Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

Haya haya jamani,Lameck kamwaga radhi,kaonyesha watu wamedeki lami.anasema watu wana mahaba.anasema rekodi imefunjwa kabisa.hata dada mtangazaji anatabasam kwa hamu
 
Mtangazaji mahiri wa ITV anayeripoti habari za Lowassa leo anasubiriwa kwa hamu kubwa kuwapa raha watanzania. Kijana anapiga kazi ya maana kiasi cha kuwakuna wananchi. Leo ni leo spencer lameki saa mbili taarifa ya habari ITV

Aiseee mkuu! Namuona dogo katika ubora wakee!
 
Spencer Lameck wa ITV amesema wakati akiripoti taarifa ya habari kuhusu mkutano wa Lowasa Musoma kuwa Rekodi ya mafuriko mjinu Musoma iliyokaa kwa miaka 16 tangu mazishi ya baba wa taifa leo imevunjwa na Lowasa
 
Anajua kufanya kazi yake huyu Mungu amlinde.
 
Dogoo kaniiuziii aisee ndo nn?? Luwasaaaaa kura yangu inakuthubiriii MWe!!
 
Huyu dogo sasa anamfunika Buhohela, wakati wanaanza kampeni alikuwa anasuasua sana lakini kadiri siku zinavyosegea mbele anaimarika. Nakupongeza sana Spensa Lameck na Mungu akupe nguvu zaidi
Huyu dogo alipo apate anachokunywa naptia kulipa
 
Back
Top Bottom