Siku moja kuna rafiki yangu na mkewe walimpeleka mtoto wao kumuona Specialist wakaambiwa walipie 22,000.00 ili kupata huduma na kwa kuwa shida yao ilikuwa ni kumuona Specialist basi wakalipa. Mtoto alikuwa anasumbuliwa na michubuko mdomoni kwa sababu ya upungufu wa vitamin.
Kitu cha ajabu Specialist akamwambia inabidi amcheki mtoto HIV wiki ijayo pia akaendelea kumfokea baba akisema ina maana hajawahi kuwa na nyumba ndogo pia akasema je kama mke si muaminifu anajuaje.
Jamaa akamuomba basi awapime siku hiyo akakataa akawambia waende wiki ijayo. Kitu cha kushangaza ni kwamba huyo aliyejiita ni Specialist hakuwafanyia hata cancelling. Basi jamaa na mkewe waliamua kwenda gvt hospital kucheck wakaambiwa wako negative wote watatu na mtoto kisha mtoto akapata matibabu ikiwa ni pamoja na kushauriwa wampe mtoto mboga za majani na matunda kwa wingi.
Hivyo wakuu kuweni makini na Private hospital za Bongo kuna zingine zina wababaishaji.
Kitu cha ajabu Specialist akamwambia inabidi amcheki mtoto HIV wiki ijayo pia akaendelea kumfokea baba akisema ina maana hajawahi kuwa na nyumba ndogo pia akasema je kama mke si muaminifu anajuaje.
Jamaa akamuomba basi awapime siku hiyo akakataa akawambia waende wiki ijayo. Kitu cha kushangaza ni kwamba huyo aliyejiita ni Specialist hakuwafanyia hata cancelling. Basi jamaa na mkewe waliamua kwenda gvt hospital kucheck wakaambiwa wako negative wote watatu na mtoto kisha mtoto akapata matibabu ikiwa ni pamoja na kushauriwa wampe mtoto mboga za majani na matunda kwa wingi.
Hivyo wakuu kuweni makini na Private hospital za Bongo kuna zingine zina wababaishaji.