Unaambiwa silaha zinzotumika kwenye SMO ni kiduchu tu! Siku NATO wakijichanganya imekula kwao!

Majengo ya kijeshi na viwanda nchini Urusi yanazalisha silaha na risasi zaidi ya zile zinazohitajika kwa vita dhidi ya Ukraine, Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius alisema.
Kulingana naye, baadhi ya silaha zinazozalishwa hazipelekwi tena mstari wa mbele!-waziri wa ulinzi wa Ujerumani.
View attachment 2973745
Yap! Lakini hakusema kwa kusifia kama unavyojaribu kutuaminisha hapa..,alichokisema kinaashiria kwamba hii vita itachukua muda mrefu maana kila upande Haina budikujidhatiti


Russia is producing more weapons than it needs in the war and is already filling up its warehouses, German Defense Minister Boris Pistorius says.

The head of the German Defense Ministry said that with the increase in spending on armaments and the Russian economy being put on a “war footing,” much of what is produced no longer goes to the front, but ends up in warehouses.

Pistorius warned about Putin's further military ambitions.

“You can be naive and say that he is only doing this out of caution. As a skeptical person, I would say in this case that he is doing this because he has plans, or at least he may have plans,” n-tv quoting the German Defense Minister.
 

Attachments

  • 1714041395184.jpg
    1714041395184.jpg
    364 KB · Views: 2
Hatimaye tumefikiwa😂😂😂

Europe could collapse in the coming years. It may face a great risk of being weakened, warns French President Emmanuel Macron.

" The risks of being weakened, even overthrown, in the coming years are high. The risks of impoverishment for Europe are high, so the EU needs a new strategy for growth and development. Europe needs to remain strategically and technologically independent ," explains Macron.

-"Europe must be ready to build relations with Russia after the end of the conflict in Ukraine", emphasizes Macron.
Yap! Lakini hakusema kwa kusifia kama unavyojaribu kutuaminisha hapa..,alichokisema kinaashiria kwamba hii vita itachukua muda mrefu maana kila upande Haina budikujidhatiti


Russia is producing more weapons than it needs in the war and is already filling up its warehouses, German Defense Minister Boris Pistorius says.

The head of the German Defense Ministry said that with the increase in spending on armaments and the Russian economy being put on a “war footing,” much of what is produced no longer goes to the front, but ends up in warehouses.

Pistorius warned about Putin's further military ambitions.

“You can be naive and say that he is only doing this out of caution. As a skeptical person, I would say in this case that he is doing this because he has plans, or at least he may have plans,” n-tv quoting the German Defense Minister.
Europe could collapse in the coming years. It may face a great risk of being weakened, warns French President Emmanuel Macron.

" The risks of being weakened, even overthrown, in the coming years are high. The risks of impoverishment for Europe are high, so the EU needs a new strategy for growth and development. Europe needs to remain strategically and technologically independent ," explains Macron.

-"Europe must be ready to build relations with Russia after the end of the conflict in Ukraine", emphasizes Macron.
😂😂😂😂 Tuliza boli Dogo
20240425_192818.jpg
 
Unaambiwa silaha zinzotumika kwenye SMO ni kiduchu tu! Siku NATO wakijichanganya imekula kwao!

Majengo ya kijeshi na viwanda nchini Urusi yanazalisha silaha na risasi zaidi ya zile zinazohitajika kwa vita dhidi ya Ukraine, Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius alisema.
Kulingana naye, baadhi ya silaha zinazozalishwa hazipelekwi tena mstari wa mbele!-waziri wa ulinzi wa Ujerumani.
View attachment 2973745


Inavyoonekana, Russia Wana jambo lao kubwa zaidi ya hii ishu ya Ukraine.

Ndio maana Antony Blinken amekimbilia China kuomba Msaada.
 
Hatimaye tumefikiwa😂😂😂

Europe could collapse in the coming years. It may face a great risk of being weakened, warns French President Emmanuel Macron.

" The risks of being weakened, even overthrown, in the coming years are high. The risks of impoverishment for Europe are high, so the EU needs a new strategy for growth and development. Europe needs to remain strategically and technologically independent ," explains Macron.

-"Europe must be ready to build relations with Russia after the end of the conflict in Ukraine", emphasizes Macron.

Europe could collapse in the coming years. It may face a great risk of being weakened, warns French President Emmanuel Macron.

" The risks of being weakened, even overthrown, in the coming years are high. The risks of impoverishment for Europe are high, so the EU needs a new strategy for growth and development. Europe needs to remain strategically and technologically independent ," explains Macron.

-"Europe must be ready to build relations with Russia after the end of the conflict in Ukraine", emphasizes Macron.
😂😂😂😂 Tuliza boli Dogo
View attachment 2973763

Huyu Macron ni mgonjwa wa akili?

Nani aliwashauri wao EU wavunje uhusiano na Russia na kuiwekea vikwazo?
 
Yap! Lakini hakusema kwa kusifia kama unavyojaribu kutuaminisha hapa..,alichokisema kinaashiria kwamba hii vita itachukua muda mrefu maana kila upande Haina budikujidhatiti


Russia is producing more weapons than it needs in the war and is already filling up its warehouses, German Defense Minister Boris Pistorius says.

The head of the German Defense Ministry said that with the increase in spending on armaments and the Russian economy being put on a “war footing,” much of what is produced no longer goes to the front, but ends up in warehouses.

Pistorius warned about Putin's further military ambitions.

“You can be naive and say that he is only doing this out of caution. As a skeptical person, I would say in this case that he is doing this because he has plans, or at least he may have plans,” n-tv quoting the German Defense Minister.
Read between the lines dude! Hapa alionesha wasi wasi kwa URUSI kuongezeka nguvu kijeshi kinyume na matarajio kwamba ipo vitani,alafu amesema hizo silaha huenda ni maandalizi ya kuivamia NATO mbeleni baada ya kumalizana na Ukraine.
 
Shughuli Bado wakati wao wapo Busy na Michango mara Vikao Mrusi Anasonga Mbele nakujichukulia Eneo
Na alisha sema Akichukua Harudishi Vita ikiisha Hayo maeneo Si Ukrein
20240425_205042.jpg


The collapse is accelerating. Yesterday it was only Ocheretyne and Novobakhmutovka. Now Solovieve has been entered and Russians are reportedly gearing up for assault on Arkhangelsk, which would put everything east of it and west of Novokalinov in a boiler
 
Shughuli Bado wakati wao wapo Busy na Michango mara Vikao Mrusi Anasonga Mbele nakujichukulia Eneo
Na alisha sema Akichukua Harudishi Vita ikiisha Hayo maeneo Si Ukrein
View attachment 2973811


The collapse is accelerating. Yesterday it was only Ocheretyne and Novobakhmutovka. Now Solovieve has been entered and Russians are reportedly gearing up for assault on Arkhangelsk, which would put everything east of it and west of Novokalinov in a boiler


Utaratibu uliopo miaka na miaka ni kwamba vita ndio inachora upya mipaka ya nchi. Hayo maeneo hayarudi Tena

Ni Nyerere tu ndiye aliyeta mambo ya kijanga kwa kutoimega Uganda baada ya ile vita ya Kagera.

Yaani tulifika hadi Kampala halafu tukashindwa kuchora upya mipaka kwa kuimega Uganda.
 
Utaratibu uliopo miaka na miaka ni kwamba vita ndio inachora upya mipaka ya nchi. Hayo maeneo hayarudi Tena

Ni Nyerere tu ndiye aliyeta mambo ya kijanga kwa kutoimega Uganda baada ya ile vita ya Kagera.

Yaani tulifika hadi Kampala halafu tukashindwa kuchora upya mipaka kwa kuimega Uganda.
Ha ha haa,aisee we jamaa ni mbabe sana walah.
Ungekua Rais wewe nadhani Malawi na Uganda zingekua sehemu ya Tanzania.
 
Hatimaye tumefikiwa😂😂😂

Europe could collapse in the coming years. It may face a great risk of being weakened, warns French President Emmanuel Macron.

" The risks of being weakened, even overthrown, in the coming years are high. The risks of impoverishment for Europe are high, so the EU needs a new strategy for growth and development. Europe needs to remain strategically and technologically independent ," explains Macron.

-"Europe must be ready to build relations with Russia after the end of the conflict in Ukraine", emphasizes Macron.

Europe could collapse in the coming years. It may face a great risk of being weakened, warns French President Emmanuel Macron.

" The risks of being weakened, even overthrown, in the coming years are high. The risks of impoverishment for Europe are high, so the EU needs a new strategy for growth and development. Europe needs to remain strategically and technologically independent ," explains Macron.

-"Europe must be ready to build relations with Russia after the end of the conflict in Ukraine", emphasizes Macron.
😂😂😂😂 Tuliza boli Dogo
View attachment 2973763
Kuna concept ya Greater Europe kwa maana ya Ulaya moja kutoka Lisbon hadi Vladivostok. Mpango wa ushirikiano kati ya nchi za Ulaya na Urusi hua upo ila US ndo anaingilia kati kuuvuruga.
 
Back
Top Bottom