Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
- Thread starter
- #61
Nashukuru mkuu kwa ushuhuda wako, nimeona yako ni kb 858 zaidi hata ya hiyo niliyosema mimi.nashukuru maana humu watu hawaelewi.Speed inategemea na sehemu ulipo hii ndio speed ninayopata kwa airtel TZView attachment 56659