Spika Ndugai afunguliwa kesi ya kikatiba kwa kumtambua Mwambe kuwa Mbunge halali licha ya kujivua uanachama Chadema

... Spika anashtakiwa kwa kuvunja Katiba (jinai kuu) sio makosa ya mijadala ndani ya Bunge bwasheee elewa somo kwanza.
Ni nani kati ya wafuatao aliyemwandikia rasmi Spika kwamba Mwambe amejiuzuru
1. Mwambe
2. CHADEMA
3. Msajili wa vyama vya siasa
4. Tume ya uchaguzi
5. CCM
 
Ni nani kati ya wafuatao aliyemwandikia rasmi Spika kwamba Mwambe amejiuzuru
1. Mwambe
2. CHADEMA
3. Msajili wa vyama vya siasa
4. Tume ya uchaguzi
5. CCM
1. Mwambe asingeweza kufanya hivyo kwa sababu most likely alikuwa anawatega Chadema.
2. Chadema; based on what ground? Hii nayo ngumu.
3. Msajili; hahusiki na issues za wabunge kubadili vyama.
4. NEC; wao hupewa taarifa na sio mtoa taarifa kwa taarifa za aina hiyo.
5. CCM; lao na Mwambe moja; kuitega Chadema.
 
Kwanza tuanze ligi aliitamkia wapi? Bungeni ana immunity Huwezi chukulia chochote serious Cha bungeni Wana kinga ndio.maana hata chadema hawana ubavu wa kufukuza uanachama wabunge wao waliokuwa bungeni !!! High profile case unatakiwa kujipanga waweza ua jina lako la uwakili forever!! Ukishindwa
Haya walitamka wPi huyu wakili Koko yuko silent!!!!! Mengine nitamshukia Kama mwewe ajibu hili kwanza
 
Basi Mwambe bado ni Mbunge!
 
..watapiga danadana na mwisho wake watatoa uamuzi ambao unainajisi mahakama.

..mimi nawashauri mawakili wafute kesi hiyo, ili waiepushe mahakama yetu kufanya maamuzi ya hovyo.

.

We ndo hujui, hiyo taasisi imekosa weledi imebaki kama chama cha siasa, mahakama itawaomba barua ya mwambe kujivua uanachama kwenda chadema, watakoswa, barua ya mwambe kwenda kwa spika wa bunge hawana, barua ya maamuzi ya chama kwenda kwa spika au msajiri hawana, hapo itatupiliwa mbali,
 
Hata wanaweza wasihangaike kufukunyua barua za Chadema, ni very easy kupata ushahidi tena wa picha tu hata haisumbui akili.

Bashiru anapomkabidhi Mwambe Kibogoyo kadi za CCM huwezi kupokea kadi za chama A ilihali wewe bado ni mwanachama wa chama B!

Ubunge alisaini bungeni sio kwa Bashiru, kuondoka ilibidi atoe taarifa bungeni tena sio kwa Bashiru,
Kule kwa Bashiru anaweza kusema alikuwa a act filamu utakataa?
 
Tusubiri maamuzi ila sioni mantiki ya kesi. Huyo amechaguliwa na Wananchi
Dah... una kazi kaka... kwani katiba inasemaje? Unakumbuka Mrema alifanyiwa nini alipohama chama..?? Unajua alinyang'anywa nini mara tu baada ya kutangaza kuhama CCM?
 
Ubunge alisaini bungeni sio kwa bashiru, kuondoka ilibidi atoe taarifa bungeni tena sio kwa bashiru,
Kule kwa bashiru anaweza kusema alikuwa a act filamu utakataa?

..hudhani kwamba kuiheshimu na kuihifadhi katiba ni muhimu kuliko kulazimisha maamuzi ya spika yasiyo na busara?
 
..hudhani kwamba kuiheshimu na kuihifadhi katiba ni muhimu kuliko kulazimisha maamuzi ya spika yasiyo na busara?

Sheria inaenda kwa kufata kanuni haifuati utashi wa mtu au huruma,
Ukikosea tu unashindwa, vielelezo wanavyo? Kumbuka mwambe aliapa mbele ya bunge kuchukua dhamana ya jimbo hakuapa kwa Bashiru.
Hivyo.pale bungeni alikuwa ni mtoro tu.
 
Ndugai anatakiwa kufungwa kwa matumizi mabaya ya fedha za umma,kitendo cha kuendelea kumlipa mwambe mshahara na marupurupu wakati alishajivua uanachama ni makosa!! Hata mahakama ikitengua ubunge wa mwambe inabidi spika naye ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi za umma...hiyo ni uhujumu uchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…