Speed ya Sauli bus: Mabasi yanayokimbia sana hayana vidhibiti mwendo?

Hao wakina Sauli,New Force na Majinja madereva wao wanajitahidi kutunza muda na kufata ratiba ya kufika eneo fulani.
Polisi wapo, Ving'amuzi vinafanya kazi pamoja na tochi za kutosha.

Hao madereva wanatunza sana muda na sehemu za kutembea zaidi ya 50Kph wanatembea karibu na ukomo wa speed waliyokatazwa.
 
Kwa udhibiti uliopo sasa katika usafiri wa mabasi haina haja ya kuwekeza kwa kununua busi yenye engine kubwa sana.

Kwa mwendo usiozidi 80kph hata ukileta busi yenye Isuzu za L. H. S. H, Nissan Diesel, Mitsubishi Fuso na Hino utafanya biashara ukipata madereva wanaojua kutunza muda na busi lako body ikiwa na muonekano wa kisasa na luxury.
 
Naona mleta baada unatuletea upumbavu hapa.


Nani amekwambia basi linalo kimbia ndio kipiko cha huduma.

Ni wapumbavu tuu ambao hushangilia hayo mabasi yanayo kimbia.

Hakuna basi ambalo lina mimbio kama hivyo halija wahi kupata ajali mbaya.

Kumbuka kisbo, majinja, etc.

Mtoa huduma yeyote anaye dhihiti mwendo anadhibiti vifo pia.

Wanao taka kuwahi pandeni ndege.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ulichosema sio kweli hata kidogo kwanza hakuna gari inayozidi spidi 85 kwa sasa, ila kinachosababisha huyu kuwa wa kwanza na huyu wa mwisho ni uharaka wa dereva,uzima wa gari na hali ya barabara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo hapo
Umesha wahi kupanda Kiswele, Tawaqal, Zainabs, Sayuni, Mwanahapa etc.
Nifuate inbox
tapatalk_1554817930145.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom