MartinDavid
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 874
- 144
Kazi ipo kubwa sana spika yeye ni chadema tu ila kitu kiienda vibaya ni chadema... Ila yakienda vizuri ni ccm.. Sasa zamu hii mpaka kieleweka..
Hao waotaka katiba mpya siyo ccm wala cdm ni watanzania kwa hiyo walete huo muswada tuujadili hata huku mikoani...
Mapambano haya ni mpaka kieleweke....
Hao waotaka katiba mpya siyo ccm wala cdm ni watanzania kwa hiyo walete huo muswada tuujadili hata huku mikoani...
Mapambano haya ni mpaka kieleweke....