ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Nafurahi ninapoona mihimili inakinzana na hii inaonesha kweli Kuna separation of power.
Nimeshangaa Leo Spika anamlaumu Siro kwa kutokumkamata Gwajima, na ametishia kuwaleta maadili Siro Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanasheria Mkuu, hii ni nzuri kwakuwa mihimili Sasa inanguvu sawa, ndo inavotakiwa na hata ikiwezekana kesho chief judge aongee yake.
Msikilize spika hapa chini ndugai
Nimeshangaa Leo Spika anamlaumu Siro kwa kutokumkamata Gwajima, na ametishia kuwaleta maadili Siro Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanasheria Mkuu, hii ni nzuri kwakuwa mihimili Sasa inanguvu sawa, ndo inavotakiwa na hata ikiwezekana kesho chief judge aongee yake.
Msikilize spika hapa chini ndugai