Speed ya moderm ya airtel sijawahi kuiona

Jamani huyu bwana ni Mdau wa Airtel,kwa mfano mimi ninazo Moderm zote za Airtel,ya zamani na hii ya kizushi eti 3.75, cha ajabu sijawahi kupata spidi hata theluthi ya hiyo, kwa Wanajamvi ambao hamjanunua tafadhali msikurupuke kwa Posti kama hizi hawa watu wanakuwaga wametumwa kufanya Promo humu.Airtel ninawajua inside out,na hz moderm zao mpya wamezilock ukifosi settings ili i preffer WCDMA option hiyo hai respond kwa hiyo imefungwa.Chunguza kwanza kabla ya kununua la sivyo utakuja ulie kama sisi wengine
 
attachment.php



Kwa Hesabu rahisi tu mkuu mie nafanya ulikua unadownload 800kb/sec na file lako lina 34.441mb chukua 34.441x1024kb ili tupate jumla ya kb halafu tugawe kwa speed yako. Tunapata 35267.584kb ukigawa kwa 800kb/sec tunapata 44.08 seconds kudownload hiyo 34mb. Sasa mkuu hii speed inaonekana net ili shake so wakati inarudi ikaboost kwa ku kuread data ambayo ilikua imesha kuwa downloaded ikaisoma kwa kasi Tena kwa taarifa yako hata 1.6mb/sec inawezekana kwa hiyo situation lakini inafall very fast.

Kwa hizo mb 34.441-20.916=13.525mb which is equvalent to 13,849.6kb tukigawa kwa 800kb/sec tunapata 17.31 seconds na sio 31sec kama inavyoonyesha. kiuhalisia ww unaopata 400kb/sec tena unaipata kwa shida sana.

Hiyo nimetumia speed ya 800kb/sec cjatumia ile ya 858.843kb/sec.

Mkuu kajipange tena.

fadhili paulo
 
Kwa Hesabu rahisi tu mkuu mie nafanya ulikua unadownload 800kb/sec na file lako lina 34.441mb chukua 34.441x1024kb ili tupate jumla ya kb halafu tugawe kwa speed yako. Tunapata 35267.584kb ukigawa kwa 800kb/sec tunapata 44.08 seconds kudownload hiyo 34mb. Sasa mkuu hii speed inaonekana net ili shake so wakati inarudi ikaboost kwa ku kuread data ambayo ilikua imesha kuwa downloaded ikaisoma kwa kasi Tena kwa taarifa yako hata 1.6mb/sec inawezekana kwa hiyo situation lakini inafall very fast.

Kwa hizo mb 34.441-20.916=13.525mb which is equvalent to 13,849.6kb tukigawa kwa 800kb/sec tunapata 17.31 seconds na sio 31sec kama inavyoonyesha. kiuhalisia ww unaopata 400kb/sec tena unaipata kwa shida sana.

Hiyo nimetumia speed ya 800kb/sec cjatumia ile ya 858.843kb/sec.

Mkuu kajipange tena.

fadhili paulo

Bahati mbaya sipo kubishana, Fanya calc hizi 6.72x1024=6881.28 6881.28/8=860.16 Kama ni mwelewa umeelewa
 
paje 800kbps yani ina maana 800 kilo bytes kwa kila sekunde 1

800kb --- sekude moja = 800kb
800kb--- sekunde 10 = 8mb
800kb --- sekunde 100= 80mb

Sekunde 100 = dk 1 na sekunde 40 so ina maana ni chini ya dakika 2 he is right paje
kwa spiid ya 800kb/s hapo sina maneno,hii is very right. ila alituma screenshot ya speed 461kb/s ndio nikasema haiwezekani kuchukua mda huo.
 
hapa hapa DAR airtel wanaspidi ya kinyonga au kobe. na maeneo mengine wana rockin speed
 
Habari jf
Nichukuwe fursa hii kukiri kuwa tangu nimeanza kutumia internet, sijawahi kukutana na internet ya speed kubwa kama hii ya airtel ya sasa, sijawahi. File la ukubwa wa mb 87 ndani ya dk 2 limeshushwa!!!, mnasemaje nyie wanajamvi?.

Acha uongo we mbwiga MB 87 ndani ya dk. 2 ni uongo mkubwa tena wa kupindukia. Kwa taarifa yako sasa hivi Airtel modem kipindi hiki ni hovyo sana na wala haifai kuipa sifa hizo.
 
Jamani huyu bwana ni Mdau wa Airtel,kwa mfano mimi ninazo Moderm zote za Airtel,ya zamani na hii ya kizushi eti 3.75, cha ajabu sijawahi kupata spidi hata theluthi ya hiyo, kwa Wanajamvi ambao hamjanunua tafadhali msikurupuke kwa Posti kama hizi hawa watu wanakuwaga wametumwa kufanya Promo humu.Airtel ninawajua inside out,na hz moderm zao mpya wamezilock ukifosi settings ili i preffer WCDMA option hiyo hai respond kwa hiyo imefungwa.Chunguza kwanza kabla ya kununua la sivyo utakuja ulie kama sisi wengine

Unajua maana ya WCDMA??? Wana jamvi hebu nielezeni Airtel wana WCDMA band hapa nchini kwetu???
 
attachment.php



Kwa Hesabu rahisi tu mkuu mie nafanya ulikua unadownload 800kb/sec na file lako lina 34.441mb chukua 34.441x1024kb ili tupate jumla ya kb halafu tugawe kwa speed yako. Tunapata 35267.584kb ukigawa kwa 800kb/sec tunapata 44.08 seconds kudownload hiyo 34mb. Sasa mkuu hii speed inaonekana net ili shake so wakati inarudi ikaboost kwa ku kuread data ambayo ilikua imesha kuwa downloaded ikaisoma kwa kasi Tena kwa taarifa yako hata 1.6mb/sec inawezekana kwa hiyo situation lakini inafall very fast.

Kwa hizo mb 34.441-20.916=13.525mb which is equvalent to 13,849.6kb tukigawa kwa 800kb/sec tunapata 17.31 seconds na sio 31sec kama inavyoonyesha. kiuhalisia ww unaopata 400kb/sec tena unaipata kwa shida sana.

Hiyo nimetumia speed ya 800kb/sec cjatumia ile ya 858.843kb/sec.

Mkuu kajipange tena.

fadhili paulo
Kweli kiswahili kigumu, nimeamini. Sasa hiyo screenshot ni ya kwangu?, tatizo watu wanasumbuliwa na BP humu wengi sana. Screenshot niliyoweka mimi inaonesha ninadownload file la ukubwa mb 68.327 ambayo ni sawa na kb elfu 68327. IDM inaonesha transfer rate ya kb 461.041 na itatumia dk 3.12.

ili uelewe na-summarize hapa:
Dakika 3.12 = Sekunde 192
Kila sekunde kb 461.041 zitakuwa zinashushwa

kwa hiyo: 461.041 x 192 = 88519.872 !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! huoni kuwa hata hizo dk 3.12 bado ni nyingi?. Chukua glasi ya maji unywe mkuu.
 
Unajua maana ya WCDMA??? Wana jamvi hebu nielezeni Airtel wana WCDMA band hapa nchini kwetu???
Sasa naanza kuijuwa jf. Kwanini isiwepo mkuu? ndivyo ninavyoandikiwa hata mimi katika modem yangu, option hiyo wala sikuiforce wala kuiconfigure nilinunua ipo configured hivyo kila wakati.
 
Acha uongo we mbwiga MB 87 ndani ya dk. 2 ni uongo mkubwa tena wa kupindukia. Kwa taarifa yako sasa hivi Airtel modem kipindi hiki ni hovyo sana na wala haifai kuipa sifa hizo.
Duh! umetukana kabisa mkuu, naamini sasa nilikuwa na haki kulileta hili, kumbe wengi sana bado mnahangaika.
 
Jamani huyu bwana ni Mdau wa Airtel,kwa mfano mimi ninazo Moderm zote za Airtel,ya zamani na hii ya kizushi eti 3.75, cha ajabu sijawahi kupata spidi hata theluthi ya hiyo, kwa Wanajamvi ambao hamjanunua tafadhali msikurupuke kwa Posti kama hizi hawa watu wanakuwaga wametumwa kufanya Promo humu.Airtel ninawajua inside out,na hz moderm zao mpya wamezilock ukifosi settings ili i preffer WCDMA option hiyo hai respond kwa hiyo imefungwa.Chunguza kwanza kabla ya kununua la sivyo utakuja ulie kama sisi wengine

Mkuu hii post imenifanya nijifunze kuandaa screenshot, nakuwekea screenshot ya airtel uione hiyo WCDMA kama inavyoonekana katika screen ya pc yangu, nadhani nitakuwa nimekidhi mahitaji yako. Weka mouse juu yake ku-preview
WCDMA Testimonial.PNG
 
kwa spiid ya 800kb/s hapo sina maneno,hii is very right. ila alituma screenshot ya speed 461kb/s ndio nikasema haiwezekani kuchukua mda huo.
Nilituma screenshot tofauti na ile niliyoitaja (mb 80) katika first post kwakuwa ile ya mb 80 jina la hilo file nisingeweza kuliweka public kwa sababu za kimaadili, badala yake nikaweka jingine la mb 68 kwa dakika 3. Utaona mwenyewe dk 3 ni sekunde 180, sekunde 180 x 460 = 82800, kwahiyo kama speed itabaki constant au iongezeke kwa sekunde 1, bado dk 3 ni nyingi???!!!. Sijuwi kama unanielewa.
 
Habari jf
Nichukuwe fursa hii kukiri kuwa tangu nimeanza kutumia internet, sijawahi kukutana na internet ya speed kubwa kama hii ya airtel ya sasa, sijawahi. File la ukubwa wa mb 87 ndani ya dk 2 limeshushwa!!!, mnasemaje nyie wanajamvi?.

siyo kweli, ni wadanganyifu, hiyo offer ( kama hapo chini) siyo kweli kama inavyojieleza, hivyo huwezi amini hata hizo speed wanazosema, kama wameshindwa kuwa wawazi kwa hilo, na kudanganya wateja speed ni very technical hivyo ni longo longo, nilinuua lakini hakuna free internate kwa miezi 6 wala speed kama walivyoeleza, be careful utaingizwa mjini na itakula kwako
 
Sasa naanza kuijuwa jf. Kwanini isiwepo mkuu? ndivyo ninavyoandikiwa hata mimi katika modem yangu, option hiyo wala sikuiforce wala kuiconfigure nilinunua ipo configured hivyo kila wakati.

I was just asking Mkuu, WCDMA ni band imara na tofauti na zile za GSM ndo maana nikaomba kuhakikishiwa kama Airtel wanatumia band hii. Pia WCDMA itakua maeneo machache ichini, Mfano MiMi niko Mwanza lakini nakamata band za GSM pekeyake.
 
I was just asking Mkuu, WCDMA ni band imara na tofauti na zile za GSM ndo maana nikaomba kuhakikishiwa kama Airtel wanatumia band hii. Pia WCDMA itakua maeneo machache ichini, Mfano MiMi niko Mwanza lakini nakamata band za GSM pekeyake.
Basi mwanza wanaonewa sana mkuu, basi bila shaka umejionea mwnyewe mkuu.
 
Bahati mbaya sipo kubishana, Fanya calc hizi 6.72x1024=6881.28 6881.28/8=860.16 Kama ni mwelewa umeelewa

Hizo calculation ndugu haziendi hivyo calculate in relation to folder unalodownload kwa style hiyo bado unamaanisha hivi jumla ya file unalodowload ni 35267.584kb na unadownload kwa 860.16kb/sec ilitakiwa utumie muda huu kumaliza hicho kijifile chako kudownload 35267.584/860.16= 41seconds. Hizi 41 seconds ndo ulitakiwa umalize kijifile chako cha ajabu una asilimia% 60 ndo kwanza umebakiza 31seconds. Hahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom