MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Mahakama ndio muamuzi wa mwisho.
Kama alipewa umiliki kwa amri ya mahakama, hakuna anayeweza kubatilisha isipokuwa mahakahama ya juu zaidi
Matumizi ya kiwanja yalibadilishwa na Rais Mkapa, na kubakia eneo la wazi.