu haitawatoka, ccm bado wataoonekana tu ni sehemu ya kulihujumu uchumi wa nchi. Ile sauti ya matusi inawezekana ni mkakati ya kuwakasitisha wapinzani ili spika atumie rungu lake kuwatoa nje kusudi ccm ibaki ijifanye imerekebisha makosa yake .
 
Kwshiyo unatetea upumbavu, kumuita mwenzako mwizi au kuwsita wenzako wezi tena si Mara moja. Yule mdada aliwasha mike Mara 2 na kurudia neno hilo hilo . Watu hatukuamua kuwa upinzani ili kupokea udhalilishwaji au kunyamaza kama kondoo tunspodhalilishwa.
Uzuri imani ya chama chenu pia utamka kuwa binadamu wote ni ndugu zangu, kila mtu anastahili heshima. Hivi ni ccm tu ndio wanastahili heshima, hao wenye itikadi tofauti na nyie wabezwe tu? Hili dharau ya ccm ndio maana imetuletea matatizo katika uwekezaji. Makosa wamefanya wao sasa wakiambiwa ukweli wanatujia juu.
Hata iweje hili aibu haitawatoka, ccm bado wataoonekana tu ni sehemu ya kulihujumu uchumi wa nchi. Ile sauti ya matusi inawezekana ni mkakati ya kuwakasitisha wapinzani ili spika atumie rungu lake kuwatoa nje kusudi ccm ibaki ijifanye imerekebisha makosa yake .
Kumbe aliyetukana anafayamika! sasa dharau kwa spika zilikuwa za nini kama sio siasa za kishenzi? Kwanza kuitwa mwizi si kitu cha kupaniki kama wewe si mwizi. Halafu unavyotoa povu usije ukanimeza bure
 
Ndugai ni Bipolar patient tumpe Amitripylline za kutosha pamoja na carbamezapine atapona tu
 
Back
Top Bottom