Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

Spencer Lameck tunakupenda! Hakika Lowassa atakukumbuka kwenye ufalme wake
 
​Nafasi hii ingemfaa zaidi Sam mahela...
 
Hivi Huyu Dogo Si Ndiyo Huyu WAKATI Akiwa Hapo SJMC Alikutwa Na KASHFA YA KULA CHABO KTK MTIHANI Na KUFUMANIWA Na Denti Wa Darasa La 4 au? Halafu Sijui Hii Tabia Yake Ya KUPENDA KUOMBA KUOMBA HELA Kwa Sources Wa HABARI Ameiacha. Na Safari Hii AKIJISAHAU Tu Na Kuja Ktk Press Yangu Na AKITAKA Tip " NITAMPUMULIA KISOGONI " Ili Akanitangaze Vizuri Ktk TAARIFA Yake Ya Habari.

Acha ujinga na kutumia lugha za ovyooo! Hujaenda shule nini! "Kupumulia kisogoni" kumwambia mwanaume mwenzako maana yake nini! Hujastaarabika!
 
Hivi Huyu Dogo Si Ndiyo Huyu WAKATI Akiwa Hapo SJMC Alikutwa Na KASHFA YA KULA CHABO KTK MTIHANI Na KUFUMANIWA Na Denti Wa Darasa La 4 au? Halafu Sijui Hii Tabia Yake Ya KUPENDA KUOMBA KUOMBA HELA Kwa Sources Wa HABARI Ameiacha. Na Safari Hii AKIJISAHAU Tu Na Kuja Ktk Press Yangu Na AKITAKA Tip " NITAMPUMULIA KISOGONI " Ili Akanitangaze Vizuri Ktk TAARIFA Yake Ya Habari.
Too low...
 
Mtangazaji mahiri wa ITV anayeripoti habari za Lowassa leo anasubiriwa kwa hamu kubwa kuwapa raha watanzania. Kijana anapiga kazi ya maana kiasi cha kuwakuna wananchi. Leo ni leo spencer lameki saa mbili taarifa ya habari ITV

Anakubalika. Dogo yupo vizuri. Big up sana kijana. Mtangaze vizuri Rais wetu wa awamu ya tano. Kwa Taifa hili ni Rais wa awamu ya pili baada ya Nyerere. Wengine katikati hapo ya Nyerere na Lowassa waliifanya taifa hili kuwa la wanyang'anyi. La chukua chako mapema. Sasa ni wakati wa mabadiliko. Lowassa naye akishindwa tunamuweka pembeni baada ya miaka mitano. Lakini kwa CCM haturudi tena!
 
Jana alisema Lowasa mgombea anayetegemewa kuikomboa Tz,watazamaji wakalipuka kwa shangwe kubwa sana
 
Hivi Huyu Dogo Si Ndiyo Huyu WAKATI Akiwa Hapo SJMC Alikutwa Na KASHFA YA KULA CHABO KTK MTIHANI Na KUFUMANIWA Na Denti Wa Darasa La 4 au? Halafu Sijui Hii Tabia Yake Ya KUPENDA KUOMBA KUOMBA HELA Kwa Sources Wa HABARI Ameiacha. Na Safari Hii AKIJISAHAU Tu Na Kuja Ktk Press Yangu Na AKITAKA Tip " NITAMPUMULIA KISOGONI " Ili Akanitangaze Vizuri Ktk TAARIFA Yake Ya Habari.

Mbaya sana!mtu kama wewe ni janga kwa familia yako na taifa kwa ujumla
 
Back
Top Bottom