Nimeomba kufahamishwa kosa alilofanya spika hamtaki kulionesha
Kaka toa hoja, usitusi
Hili ni tusi gani?!.CFVXYGFH
Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
baba hutendi haki,una upendeleo wa wazi,unaangalia mtoto yule anamtukana huyu na unaona sawa.Lakini mtoto huyu atakapo mtukana yule unaona si sawa halafu eti unataka heshima WIZI MTUPU.Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
kamwe hatutaruhusu kiti cha spika kidharauliwe. Najua ninyi ni watu wa kupinga kila kitu, pingeni tu
Hapa kuna kudharaulika kiti cha spika. Spika ni mtu mkubwa saba katika hii nchi, anashikilia moja ya mihimili mitatu ya dola. Hata kama wewe ni mpinzani na kuna kitu kimekukera heshimu tu kiti cha spika. Kiti cha spika kikiheshimika hata anayekalia kiti hicho atajiheshimu. Linganisha na enzi za Pius Msekwa na Samuel Sitta, kiti cha spika kiliheshimika na spika hakuwa na tatizo na wabunge. leo hii mtu anatukana mubashara bungeni eti spika ni fala au sijui nini... Mara mwingine anakataa kutii amri ya spika mwenye mamlaka yake unategemea nini? Spika nae ni mtu na ana mihemuko yake, lazima afure pale kiti chake kinapodharauliwa. Kwa Suala la Mnyika juzi hekima tu ingetumika. Mnyika angekaa tu kimya kama alivyoamriwa wala asingetakiwa kutoka nje. Tena pale amri ya kutoka nje angejongea mwenyewe nje nani angemgusa? Angeonesha ana hekima na kila mtu angekuwa upande wake. Lakini kwa sasa mtu yeyote anayemtetea mnyika ni kwa sababu tu ya mihemukio ya kisiasa, kiukweli mnyika alidharau kiti cha spika.
Kitendo cha mbunge wa ccm kutamka maneno yale( Mnyika mwizi) ni dharau kubwa zaidi kuliko kawaida. Kumbuka Lusinde pia alikuwa anaongea na tena kwa dharau ya kusema wabunge wapimwe(akilenga wapinzani), ikiwa Spika kwa nafasi yake amesikia maneno ya Lusinde, kwanini asimwambie ayafute? Ina maana Spika anakubali kwamba wabunge wapimwe? Tena baadaye anasema Lusinde kiboko yao, wamekimbia wote. Je, bado kwa mtu( kiongozi) wa namna hiyo kuna staha anastahili?Kumbuka aliyesema mnyika mwizi sio spika. vilevile si kila aliyesikia sauti hiyo alijua nani kasema. Cha msingi utaratibu ungefanyika kufuatilia sauti ilitoka kwa nani, kwa teknolojia tuliyonayo angejulikana tu. Isingekuwa busara hata kidogo kusitisha shughuli zingine za bunge na kuanza kufuatilia nani kasema maneno yale.
Bora umesema yakweliMnyika slimwita Kikwete kuwa ni rais dhaifu kwa sababu walikuwa wakigoma anawakaribisha chai. Kaja mwingine hspendi kujaribiwa sasa alalialia. Ukiambiwa nyamaza unarndelea kuongea ukaambiwa kaaunaendelea kusimama hakuna kilichobaki zaidi ya sergeant-at-arms. Bila kutolewa nje kesho yake twitter zingejaa kumpongeza Mnyika shujaa.
Tangu mwanzo wa mada ulionyesha hilo ndilo lililoujaza moyo wako.Mabunge yaliyopita hayakuwa na wabunge mbumbumbu namna hii.
Kweli Lusinde ni kiboko yao kwa sababu alifanikiwa kuwatoa nyumbu nje ya jengo
Hata Mbunge angeongea vipi ilibidi Mbunge mengine aseme kuhusu utaratibu.Kitendo cha mbunge wa ccm kutamka maneno yale( Mnyika mwizi) ni dharau kubwa zaidi kuliko kawaida. Kumbuka Lusinde pia alikuwa anaongea na tena kwa dharau ya kusema wabunge wapimwe(akilenga wapinzani), ikiwa Spika kwa nafasi yake amesikia maneno ya Lusinde, kwanini asimwambie ayafute? Ina maana Spika anakubali kwamba wabunge wapimwe? Tena baadaye anasema Lusinde kiboko yao, wamekimbia wote. Je, bado kwa mtu( kiongozi) wa namna hiyo kuna staha anastahili?
Napenda anavyo tabasamu. Kama mtu vile.