Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,954
- 95,256
Amesahau kamsemo kake ka mkokoteni kuvuta ng'ombe
Hahahahahaaaaaa,basi sawa!
Hahahahahaaaaaa,basi sawa!
Wananchi tunaolipa kodi tunaaswa tuwe wakweli lakini wanasiasa wanaolipwa kwa kodi zetu wanakuwa vigeugeu! Nina mashaka kama kwa njia hizi deni la taifa halitafika trillion 100 mwakani!
Serikali ya Muungano wa CHADEMA na ACT ndiyo iliyoingia mkataba huu! Ni bora uwe unamuuliza mkeo kabla hujakomenti.Zito na Chadema walikua wanalilia huu mradi, aibu sana.
Tarehe ya Kliniki-India imekaribia. Yeye kafyeka budget ya cag, yake ingefekelewa mbali. Kashtuka.
Faida gani alizoangalia wakati tayari tuna bandari kubwa 3 yaani Dsm, Tanga na Mtwara?
Spika unaongeaje bila utafiti wala data?!!!
Aliyekwambia mkataba haujasainiwa ni nani? Tofauti yako na Ndugai ni nyadhifa tu lakini wewe ni Ndugai2. Huyo unayemsifu alisaini kwenye baraza la Mawaziria(acc. Anna Abdalla) anajikosha kama mgeni vile.Hii tabia ya kuacha kusoma masharti yaliyopo kwenye mikataba ndio imeifikisha nchi hapa ilipo kwa sababu mingi ya mikataba hiyo ni mibovu na ndio maana wananchi kupitia wabunge wetu tumeomba miaka nenda rudi mikataba yote iletwe bungeni ipitiwe kabla ya kusainiwa.
Leo hii kama sio umahiri wa Mh. JPM huu mkataba mbovu nao ungesainiwa na kuliingiza taifa kwenye umasikini wa kutupwa.
Nionavyo mimi kanuni ya adhabu kutokana na kosa la kuliingizia taifa hasara yaani uhujumu uchumi ipitiwe upya ili ikibainika wahusika wawajibishwe bila huruma hata ikibidi wafilisiwe na kufungwa muda mrefu.
Nakumbuka wakati fulani nilikuwa nasafiri kwenye ndege nikitokea Amsterdam kuja Dar kuna mzungu mmoja alikuwa kiti cha pembeni yangu alikuwa akisoma mkataba baina ya kampuni yake na serikali ya TZ,cha kushangaza hakulala usiku kucha alikuwa anaupitia kisawasawa kitu ambacho sidhani kama watanzania tunafanya hivyo.
Mungu mbariki JPM Mungu ibariki TZ.
ni wewe kweli au kuna MTU umemwazima Simu yako? Sikuelewi siku hizi kwa jinsi unavyozibadili gia angani!Faida gani alizoangalia wakati tayari tuna bandari kubwa 3 yaani Dsm, Tanga na Mtwara?
Spika unaongeaje bila utafiti wala data?!!!
Kwani mikataba inapitishwa wap??Angeusomea wapi?!
Kheri ya Zito amesimama ktk kile anachokiamini kuliko huyo Pimbi wenuZito na Chadema walikua wanalilia huu mradi, aibu sana.
Hii inaonesha kutokuwa na msimamo katika kile unachokiamini. Unakuwa kama bendera tu kufuata upepo unapoelekea.Spika ambaye alisema mradi una manufaa makubwa leo anasema hajui mkataba ulikuwaje,ilikuaje akimbilie manufaa bila kujua mkataba ukoje,ndio watu tunategemea watupeleke uchumi wa kati,kila Siku wanapitisha mikataba wao wenyewe halafu baadae wanaanza kushaangaa,Kisa kasikia Raisi kaukosoa sasa anajua hawezi kusimama kinyume
Ko nikwamba nchi yoye na mihimili uake yote aliyeona ubovu wa mkataba tajwa ni magufuri tu
Serikali ya Muungano wa CHADEMA na ACT ndiyo iliyoingia mkataba huu! Ni bora uwe unamuuliza mkeo kabla hujakomenti.