Russian forces easing attacks on Bakhmut in order to regroup, says Ukraine​

Russian forces have temporarily eased their attacks on Bakhmut to regroup and strengthen their capabilities, a senior Ukrainian official has said.

In a statement on Telegram, Ukraine's Deputy Defence Minister Hanna Maliar said Russian forces have continued attacking but that "overall offensive activity has decreased".

"Yesterday and today there have not been any active battles - neither in the city nor on the flanks," she wrote, adding that Moscow's troops were instead shelling the outskirts and approaches to Bakhmut.

"The decrease in the enemy's offensive activity is due to the fact that troops are being replaced and regrouped," Maliar said.

"The enemy is trying to strengthen its own capabilities."
She added that Ukrainian troops "firmly hold" the heights overlooking Bakhmut from the north and south, as well as a portion of the outskirts, but have not advanced during the past two days to focus on "other tasks".

It comes after Russia's mercenary Wagner group started handing over its positions to regular Russian troops earlier this week.

Here's the latest territorial situation around Bakhmut...
lcimg-aaa81a52-40c6-4f27-bdc7-063f2a858412.jpeg


==========================

Kabla ya kuanza kwa hii SMO, Urusi ilionekana kama dude kubwa mno la kutisha kumbe sio hivyo.....hata Mzee Putin na genge lake walijiona supa-pawa.

Propaganda ina nguvu sana ikitumika vyema.

Hicho kitongoji tu wametumia zaidi ya nusu mwaka na rasilimali za kutosha kukidhibiti, eti ndio wakupambana na NATO huyu ?....

Urusi haiwezi kamwe kumaliza hii Vita kwa ushindi wa kijeshi bila mazungumzo ya kidiplomasia.

Kwan urusi inapigana na burundi au.nenda kapigane ww hio vita ya cku moja.hata aende taratibu vp mradi anashinda tuko sawa.hatuna haraka
 
Ingawa natural gas ni nafuu lkn pia bado bado wananchi wahizo nchi wanalalamika bei Iko juu, eti utumie hydrolysis kuzalisha hydrogen gharama yake Iko vipi?. Mkuu achana nahuyu Jamaa anapoteza muda kwenye mambo ambayo hata mtoto anaesoma chemistry juu ya dis advantage za hydrolysis kwenye General chemistry anajua Kwa nn watu hawatumia hydrolysis kuzalisha gas za hydrogen Kwa wingi
Sasa wewe u mgumu kuelewa kitu au hutaki?? Nimesema angalau mara 2 au 3 kwamba njia ya hidrolisisi injadiliwa pale Ulaya ambako wana ziada ya umeme wakati mwingine.
Unaona faida gani kuzimisha parapela wakati upepo mzuri upo lakini huwezi kuuza umeme???
Hapa kuna majadiliano kutumia nafasi hizo kwa hidrolisisi badala ya kutupa nafasi tu.
Kama haiingii akilini mwako si kitu, watu wengine wanaona nafasi wanajiandaa kupata faida.
 
Kitu kujadiliwa nijambo Moja, unapozungumza jambo kabla halijanza kutumika angalia gharama. Nikupe mfano nchi nyingi Zenye bahari Kwa Nini bawatumii majii ya baharini Kwa ajili ya matumiz ya majumban na viwandani?. Unafikiri haiwezekan? . Inawezekana lkn sabuni ni gharama, huwezi kujenga plant kubwa kutoa chumvi kwenye maji huku mbadala na nafuu ukiwepo. Hayo ya hydrogen hayajaanza kuzungumzwa Leo, au unafikir Kwa nn maji hayatumiki kama mbadala wa mafuta,gas, kwenye magari?. Unafikiri haiwezekan?. Je unajua effect ya kiuchumi Hilo likifanyika?.
Kumbe wataalamu , wanauchumi, wahandisi wanoendelea kuelekea matumizi ya hidrojeni ni wajinga ila bwana mkubwa Rustem Pasha anajua kila kitu???
Pole, siamini.
Si lazima uelewe au ukubali. Kwa wengine, wajisomee kidogo hapa:
1) Why is hydrogen fuel so expensive?

2) Hydrogen - Fuels & Technologies - IEA

3) The Future of Hydrogen – Analysis - IEA
 
Huko west Europe watu wanawaza kutumia makaa ya mawe viwandani ili kukablina na uhaba wa gas halafu ww unazungumzia nishati mbadala. Utakua unaishi Dunia ya peke Yako.
Mkuu je una picha yoyote ya kuongezeka kwa nishati mbadala katika sehemu mbalimbali za Dunia??
Je unajua nchi za EU zina sehemu gani ya upepo/sola/umememaji kati ya vyanzo vya nishati ?

Maana ni nchi tunazojadili hapa tukiuliza kama inawezekana kuendelea bila gesi ya Urusi?

Sishangai sana lakini napenda kukumbusha: Hajuna aliyeshambulia utabiri wa gazeti la Izvestia iliyosema mauzo ya gesi ya Urusi yatapungua tena 50% mwaka huu ... :)
 
Mkuu je una picha yoyote ya kuongezeka kwa nishati mbadala katika sehemu mbalimbali za Dunia??
Je unajua nchi za EU zina sehemu gani ya upepo/sola/umememaji kati ya vyanzo vya nishati ?

Maana ni nchi tunazojadili hapa tukiuliza kama inawezekana kuendelea bila gesi ya Urusi?

Sishangai sana lakini napenda kukumbusha: Hajuna aliyeshambulia utabiri wa gazeti la Izvestia iliyosema mauzo ya gesi ya Urusi yatapungua tena 50% mwaka huu ... :)
Mkuu Urusi alivamia Ukraine toka mwaka 2014 mpaka 2015.ingekuwa rahisi kama ivyo unavyosema basi leo hii tusingekuwa tunaongelea habari ya gesi ya Urusi.
 
Taliban sio jeshi la kisasa ni mkusanyiko wa wapiganaji. Ni kwamba Iran hawakurupuki ila ukisema uwaweke Iran vs Taliban kwenye vita ya roho mbaya isiyo na huruma kwa raia Afghanistan itapigwa ichakae. Kuna maiti kibao uko Afghanistan zimetokana na artillery strike ya Iran.

Alafu fujo za Iran na Taliban tangu warudi madarakani ni nyingi. Iran was disappointed kuwaona wanarudi tena
 
Mkuu je una picha yoyote ya kuongezeka kwa nishati mbadala katika sehemu mbalimbali za Dunia??
Je unajua nchi za EU zina sehemu gani ya upepo/sola/umememaji kati ya vyanzo vya nishati ?

Maana ni nchi tunazojadili hapa tukiuliza kama inawezekana kuendelea bila gesi ya Urusi?

Sishangai sana lakini napenda kukumbusha: Hajuna aliyeshambulia utabiri wa gazeti la Izvestia iliyosema mauzo ya gesi ya Urusi yatapungua tena 50% mwaka huu ... :)
Alafu mkuu unatakiwa kujua umeme wa maji na solar sehemu ndogo sana ya matumizi kwenye dunia
 
US And Allies ‘Playing With Fire’ — Russian FM

The US and its allies are “playing with fire” by doubling down on their support for Kiev amid the conflict with Moscow, including by planning to provide Ukraine with F-16 fighter jets, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has said.

“Of course, it’s an unacceptable escalation,” Lavrov said regarding potential deliveries of American-made warplanes to Kiev in an interview with Russia 1 TV on Sunday. “I think there are reasonable people in the West who understand this. But everything is being dictated by Washington, London, and their satellites inside the EU.”

According to the minister, Poland, and the Baltic States – Latvia, Lithuania, and Estonia – are “executing on the ground the aim set by the US to weaken Russia, deliver it a strategic defeat.”

Subscribe to RT
 
Jibu lako litategemea na aina ya "Wataalamu". Nilivyosema, katika mazingira ya hapa umeme bado ni ghali mno na hapa si rahisi kuitegemea kweli.
Ila hapa tunajadili habari za gesi asilia ya Urusi na swali kama kuna njia mbadala kwa matumizi yake.
Njia hizo ziko kwa sababu uchumi ulioendelea huko Ulaya unatengeneza haraka sana njia nyingi mbadala za kuzalisha na kutumia nishati, hata bila gesi kabisa.
Azimio la kuachana kabisa na gesi, mafuta na makaa walifanya EU tayari kabla ya vita.
Vita ya Putin inaongeza kasi ya mabadiliko hayao.
Wazazi wako walikusisitiza kusoma sayansi

Wewe ukakimbilia kusoma HKL ....ona Sasa kijana unashindwa kujua nguvu ya kimatumizi kati ya Solar power na gas

Utatumiaje Solar power kwny heavy manufacturing industry

Umshana .....
 
Mkuu Urusi alivamia Ukraine toka mwaka 2014 mpaka 2015.ingekuwa rahisi kama ivyo unavyosema basi leo hii tusingekuwa tunaongelea habari ya gesi ya Urusi.
Mkuu uvamizi wa Krimea wengi katika Ulaya walipinga lakini walivumilia. Ni sasa tu kwamba Putin alikosea vibaya, hakuna tena anayetaka kumvumilia.
Mfano hadi mwanzo 2022 siasa ya Ujerumani bado ilifanya maandalizi ya kuunganisha bomba la Nordstream 2 iliyokuwa tayari wakati ule. Sasa wamefunga mabomba yote.
Pia hadi 2021 Green Party bado haikuwepo serikalini. Hao wanasisitiza utekelezaji wa mipango ya kuhamia nishati mbadala. Kwa hiyo kasi imeongezeka sasa tangu vita ya 2022.
 
Alafu mkuu unatakiwa kujua umeme wa maji na solar sehemu ndogo sana ya matumizi kwenye dunia
Wewe unahitaji kujua kitu. Kwa mfano nchi gani zimefaulu kiasi gani kuhamia nishati mbadala? Aina gani (sola, maji, upepo, mengine) ? Sekta gani?
Halafu upatikanaji wa nishati mbadala umebadilika vipi katika muda gani?

Unaongea (na kufikiri) juujuu. Je "sehemu ndogo sana" ni asilimia ngapi machoni pako? 1%, 5%, 10, 20, 30, 50% ???
 
Back
Top Bottom