staff wao nn,mbona mm yangu ipo slow mnoo,u tube video inakatakata kinoma hadi inaboa sasa
Niko zangu magomeni, AIRTEL hata 3G haikai vizuri mara inapotea, na speed yao nimeiona kama kubwa kweli, mana nlikuwa na download file ta around 142MB kwa speed ya 0.8kb/s magomeni iyo.