Spika Makinda Afafanua mvurugano kwenye mjadala wa Sheria ya Mchakato wa Katiba

Hii serikali ya ccm wanajiona wao ndo wenye haki zote katika nchi hii, kwamba wao ndo wanaweza kutupangia kila kitu. Sasa wamelifanya suala la katiba la kwao badala ya watanzania wote. Jamani watz tukatae huu ufedhuli tunaofanyiwa na serikali ya ccm.
 
Na suala la Mh. Tundu kithibitisha uongo aliosema Mh. Ngeleja ameutolea maalezo maana Ijumaa ni leo au?
 
Wenye vurugu ni wao wenye kuleta mswada feki..kwanza wanatuletea mswada wa kenya ..hapa ni kenya ama ni Tz? Je sisi wakenya ama sisi ni wa Tz ? Tunataka muswada utungwe na wa Tz wenyewe na utoke Tz,..full stop, vinginevyo hii ni vita Murra!
 
naomba wabadilishe heading waseme Dodoma hearing and Dar hearing. Ninachoomba wanasiasa wa ccm+cdm+cuf+... wasijifanye hiyo ni isue yao bali hii ni isue ya watanzania wote. watu waache ushabiki, maana ushabiki utapoteza dhana nzima ya watu wote kuhusishwa na matokeo yake yatachukuliwa mawazo ya Makamba+Slaa+Lipumba+Mrema+Dovutwa+... halafu wasema wananchi wote mawazo yao yamesikilizwa.
 
Naona kama wanaanza kupata akili tartiiiiiiiiiibu

mwanzo mzuri ccm na serikali kutambua uwepo wa nguvu ya umma, very inspiring

Mapambano yanaendelea...
 
Which happens to be the truth, good morning...
Bepari, jee na wewe uu mmoja wa hao wanao amini hivyo?, ana umejikuta umeingia kwenye mtego wa panya unaowanasa waliomo na hata wasiomo.
Kama unaamini wafanya vurugu ni wafuasi wa chama fulani, na sio Watanzania waliochoshwa na maroroso ya CCM, endelea kuamini hivyo, huku ukisubiria 2015 uowaone jinsi Watanzania, watulivu, wapenda amani, watakachokifanya kwenye sanduku la kura!.
 
Wenye vurugu ni wao wenye kuleta mswada feki..kwanza wanatuletea mswada wa kenya ..hapa ni kenya ama ni Tz? Je sisi wakenya ama sisi ni wa Tz ? Tunataka muswada utungwe na wa Tz wenyewe na utoke Tz,..full stop, vinginevyo hii ni vita Murra!
 
naomba wabadilishe heading waseme Dodoma hearing and Dar hearing. Ninachoomba wanasiasa wa ccm+cdm+cuf+... wasijifanye hiyo ni isue yao bali hii ni isue ya watanzania wote. watu waache ushabiki, maana ushabiki utapoteza dhana nzima ya watu wote kuhusishwa na matokeo yake yatachukuliwa mawazo ya Makamba+Slaa+Lipumba+Mrema+Dovutwa+... halafu wasema wananchi wote mawazo yao yamesikilizwa.
Mr.Mak, haya ni maneno ya busara sana.
 
Zitto alitoa mchango mzuri, hakuna haja ya kuwa na dharula kwenye hili. Wabunge wauchukue wapeleke kwa wananchi wakusanye maoni yao. Haya yote yasinge tokea
 
Kazi ipo miaka hii mitano Tumwombe Mungu tupite salama!
Hata Kenya walianza hivihivi! kweli kutafuta amani ya kweli ni kazi kubwa saana!
 
Wenye vurugu ni wao wenye kuleta mswada feki..kwanza wanatuletea mswada wa kenya ..hapa ni kenya ama ni Tz? Je sisi wakenya ama sisi ni wa Tz ? Tunataka muswada utungwe na wa Tz wenyewe na utoke Tz,..full stop, vinginevyo hii ni vita Murra!
Rweye, don't be too negative kwenye jambo lenye manufaa kwetu, hata kama cut and paste toka kwa jirani, hiyo hiyo cut and paste unaiboresha ili ifiti kwenye mazingira yako.
Hizi statements kama za 'vita Murra!' ndizo zinakiponza chama fulani kuonekana kama hizi ndizo sera zake!.
 
Lakini kwanini kila pale watanzania wanapotaka haki zao wanahusisha na vyama vya upinzani? kuna mtu anafikiria Tanzania ya leo ni ile ya CCM fasiiiiiiiiiiiiii sana hadi watu wanaanguka chini kwa kushangilia? Kama kila siku watahusisha na vyama vya upinzani kamwe hawatafika mbali hiyo yote yanafanywa na watanzania walioamua kuondokana na upuuzi.
 
Nawaunga mkono waTZ wenye uchungu na nchi yao, wanaozomea watu wanaoleta mzaha katika maisha ya watu, nawaunga mkono pia waliopambana na walinzi mafisadi huko madale, huwezi kuja tu na kuanza kubomoa nyumba za watu.
 
Jana nimepitia taarifa ya habari ya saa 2usiku, ukiangalia chanzo cha kutokuelewana kati ya wakuu wa kikao kile na watoa hoja/maoni ni baadhi ya maswali waliyouliza watoa hoja ya kutaka kujua zaidi undani wa ule mswada, kwa mfano, Dkt Slaa aliuliza swali la kutaka kujua aina ya muungano uliopo kwa sasa ivi kati ya Tanganyika na Z'bar. Hapo ndo yakaibuka majibu yenye jazba ambayo yaliashilia kuegemea upande wa chama tawala. Dodoma nako vurugu zimeanza pale wanafunzi waliokuwa na hamu na shauku ya kutaka kuchangia walipokosa nafasi ya kuingia ndani ya ukumbi kwani ulikuwa mdogo kitu ambacho kilikuwa hakina tija sana kwani baada ya viongozi wa kikao hicho kuona kuwa ukumbi hautoshi wangetafuta njia mbadala ya kuendesha mkutano huo aitha kwa kutafta sehemu ya wazi au wangetumia ukumbi wa chuo kikuu cha Dodoma lakini badala yake wanafunzi hao wakafukuzwa kwa kupigwa mabomu na polisi!, JAMANI, yan mpaka hatua hii ya kutaka kupanga mipango jinsi ya kuiongoza nchi hii bado tuu tunakatazwa kua tusitoe maoni yetu! HAKIKA haitakubalika! wakatae wakubali MSWADA huo ulotolewa bado tuna walakini nao, kwa nini watulazimishe kupitisha sheria mbovu hivoooo???? Mswada huo ni fake ukilinganisha na madai ya yale tunayoyataka yawemo kwenye katiba mpya! na inavyoonekana mswada huo una malengo fulani kwa CCM na siyo kwa wananchi wa Tz, kama siyo hivyo kwa nini Wabunge na viongozi wa CCM wanashangilia juu ya mswada huo badala ya kuhoji zaidi na kutaka kujua kwa nini wananchi wameugomea? au ni ujinga wao na ushabiki wao wa kijinga kama kawaida yao? Wasivilalamikie vyama vya siasa kwa namana yoyote ile, wanachotakiwa kujua ni kuwa UOVU na HILA zao sie wananchi tushazigundua!!.
 
Lakini kwanini kila pale watanzania wanapotaka haki zao wanahusisha na vyama vya upinzani? kuna mtu anafikiria Tanzania ya leo ni ile ya CCM fasiiiiiiiiiiiiii sana hadi watu wanaanguka chini kwa kushangilia? Kama kila siku watahusisha na vyama vya upinzani kamwe hawatafika mbali hiyo yote yanafanywa na watanzania walioamua kuondokana na upuuzi.

Yaani we acha tu, huyu Makinda ni mtu hatari sana kwa nchi yetu!
 
Jana nimepitia taarifa ya habari ya saa 2usiku, ukiangalia chanzo cha kutokuelewana kati ya wakuu wa kikao kile na watoa hoja/maoni ni baadhi ya maswali waliyouliza watoa hoja ya kutaka kujua zaidi undani wa ule mswada, kwa mfano, Dkt Slaa aliuliza swali la kutaka kujua aina ya muungano uliopo kwa sasa ivi kati ya Tanganyika na Z'bar. Hapo ndo yakaibuka majibu yenye jazba ambayo yaliashilia kuegemea upande wa chama tawala. Dodoma nako vurugu zimeanza pale wanafunzi waliokuwa na hamu na shauku ya kutaka kuchangia walipokosa nafasi ya kuingia ndani ya ukumbi kwani ulikuwa mdogo kitu ambacho kilikuwa hakina tija sana badala kwani ya viongozi wa kikao hicho kuona kuwa ukumbi hautoshi wangetafuta njia mbadala ya kuendesha mkutano huo aitha kwa kutafta sehemu ya wazi au wangetumia ukumbi wa chuo kikuu cha Dodoma lakini badala yake wanafunzi hao wakafukuzwa kwa kupigwa mabomu na polisi!, JAMANI, yan mpaka hatua hii ya kutaka kupanga mipango jinsi ya kuiongoza nchi hii bado tuu tunakatazwa kua tusitoe maoni yetu! HAKIKA haitakubalika! wakatae wakubali MSWADA huo ulotolewa bado tuna walakini nao, kwa nini watulazimishe kupitisha sheria mbove hivoooo???? Wasivilalamikie vyama vya siasa kwa namana yoyote ile, wanachotakiwa kujua ni kuwa UOVU na HILA zao sie wananchi tushazigundua!!.

Haya ni mambo ya ajabu kupiga watu mabomu wanaotaka kutoa maoni yao!
 
kilichonikera ni hawa wabunge wa ccm kushangalia ile kauli kuwa, baadhi ya wanasiasa wamegeuza huu muswada kuwa mtaji wa kisiasa, hivi hawa wabunge kinachawasukuma kushangilia ni nn, hiv dhamira zao ndo zinatuma kufanya upuuzi huo bila kufahama kwa mapana na marefu kuwa hawapaswi kushabikia mambo ambayo sio makini. Siku zao zinahesabika! Naomba kuwasilisha.
 
Kuna mwelekeo wa kupanga kuhusisha ukosoaji wa mswada huu na Chadema. Serikali na ccm wanatumia mbinu hii kukwepa hoja zinazokosoa mswada huo.

Jana mkuu wa mkoa wa Dodoma alidai waliozuiwa nje ya bunge walikuwa ni wanafunzi wa udom ambao waliletwa na Chadema. Lakini siyo wote walikuwa wanafunzi na wanachama wa Chadema. Tambwe hiza alizomewa Karimjee wakadai ni Chadema. Lakini hata ccm walimzomea!

Kama nia ya serikali na ccm ni kuupitisha huo mswada ulivyo basi watatumia kisingizio hicho cha kijinga kuupitisha, wakidhani wanakomoa Chadema. Wakifanya hivyo watahatarisha Amani.

Kwanaza ni kweli kwamba huo mswada umekaa vibaya na mapungufu mengi mno. Pili, ni dharau kubwa sana kwa watz ambao siyo Chadema kuwaona kwamba hawana akili ya kuona yaliyomo kwenye huu mswada.

Tatu, basi hata kama mko sahihi kwamba ni wanachama wa Chadema pekee wenye akili na uwezo wa kuchambua uzuri na ubaya wa huu mswada, wao pia ni watz hivyo wana haki ya kusikilizwa.

Nne, kukataa hoja kwa sababu humpendi mtoa hoja ni kusokota sayansi mantiki. Shuhulikia hoja usimshuhulikie mtoa hoja!


Hapo kwenye red, hii ndo kitu cha busara sana. Kila mtu ana haki ya kusikiliza bwana.... hata natural justice ina demand hivyo.



 
Kazi ipo miaka hii mitano Tumwombe Mungu tupite salama!
Hata Kenya walianza hivihivi! kweli kutafuta amani ya kweli ni kazi kubwa saana!
 
FUjo za dar zililetwa na washabiki wa ccm kwani walishangilia kila neno linalotamka kikwete na kuzomea wasemaji wa upinzani
 
Back
Top Bottom