Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
- Thread starter
- #21
Huyu mama anatamani yani wabunge wachadema wote awatoe nje!
Khaaaaaa Mwana hilo nalo ni la kuuliza kwani hukumsikia pale sugu (MB) alipokuwa akimalizia huku akiketia na kesi ya Dr. Ulimboka Anna makina akarukia hivi nyie mbona munapenda fujoooo. Sasa hapo jua mind set yake upinzani ni watu wa fujo hii ni akili kweli anae mfundisha huyo mama sheria kwa sasa anashida sana maana kui controll hiyo brain yake inahitaji hekima sijui ya aina gani? analopoka tuu yeye hajui kuwa yuko kwa TV na watanzania wa sasa wanavyofuatilai bunge duuuu na ndio maana sasa wamekuja na slogan yao "Kesi iko mahakamani" Akili finyu sana hizo yaaani serikali inashindwa jenga hoja ???????