LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Ushabiki wa wabunge usio angalia masilahi ya wengi huleta sononeko baadaye kwa wao wenyewe watakapojua ukweli na kwa wanachi kwa ujumla. Sasa hivi naona kinachofanyika ni mzaha tu.
In English, there is no such thing as "Dark Market". So much ado about nothing.
tupe data mkuu kasemaje?
Kwa wenye access ya TV, watch TBC live, Spika Mama Makinda anachezea kibano kuhusu kanuni!
Sio siri, Spika Mama Makinda, Bunge linamshinda!
tupe data mkuu kasemaje?