Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 5,577
- 11,410
Aljazeera hao wameripoti hivyo,leo hii wananyoosha taarifa!
Supa-pawa kashindwa kabisa kuvimaliza Vita kwa ushindi ndani ya mwaka mmoja......... angekuwa anapigana na NATO huyu Supa-pawa wa mchongo tungeshamsahau kitambo kama aliwahi kuwepo.RUSSIA anapigana kimkakati sana kadri UKRAINE anavyokaza shingo ndio anapotea DUNIANI
Kwani kati ya urusi na ukraine nani kavamia eneo la mwenzake?Nashauri Ukraine waache uvamizi kwenye maeneo ya Urusi maana wataendelea kupoteza maisha ya wanajeshi wake bila sababu
Kama vita itaishia uko uko kwao ni sawa tuKiongozi usiombee hilo.. hii itakuwa vita ya nuclear... ni hatari sana.. bora hata hiki kinachoendelea sasa...
Kuna silaha ambazo hazitakiwi kutumika mzee.. ila russia akiamua kutumia kila alichonacho kwenye ghala lake la silaha mpaka sasa ukraine ingekua imebaki majivu tuUkraine tu imemtoa jasho mwaka mzima......ingekuwa anapigana na NATO huyu Supa-pawa wa mchongo tungeshamsahau kitambo.
Hii Inazidi kudhihilisha kwamba Kila mwenye akili anasimama na Ukraine.., pamoja na kwamba Putin ameshaharibikiwa katika hii vita ,ni wazi Sasa atazidi kuharibikiwa zaidi na zaidiIsrael admits to secret aid to Ukraine
Israel provides Ukraine with more assistance than it seems at first glance. This was stated by the country's ambassador to Germany, Ron Prozor.
“We help, even if behind the scenes, and much more than is known,” Prozor said in an interview with the German Funke Mediengruppe.
The ambassador clarifies that Israel also prefers to remain in the background due to the Russian presence in Syria.
Israel has previously stated that it is afraid to supply Ukraine with the Iron Dome anti-missile defense system because of Russia, since the Russian Federation could intercept these technologies.
Ushawahi kujiuliza kama vita ikiendelea kwa muda mrefu nini kitatokea?Kiongozi usiombee hilo.. hii itakuwa vita ya nuclear... ni hatari sana.. bora hata hiki kinachoendelea sasa...
Ushawahi kujiuliza kama vita ikiendelea kwa muda mrefu nini kitatokea?
Hali ikiendelea hivi vita ya tatu haiepukiki.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yeye pekee ndio mwenye hizo silaha ?Kuna silaha ambazo hazitakiwi kutumika mzee.. ila russia akiamua kutumia kila alichonacho kwenye ghala lake la silaha mpaka sasa ukraine ingekua imebaki majivu tu
Sawa MKUU ila pole sanaaSupa-pawa kashindwa kabisa kuvimaliza Vita kwa ushindi ndani ya mwaka mmoja......... angekuwa anapigana na NATO huyu Supa-pawa wa mchongo tungeshamsahau kitambo kama aliwahi kuwepo.
Nge ..tunge...wange .... Ukishatumia nge ..maaana yake muda ushawatupa mkono .... Pole jikaze kisabuni ...Supa-pawa kashindwa kabisa kuvimaliza Vita kwa ushindi ndani ya mwaka mmoja......... angekuwa anapigana na NATO huyu Supa-pawa wa mchongo tungeshamsahau kitambo kama aliwahi kuwepo.
Sawa MKUU ila pole sanaUkraine tu imemtoa jasho mwaka mzima......ingekuwa anapigana na NATO huyu Supa-pawa wa mchongo tungeshamsahau kitambo.
Ukraine hana silaha za nuclear labda apewe na natoYeye pekee ndio mwenye hizo silaha ?
Ukraine tu imemtoa jasho mwaka mzima......ingekuwa anapigana na NATO huyu Supa-pawa wa mchongo tungeshamsahau kitambo.
Ni wapi nimeandika hicho kitu?Kwani Urusi hapotezi askari wake ?
Hawezi kupewa na hata Urusi sio rahisi watumie zao labda Putin kichaa kimpande.Ukraine hana silaha za nuclear labda apewe na nato
Sasa kwanini wanavamia maeneo ya Urusi?Ukraine imevamiwa hivyo inapewa silaha ili iweze kujilinda na kulinda raia wake......hakuna uchochezi hapo