Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

Aisee!
...nilikua nakula, ikabidi niweke kijiko chini mpk alipomaliza kuripoti nikaendelea na mlo wang though nlijiona nishashiba.
 
Mwenye namba ya dogo ani-pm nataka kumfanyia maombi kwa cm,CCM hawachelewi,kama yule wa Mwananchi aliyeripoti zomea ya Gufuli
 
ulishazoea kupumuliwa JINGA KABISA WEWE
Hivi Huyu Dogo Si Ndiyo Huyu WAKATI Akiwa Hapo SJMC Alikutwa Na KASHFA YA KULA CHABO KTK MTIHANI Na KUFUMANIWA Na Denti Wa Darasa La 4 au? Halafu Sijui Hii Tabia Yake Ya KUPENDA KUOMBA KUOMBA HELA Kwa Sources Wa HABARI Ameiacha. Na Safari Hii AKIJISAHAU Tu Na Kuja Ktk Press Yangu Na AKITAKA Tip " NITAMPUMULIA KISOGONI " Ili Akanitangaze Vizuri Ktk TAARIFA Yake Ya Habari.
 
Huyu mtangazaji ni NGULI na ni zaidi ya JEMBE!

Akiripoti taarifa zake toka kwenye kampeni za mgombea uraisi wa UKAWA MH.SANA EDWARD NGOYAI LOWASSA.

"Amesema wananchi wana ari na hamu ya KUKINYOFOA CHAMA CHA MAPINDUZI MADARAKANI"...Huu msemo ni mtamu na mzuri ambao kifasihi ni zaidi ya lugha ya ushindi kwa wana wa TAIFA HILI WOTE!

VIVA LOWASSA.
VIVA.....SPENCER LAMECK.
VIVA UKAWA.
 
Kutangaza habari za ukawa raha zinaendana na matukio rekodi imevunjwa kweli barabara watu wamedeki kweli sio yule Wa makomeo yeye ni maelfu wajitokeza kwenye mkutano Wa makomeo kama alihesabu watu na push up
 
Leo lameki karipoti kwa mbwembwe sana.kiukweli inaonekana hata yeye alikuwa na raha sana .
 
Kasema rekodi ya wingi wa watu kwenye mkutano wa kampeni ya miaka 15 imevunjwa leo musoma

Wingi wa watu unaolinganishwa na kupitwa na huu wa leo ni wa 1999 wakati wa kifo cha baba wa taifa mwl J K Nyerere.
Record yake mwalimu inavunjwa halafu eti Lowassa aliyeivunja asiingie ikulu, masihara hayo!!
 
Back
Top Bottom