Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Bandari ya bagamoyo ingekuwa kubwa Africa mashariki na kati.
Na viwanda vya kumwaga TU. Bagamoyo yetu ingekuwa kama dar.
Tatizo hayo masharti.
Ngoja raia waanze kuvamia mashamba. Maana mradi ushakufaa
Faida gani alizoangalia wakati tayari tuna bandari kubwa 3 yaani Dsm, Tanga na Mtwara?

Spika unaongeaje bila utafiti wala data?!!!
 
Spika ambaye alisema mradi una manufaa makubwa leo anasema hajui mkataba ulikuwaje,ilikuaje akimbilie manufaa bila kujua mkataba ukoje,ndio watu tunategemea watupeleke uchumi wa kati,kila Siku wanapitisha mikataba wao wenyewe halafu baadae wanaanza kushaangaa,Kisa kasikia Raisi kaukosoa sasa anajua hawezi kusimama kinyume
 
Leo nimeamini hatuna speaker pale bali tuna Subwoofer inawezekanaje aseme mradi una manufaa bila kuwa na data au kujua kilichomo kwenye mkataba?

Yaani spika hana tofauti na wahuni wa.mtaani ambao they are uninformed lakini wanatoa maoni juu ya kitu ambacho hawakijui ?

Nchi hii haina viongozi.

Spika ambaye alisema mradi una manufaa makubwa leo anasema hajui mkataba ulikuwaje,ilikuaje akimbilie manufaa bila kujua mkataba ukoje,ndio watu tunategemea watupeleke uchumi wa kati,kila Siku wanapitisha mikataba wao wenyewe halafu baadae wanaanza kushaangaa,Kisa kasikia Raisi kaukosoa sasa anajua hawezi kusimama kinyume
 
Haina haja ya kuwa na bunge na haina haja ya kuwa na spika asiye na msimamo.

Tuvunje bunge tuchague upya hao tuliowachagua hawafanyi kilichowapeleka.
Na ajabu ni kwamba huyu ndiye msimamizi wa kusimamia chombo cha kutunga sheria na mikataba halafu anakuja kutwambia eti aliangalia tu faida zake.......
Bado tuna safari ndefu kwakweli na kwa staili hii tutaendelea kuibiwa mpaka basi
 
Nchi hii haina spika.
Na ajabu ni kwamba huyu ndiye msimamizi wa kusimamia chombo cha kutunga sheria na mikataba halafu anakuja kutwambia eti aliangalia tu faida zake.......
Bado tuna safari ndefu kwakweli na kwa staili hii tutaendelea kuibiwa mpaka basi
 
Hii tabia ya kuacha kusoma masharti yaliyopo kwenye mikataba ndio imeifikisha nchi hapa ilipo kwa sababu mingi ya mikataba hiyo ni mibovu na ndio maana wananchi kupitia wabunge wetu tumeomba miaka nenda rudi mikataba yote iletwe bungeni ipitiwe kabla ya kusainiwa.

Leo hii kama sio umahiri wa Mh. JPM huu mkataba mbovu nao ungesainiwa na kuliingiza taifa kwenye umasikini wa kutupwa.

Nionavyo mimi kanuni ya adhabu kutokana na kosa la kuliingizia taifa hasara yaani uhujumu uchumi ipitiwe upya ili ikibainika wahusika wawajibishwe bila huruma hata ikibidi wafilisiwe na kufungwa muda mrefu.

Nakumbuka wakati fulani nilikuwa nasafiri kwenye ndege nikitokea Amsterdam kuja Dar kuna mzungu mmoja alikuwa kiti cha pembeni yangu alikuwa akisoma mkataba baina ya kampuni yake na serikali ya TZ,cha kushangaza hakulala usiku kucha alikuwa anaupitia kisawasawa kitu ambacho sidhani kama watanzania tunafanya hivyo.

Mungu mbariki JPM Mungu ibariki TZ.
 
Zito na Chadema walikua wanalilia huu mradi, aibu sana.
Kwani Magufuli si aliusign kwa nia a ya nchi si alikuwa ujenzi alikuwa kwenye cabinet ni kichaa tu atakayeamini asemayo Magufuli wakati yeye ni sehemu ya tatizo halo bado uwanja wa chato na bandari ya chato ndio utakapojuwa ccm ni vichaa tu
 
Hii tabia ya kuacha kusoma masharti yaliyopo kwenye mikataba ndio imeifikisha nchi hapa ilipo kwa sababu mingi ya mikataba hiyo ni mibovu na ndio maana wananchi kupitia wabunge wetu tumeomba miaka nenda rudi mikataba yote iletwe bungeni ipitiwe kabla ya kusainiwa.

Leo hii kama sio umahiri wa Mh. JPM huu mkataba mbovu nao ungesainiwa na kuliingiza taifa kwenye umasikini wa kutupwa.

Nionavyo mimi kanuni ya adhabu kutokana na kosa la kuliingizia taifa hasara yaani uhujumu uchumi ipitiwe upya ili ikibainika wahusika wawajibishwe bila huruma hata ikibidi wafilisiwe na kufungwa muda mrefu.

Nakumbuka wakati fulani nilikuwa nasafiri kwenye ndege nikitokea Amsterdam kuja Dar kuna mzungu mmoja alikuwa kiti cha pembeni yangu alikuwa akisoma mkataba baina ya kampuni yake na serikali ya TZ,cha kushangaza hakulala usiku kucha alikuwa anaupitia kisawasawa kitu ambacho sidhani kama watanzania tunafanya hivyo.

Mungu mbariki JPM Mungu ibariki TZ.
JPM hana jipya kwa miaka 25 iliyopita amekuwa sehemu ya mikataba mibovu humo siku zote his kwenye cabinet baadaya amekuwa raisi
 
Back
Top Bottom