Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
naomba kujua kama joseph warioba ni cdm..na kama ni ccm je kwanini hakuzomewa jana..
Hata Anna Makinda Spika wa bunge tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anajua jibu la hili swali ila kwa kiburi chake/chao hatataka kulijibu anabakia kuwalaumu baadhi ya watu(vyama vya upinzani) anatafuta pa kushika .je tutafika kwa hali hii?