Dopas na Mwera hapo hamjasema kitu chochote cha maana. Mnashindwa kutuambia hoja Wenje ilikuwa nini. Wenje alizungumzia kanuni kukiukwa na kamati ya uongozi ambapo haina mamlaka ya kufanya hivyo. Alichokosea Wenje ni kutumia neno 'dark market' na ndicho alichofuta na badala yake akaweka 'white market'
Hivyo hoja yake ya kuwa kanuni imekiukwa kwa utashi wa wajumbe wa kamati ya uongozi bila kuwa na uwezo huo lilibaki hadi kanuni ilipotenguliwa kwanza na uchaguzi ukafanyika.
Kwa hiyo Dopas na Mwera mmetuletea ushabiki badala ya kujadili hoja ya Wenje na msimamo wenu juu ya hoja hiyo kwa kuzingatia kanuni za bunge. Hivyo nawataka mwufute kauli zenu za kipotoshaji.
Hivyo hoja yake ya kuwa kanuni imekiukwa kwa utashi wa wajumbe wa kamati ya uongozi bila kuwa na uwezo huo lilibaki hadi kanuni ilipotenguliwa kwanza na uchaguzi ukafanyika.
Kwa hiyo Dopas na Mwera mmetuletea ushabiki badala ya kujadili hoja ya Wenje na msimamo wenu juu ya hoja hiyo kwa kuzingatia kanuni za bunge. Hivyo nawataka mwufute kauli zenu za kipotoshaji.