HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,288
- 103,480
Lameck anaona hali halisi uwanjani na hata yeye ana furaha kuonesha kile anachoona, anaona watu wamekuja wenyewe, hakuna wasaniii, anaona watu walivyo na mahaba ya dhati, anaona watu wanavyopenda mabadiliko ya kweli...
Mwenzake Buhohela hata tushamsahau kama yupo, najua huwa anaona aibu kwanini yuko kwa Magufuli....
Mwenzake Buhohela hata tushamsahau kama yupo, najua huwa anaona aibu kwanini yuko kwa Magufuli....