Kahama-Dar Bus route

Nyamsenga

JF-Expert Member
Aug 17, 2020
337
434
Wadau za jioni hii,

Wale ambao mara nyingi tunasafiri kwa njia hii kwa muda mrefu hii njia inabadilisha sana makampuni ya Mabasi.

Yaani hakuna aliyedumu kwa muda mrefu kwa hii route, tangu enzi za Kahama coach, Amit, wakaja Ally's, Leina, Wibonela, City boy, NBS alinusa tu akatoa gari, Green star, Rungwe, JM, Kisbo, Dar lux anaelekea kuchoka na sasa anatawala Frester.

Shida ya njia hii nini mbona kampuni hazikai wakati abiria ni wengi ni tofauti na njia ya Mwanza ambako miaka nenda rudi Zuberi, Najimunisa wapo. Kigoma ndio hawabadiliki KBS. Ngorika na Buffalo Arusha. Tashrif kwa Tanga n.k
 
Mkuu naomba kidogo nijaribu kuelezea, kampuni nyingi hasa ambazo ni za wazawa ni mitaji ya ghafla kutokea kwenye madini ya dhahabu na kama unavyojuwa biashara ukiidandia bila kujuwa hasara na faida yake lazima ikukalie koon.

Kuhusu kampuni zingine pia soon nitakuja na majibu
 
Nafikiri changamoto ni abiria wa msimu, inafanya wenye mitaji midogo kujiendesha kwa hasara. Ni kama duka la nguo ambalo linauza sana wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka na wakati wa wanafunzi kufungua shule.
 
Ally's bado anawakimbiza kanda ya ziwa Mwanza Dar kila siku anatoa gari zaid ya 3 na muda huu navyoandika kama unahitaji ticket ya kesho zimejaa
 
Kwa ninavyoelewa route nyingi ndefu (route dume) zinakuwa na gharama kubwa ya uendeshaji tofauti wengi wanavyodhani ikiwa ni abilia na mizigo.

Mfano kulikuwa na route ya Mbeya to Arusha kupitia chalinze hii njia ilikuwa na kampuni mbili as Hood na Scand mpaka zilipotoweka hizo kampuni hakuna tena mwingine.

Wafanyabisharaa wengi kwa sasa wapo kimaslahi zaidi kuliko hudumu, ndiyo maana hakuna kampuni inayoweza kukaa miaka 10 njiani wengi ni 5yrs kushuka, route ya Dar Kahama ni ya wafanyabiashara ambao mara nyingi hawana rongorongo, ukimzingua kesho humpati na kumbuka anakuwa na jamaa zake ambao wote wanapeana taarifa.
 
Kwa ninavyoelewa route nyingi ndefu (route dume) zinakuwa na gharama kubwa ya uendeshaji tofauti wengi wanavyodhani ikiwa ni abilia na mizigo.

Mfano kulikuwa na route ya Mbeya to Arusha kupitia chalinze hii njia ilikuwa na kampuni mbili as Hood na Scand mpaka zilipotoweka hizo kampuni hakuna tena mwingine.

Wafanyabisharaa wengi kwa sasa wapo kimaslahi zaidi kuliko hudumu, ndiyo maana hakuna kampuni inayoweza kukaa miaka 10 njiani wengi ni 5yrs kushuka, route ya Dar Kahama ni ya wafanyabiashara ambao mara nyingi hawana rongorongo, ukimzingua kesho humpati na kumbuka anakuwa na jamaa zake ambao wote wanapeana taarifa.
Ni kweli bro,,abiria wengi wa khm dar ni business people,,lakin mbona miji mingine angalau
 
Ally's bado anawakimbiza kanda ya ziwa Mwanza Dar kila siku anatoa gari zaid ya 3 na muda huu navyoandika kama unahitaji ticket ya kesho zimejaa
Jamaa baba lao kwa route hii,,juzi nilikuwa na frester tumeingia mwanza saa 7 kasoro na jamaa gari zake zimeingia saa 5 tu
 
Back
Top Bottom