Kwa mara ya kwanza jana niliona alivozungukwa na aibu mwili mzima baada ya udikteta ulioambatana na unafiki,alitamani atoweke
Yule Mabumba wa Zanzibar naye alitoka nje? maana naye akikaa kwenye hicho kiti huwa haambilki, pengine sasa ameonja machungu ya uongozi wao wa kibabe.
Alichoharibu ni hapo kwenye RED...subiri watakuja kumjibu hapa.....
Mnataka awe na uchungu kwani ameshawai kujifungua au kuwa na mtoto?
Kwa kauli yake ya jana inaonyesha jinsi alivyokuwa na roho mbaya, roho iliyokosa utu.
Pia, hata akalie ncha ya hilo 'kuti kavu', kwa mfumo wa kimagamba huyu bibi koroboto hawawezi kumng'oa uspika, tuhesaba tumeshalamba garasa, tusubiri 2015...
Alichoharibu ni hapo kwenye RED...subiri watakuja kumjibu hapa.....