Speed ya moderm ya airtel sijawahi kuiona

Speed ya moderm ya airtel sijawahi kuiona

Kweli kiswahili kigumu, nimeamini. Sasa hiyo screenshot ni ya kwangu?, tatizo watu wanasumbuliwa na BP humu wengi sana. Screenshot niliyoweka mimi inaonesha ninadownload file la ukubwa mb 68.327 ambayo ni sawa na kb elfu 68327. IDM inaonesha transfer rate ya kb 461.041 na itatumia dk 3.12.

ili uelewe na-summarize hapa:
Dakika 3.12 = Sekunde 192
Kila sekunde kb 461.041 zitakuwa zinashushwa

kwa hiyo: 461.041 x 192 = 88519.872 !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! huoni kuwa hata hizo dk 3.12 bado ni nyingi?. Chukua glasi ya maji unywe mkuu.

Unasumbulia na tatizo la kutoelewa transfer rate kwa nini upate shida kuitegea hiyo speed kwa ajili ya screenshot. Yani ww nakuonea huruma hiyo speed unayoipata kwa vijisekunde halafu inashuka hadi 250kb/sec kweli kazi unayo.
 
Hizo calculation ndugu haziendi hivyo calculate in relation to folder unalodownload kwa style hiyo bado unamaanisha hivi jumla ya file unalodowload ni 35267.584kb na unadownload kwa 860.16kb/sec ilitakiwa utumie muda huu kumaliza hicho kijifile chako kudownload 35267.584/860.16= 41seconds. Hizi 41 seconds ndo ulitakiwa umalize kijifile chako cha ajabu una asilimia% 60 ndo kwanza umebakiza 31seconds. Hahahahahahahaha


Kama unataka kuthibitisha karibu kwetu Babati, Manyara uthibitishe kwa macho yako. Pia uctegemee kupata hiyo speed km unatumia modem ya 3.6Mbps. Jifunze kutofautisha kati ya KB/sec na kb/sec ni hayo 2.
 
Kama unataka kuthibitisha karibu kwetu Babati, Manyara uthibitishe kwa macho yako. Pia uctegemee kupata hiyo speed km unatumia modem ya 3.6Mbps. Jifunze kutofautisha kati ya KB/sec na kb/sec

Hahahahahaha ndugu yangu nilikuwa natumia Huawei E220 miaka ya nyuma ambayyo ilikua na 7.2mbps kwa sasa natumia Huawei E367 mkuu 21mbps cjui unasemaje kwa hilo.
 
Kama unataka kuthibitisha karibu kwetu Babati, Manyara uthibitishe kwa macho yako. Pia uctegemee kupata hiyo speed km unatumia modem ya 3.6Mbps. Jifunze kutofautisha kati ya KB/sec na kb/sec ni hayo 2.

Tofauti yake ni nini au labda capital letters.
 
hivi wakuu modem ya 3.6mbps inawezekana kufanyiwa maujanja na kuwa 7.2mbps???
 
Mimi naona average speed ya Airtel ni 350 - 450 KBps(3Mbps) na wakati mwigine ambapo haipo overloaded ndo inagonga 800KBps (5Mbps) (mara chache sio wakati wote) na pia inategemea na modem unayotumia wengi wanatumia modem ya 3.6Mbps hapo hauwezi pata zaidi ya 400 KBps pamoja na eneo uliopo na bundle uliojiunga.
 
Unasumbulia na tatizo la kutoelewa transfer rate kwa nini upate shida kuitegea hiyo speed kwa ajili ya screenshot. Yani ww nakuonea huruma hiyo speed unayoipata kwa vijisekunde halafu inashuka hadi 250kb/sec kweli kazi unayo.
Mi naona hatuelewani kabisa, bali wenye uelewa wameshaelewa hiyo 250kb/sc umeiona kwenye screenshot yangu?. Mkuu umeshinda wewe kila kitu usibishane tena nami kuhusu hili maana naona tunaongea lugha mbili tofauti. Kazinjema mkuu.
 
Kama unataka kuthibitisha karibu kwetu Babati, Manyara uthibitishe kwa macho yako. Pia uctegemee kupata hiyo speed km unatumia modem ya 3.6Mbps. Jifunze kutofautisha kati ya KB/sec na kb/sec ni hayo 2.

B - Bytes b - bits 8b=1B

Duuu hii ni kiboko tofauti uliyotoa ni tofauti na swali ulilotoa. unamaana ile kb/sec ni kilobits/sec na KB/sec ni Kilobytes/sec. Na wasiwasi na elimu yako usije ukapoteza muda DIT au COET wakati hii kitu huitaji hivyo vitu mkuu. hata HKL anakusaidia kwa hili.
 
Kuna watu wabishi sana humu, nikiwa kwenye PC nitachukua screenshot ninavyokamata fresh na kugonga 800KB/Sc
 
Duuu hii ni kiboko tofauti uliyotoa ni tofauti na swali ulilotoa. unamaana ile kb/sec ni kilobits/sec na KB/sec ni Kilobytes/sec. Na wasiwasi na elimu yako usije ukapoteza muda DIT au COET wakati hii kitu huitaji hivyo vitu mkuu. hata HKL anakusaidia kwa hili.

Bahati Mbaya huko kwenye elimu tayari tulishapita, Ndo maana nkasema jaribu kutofautisha coz kila kitu kina maana yake so km hujui n bora uache kuandika au ukubali kukosolewa.
 
kama unataka kuthibitisha karibu kwetu babati, manyara uthibitishe kwa macho yako. Pia uctegemee kupata hiyo speed km unatumia modem ya 3.6mbps. Jifunze kutofautisha kati ya kb/sec na kb/sec ni hayo 2.

b - bytes b - bits 8b=1b

bahati mbaya huko kwenye elimu tayari tulishapita, ndo maana nkasema jaribu kutofautisha coz kila kitu kina maana yake so km hujui n bora uache kuandika au ukubali kukosolewa.

no correlation
 
Jamani hebu tujadili haya mambo kitaalamu sasa, naona tunabishana tuu na tuna weka kando fact
Swala speed linategemea mambo makuu mawili

Speed anayotoa Service provider wako, na hapa kuna mambo kadhaa ndani yake
Teknolojia inayotumika - EDGE/GPRS, 3G/3.7G/UMTS

Aina ya Bundle, kuna bundle zinabanwa speed na zingine zinaachiwa katika maximum speed inayotolewa na SP

Location uliyopo - unakama signal gani? EDGE au 3G nk

Aina ya modem unayotumia-Modem zinatofautiana upitishaji wa speed kuna za 1MPS hadi 21 Mps

Kuna factors zingine ndogo ndogo kama updates kwa windows yako, uwezo wa pc yako, settings za pc yako na browser yako, mfano utumiaji wa pronx nk

Sasa ili kupata speed unayotajwa hapa ni lazima uzingaatie vigezo hapo juu
Ni ndoto kwako kupata speed nzuri kama unatumia signal za EDGE
Ni ndito kwako kupata speed ya zaidi ya 500KBps kama unatumia modem yenye uwezo wa chini ya 3MBP
Nindoto kwako kupata speed nzuri kama unatumia kifurushi kinachotoa speed ndogo nk nk

Sasa wataalamu watusaidie
Je Airtel kwa minara ya 3g na 3.7g wanatoa speed gani na minara ya edge inauwezo wa speed gani
Je vifurushi vya Aitel vimekaaje kwa upande wa speed, limit yake kwa kila kifurushi
Je kila modem zina uwezo gani kupitisha speed nk nk

Mimi binafsi natumia modem ya vodafone k3570-z yenye uwezo wa kupitisha speed ya 3.6Mbps
Nimeset Join Air dash board ikamete 3G only
Speed ninayopata inacheza 200KBps to 500KBps sizidi hapo kwasababu modem yangu uwezo wake umekomea hapo
But most of time speed yangu ni 200-300KB ps
Facts
Nakamata 3G muda wote
Kifurushi changu hakijabanwa speed

Kama mimi naweza kukamata 500KBps nikiwa na modem inayonilimit 3.6MBps je mwenye modem ya 7MBps kama speed inaruhusu si anaweza kukamata zaidi ya 500KBps?
 
airtel nilishawatosa siku nyingi bora voda hata kama wanagharama.
 
Nadhani speed inategemea na maeneo. Mi niko kimara baruti, hebu chek speed nayopata kwenye screenshot chini hapo
 

Attachments

  • airtel noma.jpg
    airtel noma.jpg
    120.5 KB · Views: 171
Jamani hebu tujadili haya mambo kitaalamu sasa, naona tunabishana tuu na tuna weka kando fact
Swala speed linategemea mambo makuu mawili

Speed anayotoa Service provider wako, na hapa kuna mambo kadhaa ndani yake
Teknolojia inayotumika - EDGE/GPRS, 3G/3.7G/UMTS

Aina ya Bundle, kuna bundle zinabanwa speed na zingine zinaachiwa katika maximum speed inayotolewa na SP

Location uliyopo - unakama signal gani? EDGE au 3G nk

Aina ya modem unayotumia-Modem zinatofautiana upitishaji wa speed kuna za 1MPS hadi 21 Mps

Kuna factors zingine ndogo ndogo kama updates kwa windows yako, uwezo wa pc yako, settings za pc yako na browser yako, mfano utumiaji wa pronx nk

Sasa ili kupata speed unayotajwa hapa ni lazima uzingaatie vigezo hapo juu
Ni ndoto kwako kupata speed nzuri kama unatumia signal za EDGE
Ni ndito kwako kupata speed ya zaidi ya 500KBps kama unatumia modem yenye uwezo wa chini ya 3MBP
Nindoto kwako kupata speed nzuri kama unatumia kifurushi kinachotoa speed ndogo nk nk

Sasa wataalamu watusaidie
Je Airtel kwa minara ya 3g na 3.7g wanatoa speed gani na minara ya edge inauwezo wa speed gani
Je vifurushi vya Aitel vimekaaje kwa upande wa speed, limit yake kwa kila kifurushi
Je kila modem zina uwezo gani kupitisha speed nk nk

Mimi binafsi natumia modem ya vodafone k3570-z yenye uwezo wa kupitisha speed ya 3.6Mbps
Nimeset Join Air dash board ikamete 3G only
Speed ninayopata inacheza 200KBps to 500KBps sizidi hapo kwasababu modem yangu uwezo wake umekomea hapo
But most of time speed yangu ni 200-300KB ps
Facts
Nakamata 3G muda wote
Kifurushi changu hakijabanwa speed

Kama mimi naweza kukamata 500KBps nikiwa na modem inayonilimit 3.6MBps je mwenye modem ya 7MBps kama speed inaruhusu si anaweza kukamata zaidi ya 500KBps?
Sema kwa upande wa kifurushi mi nashindwa kuelewa kwani mi hununua kile cha mb 400 kwa sh 2500 na bado sijalimitiwa speed, may be other factors, may be ''Ni ndoto kwako kupata speed nzuri kama unatumia signal za EDGE
Ni ndito kwako kupata speed ya zaidi ya 500KBps kama unatumia modem yenye uwezo wa chini ya 3MBP''
​and other machine related settings
 
Ama kweli mleta mada hapa ana boa kama mbunge wa CCM. Miye imeniboa nikaitupilia kapuni, sasa uansema ina high speed. Acha kutudanganya wengine kama kama wabunge wa CCM. Nonsense.
 
Back
Top Bottom