Speed ya moderm ya airtel sijawahi kuiona

staff wao nn,mbona mm yangu ipo slow mnoo,u tube video inakatakata kinoma hadi inaboa sasa

Niko zangu magomeni, AIRTEL hata 3G haikai vizuri mara inapotea, na speed yao nimeiona kama kubwa kweli, mana nlikuwa na download file ta around 142MB kwa speed ya 0.8kb/s magomeni iyo.
 
Niko zangu magomeni, AIRTEL hata 3G haikai vizuri mara inapotea, na speed yao nimeiona kama kubwa kweli, mana nlikuwa na download file ta around 142MB kwa speed ya 0.8kb/s magomeni iyo.

ilo file lita complete ku download 2014.
 
Habari jf
Nichukuwe fursa hii kukiri kuwa tangu nimeanza kutumia internet, sijawahi kukutana na internet ya speed kubwa kama hii ya airtel ya sasa, sijawahi. File la ukubwa wa mb 87 ndani ya dk 2 limeshushwa!!!, mnasemaje nyie wanajamvi?.

I have a little doupt on that
Natumia airtel pia na sijawahi experience such speed, most of the time 3g is out of range and only work under Edge
 
Hawa airtel wanazingua sana sasa hiyo 3.75G yao inafanya kazi gani. Nafungua webpage ina load utadhani nipo porini natumia GPRS kumbe ni 3.75G bora wangeiita 3.75KB/S-G
 
Hii speed ya airtel inategemea na mji manake juzi nilikuwa moshi 3g haipatikani kabisa
 
staff wao nn,mbona mm yangu ipo slow mnoo,u tube video inakatakata kinoma hadi inaboa sasa

sijawah kununua modem ila natumia simu kama wi-fi hotspot toka mwaka jana airtel inanipa raha sana. huwa naweka vocha ya 15000 najiunga ile ya 2500 mara 6 so nakuwa na vifurushi 6 vyenye MB 400 kila kimoja so nakuwa na approxmately 2.2GB movie ya 700mb nashusha kwa dakika 45 hapa niko mkoani sipati picha kwa Dar.
 
Jamani kuna k2 Airtel wanataka hawasemi ukinunua bundle ya 400mb kwa 2.500 kwa mwezi kupitia 15444 hawataki wanachotaka ununue ile ya 30,000 kwa mwezi 400mb kwa *154*44# labda hiyo speed utaiona
Mm nina modem ya Airtel siitaki natumia BlackBerry 8100 speed haina kikomo kwa chochote
Kuna thread niliituma JF kupitia Laptop na modem ya Airtel niligundua makosa nikataka kusahihisha yaani modem ya Airtel haiwezi na ni kituko BlackBerry alifungua sekunde na kusahihisha
AIRTEL mchemsho
 
Habari jf
Kwanza mi siyo mfanyakazi wa airtel, muda mrefu nilikuwa natumia sasatel lakini airtel walipoanzisha 3g nikahamia kwao, sababu ya speed ninayoishuhudia siku hadi siku nimeona si vibaya nikisema lakini kumbe sijuwi wengine humu hawapendi.

Sijuwi namna ya kufanya hiyo screenshot lakini nitajitahidi niiweke.

Nipo dar, natumia windows xp sp3, single processor 1.7, RAM 1.5gb, Natumia googlechrome kama browser, Nadownload kwa kutumia IDM last version. Nimefunga kama program 6 tu hivi na nina free space upande wa os ya gb 9.

Mara nyingi ninapounganisha internet huandikiwa chini ''Airtel Tanzania is now connected 7.2 mb/ps, ninapodownload speed huwa 500kb mpaka 700. Natumia airtel broadband huawei E173. Na hutumia bundle ya mb 400 kwa sh 2500 kila mara ikiisha nanunua nyingine.

Nitaleta screenshot
 
Niko zangu magomeni, AIRTEL hata 3G haikai vizuri mara inapotea, na speed yao nimeiona kama kubwa kweli, mana nlikuwa na download file ta around 142MB kwa speed ya 0.8kb/s magomeni iyo.
Hizi modem zinawekwa line za simu, hivyo zinategemea minara ya simu, eneo ulilopo ukiona network ya internet inasumbuwa sana utaona hata ukipiga au kupigiwa simu eneo hilo network inasumbua, si ajabu ukikaa chumba kingine au nje ya nyumba yako speed inaweza kubadilika, mi nipo nje kabisa ya jiji chumbani kwangu ndiko speed hiyo naipata, utashangaa hata nikiwa posta au kariakoo bado speed ninayoipata haizidi ile ya nyumbani, inaonekana mnara uliopo eneo hili una nguvu sana au unawatumiaji wachache wa net. Ningeweza kukutana nawe ana kwa ana nijuwe tatizo hasa bali siwezi kwa sababu binafsi.
 
ni kweli speed ya airtel ni nzuri ila inategemea na mikoa..kuna baadhi ya mikoa wanatumia network za 2G na baadhi miko wana mitambo ya 3G tayari..ila kwa average airtel inajitahidi kwa maeneo mengi tayari wana 3G
 
Voda ndo mambo yote, best internet kwa bei nafuu sawa na bure
 
staff wao nn,mbona mm yangu ipo slow mnoo,u tube video inakatakata kinoma hadi inaboa sasa
MI kwenye youtube naangalia video utadhani zipo offline kumbe online, hili ni moja ya vitu vilivyonishangaza pia. Hai-stream kabisa, ikianza imeanza. Kama wengi wanalalamika basi najipongeza sana binafsi
 
Aitel wanaspeed nzuri sana sema tu kuna baadhi ya mambo yanafanya watu kupata speed ndogo

Updates,
watu wengine toka wainstall windows zao hawajawahi kufanya updates, hili ni tatizo pia

Location,
Kama upo eneo hakuna mnara wa 3g au inakamata kimazabe nalo ni tatizo

Settings,
watu wengi hawajafanyia settings dashboard zao ku force ikamte kwenye 3g tu, wameweka automatic inayo chagua edge

Kifurushi,
bundle nayo inahusika sana, nasikia kifurushi cha mb 200 kwa sh2500 ukitumia kwenye modem kwaajili ya pc wamekibania speed siku hizi (sina hakika sana)

Binafsi napata speed nzuri sana inarange 200kB/ps to 500kB/ps......................most of time nacheza za 300kB/ps
Hapa chini ni screenshot ya vitu viwili nadownload at the same time
Capture.PNG
 
Got 2 luv u - sean paul.jpg
Hii hapa hiyo screenshot mnayotaka, sasa sijuwi mtataka nini tena. hili ni file la ukubwa wa mb 68 ndiyp linaanza tu kuwa downloaded na IDM inasema itatumia dk 3 ninauhakika itatumia dk 1. Ukisogeza mouse juu ya hiyo picha itajikuza na utaweza kuiona vizuri.. KARIBUNI TENA​
 

Attachments

  • Got 2 luv u - sean paul.bmp
    823.2 KB · Views: 35
Nashukuru sana mkuu kwa post yako, nikweli nilikuwa sijuwi lakini kumbe ni rahisi sana, nimesoma hapa: Take a screen shot

asante kushukuru, asante pia kwa ile screenshot, naona ulikua unatumia download accelerator, nimeelewa fadhili, jaribu pia na speedtest kujua download speed na upload speed ya connection yako
 
asante kushukuru, asante pia kwa ile screenshot, naona ulikua unatumia download accelerator, nimeelewa fadhili, jaribu pia na speedtest.net kujua download speed na upload speed ya connection yako
Ahsante kwa kukiri kwako mkuu, kwanza mi situmii download accelerator, mi natumia IDM (Internet Download Manager). Nakuwekea hapa screenshot ya upload na download speed yangu kama ulivyotaka, sasa hivi nimeitest hiyo:
upload and download speed.PNG
Utaona download speed ni 1.7mbps na upload speed ni 1.7mbps, kusema ukweli hii si speed ya kawaida, ni lazima nishangae ndiyo maana wengi wamepinga pia. Natumaini airtel wataendelea kutafiti zaidi na zaidi hatimaye sote tufurahi ingawa kuna mengi zaidi kuhusiana na internet speed na siyo moderm peke yake kama wengi wanavyodhani. kama kawaida ukisogeza mouse ktk picha hiyo itaojiongeza ukubwa automatically.​
 
Haya fadhil paul kwa mnaotumia pc je? Hiyo speed 1.7 millbyete per second.inatosha? Hata utafute nguzo za Airtel kwa kubeba computer yote
Mm nilitumia modem yao na nina line yao isipokuwa hawana ushirikiano na wateja
Nenda Facebook tigo wapo hewani kusaidia wenye matatizo
Natumia BlackBerry kupitia tiGo speed kubwa hao Airtel wakirekebisha nitarudi
 
Back
Top Bottom