Basi nahitimisha kwa kukuambia kwamba katika Thread hii Pro Russia ukweli mmeonesha uwezo mkubwa usii na kifani katika ufahamu wa mambo,ujengaji wa hoja,upanguaji wa upotoshaji, kumudu mijadala na kuchambua mambo mbalimbali..
Ukweli mmelitawala kabisa jukwaa hili.
Uzuri sio Mimi TU nimekusifia Bali watu makini wamekua wakiwasifua.
Unajua hata shuleni,mwalimu mahili hua anafahamika.
Kwa kifupi woooote kabisa Pro Russia mko vizuri sana.
Ila mchango wako Galip vrl na ASK-Q ni mkubwa na WA kipekee sana.
Nyie mmegeuka kuwa waalimu kwetu.
Lakini je unajua Malcolm Lumumba?
Mpumzishe MALCOM LUMUMBA ... Huyo ni mzeee wetu aliyekuwa anakaa nasi kwenye vioto akituhadithia .... Na tumejifunza vyema kwake ... Nahisi amenikua kidogo ... Na ametukua wengi ...huyo Mzee muacheni... NAMI nazeeka nawaachia vijana majukwaaaa ..... Ila akichapwa vizuriiii vizuri Ukraine narudi kutoa .. URAAAAAAA URAAAAAAA.......
 
Ain't nobody coming to save you Zelensky. No one came in February and no one sure as hell ain't coming now. Bye 👋

IMG_20220620_112259.jpg
 
Australia has sent the first four of 14 armoured personnel carriers to Ukraine as part of a $285 million aid package.

The M113AS4s were loaded into a Ukrainian aircraft last week after the former defence minister Peter Dutton promised the personnel carriers and 20 additional Bushmaster protected infantry vehicles in May.
View attachment 2266378

View attachment 2266379
KYIV ($1=29.61 Ukrainian Hryvnias) — Australia has promised Ukraine to provide 14 M113 APC units as military assistance in the war against Russia. The first four APSs have already been delivered and Kyiv is waiting for the remaining ten. The delivery of the first four units were confirmed by the Ministry of Defense of Ukraine and the Ministry of Defense of Australia, the latter publishing photos of the loading of the M113 on Antonov An-124 cargo aircraft nearly two weeks ago.
Kati ya watu wanaoteseka humu ni Pamoja na wewe. Nakusoma sana comments zako, inaelekea unaugua kabisa unaposikia NATO ikidhalilishwa. Yaani Unatafuta taarifa za kukupa MATUMAINI.

Unapokuwa shabiki Kindakindaki inakuwa na Madhara sana kwasababu unajikuta UNAUMIA MOYO kana kwamba hiyo vita ni yako.

Hata mimi nilikuwa kama wewe nikaona Ujinga
 
Kati ya watu wanaoteseka humu ni Pamoja na wewe. Nakusoma sana comments zako, inaelekea unaugua kabisa unaposikia NATO ikidhalilishwa. Yaani Unatafuta taarifa za kukupa MATUMAINI.

Unapokuwa shabiki Kindakindaki inakuwa na Madhara sana kwasababu unajikuta UNAUMIA MOYO kana kwamba hiyo vita ni yako.

Hata mimi nilikuwa kama wewe nikaona Ujinga
tunasema yanaoendelea huko kwamba Vita hii haitaisha leo wala kesho kama wewe na mimi tulivyotegemea ndugu. Ukraine wamegoma kusalendar. Kosa la Urusi ni underrate Ukraine, hawakutegemea counterpunch kama hii toka kwa Ukraine na marafiki zake wa Magharibi.

Meli ya kivita ya 3 imezamishwa una habari ndugu? je unajua gharama ya meli moja?
 

Attachments

  • 1655715877504.png
    1655715877504.png
    43.1 KB · Views: 6
Medvedev again 🌚

images (19).jpg

Question from the RIA Novosti agency:

“Recently, there have been many comments about how important it is for humanity to start discussing the issue of extending the START-3 Treaty with the Americans or a new agreement on limiting strategic potentials without delay. How do you think?"

Answer:

This will depend on the decision of the President of the country.

In turn, as a person who had a direct relationship with START-3 and signed it in 2010, I consider the time for new negotiations to be the most inopportune.

Even last year, the situation for negotiations on a new agreement was different, which was also mentioned by Vladimir Putin, who extended START-3 for 5 years by exchanging notes with D. Biden. And it was exactly like that.

(Jina kamili la POTUS ni Joseph Robinnete Biden Jr. Hakuna jina linaloanza na D kwenye majina yake, So hapa D imesimamia nini? Au kaamua kukiita hiki kijibabu cha baiskel "Dementia" 😂😂😂) tuendelee

And now everything: dead zone.
We don't have any relations with the USA now. They are at zero Kelvin.

And you don't need to defrost them today. And there is no need to negotiate with them yet. This is bad for Russia. Let them run or crawl and ask for it. And they appreciate it as a special favor. Otherwise, it looks like this: they are solid abominations to us, and we are to them - here, pity, the nuclear deal.

Unproductive, dangerous and seen as a sign of weakness. Let them truly appreciate such a dialogue and ask for it on all the streets and in the gateways.

By the way, there is another proven method of communicating with America on this topic - a shoe on the UN rostrum. Once upon a time it worked...

Sasa wale wanaofikiri baada ya Putin no More, watamkumbuka sana. Kuna wababe na wakali Mzee Putin Mtakatifu.
 
Hizi ndizo story za kwenye kahawa ambazo huwa tunasema

Wewe unahisi US ni dhaifu, Ila Putin hawezi kufikiria hivyo.

Labda tukumbushane si urus ilisema atakae toa misaada atapokea kichapo cha moja kwa moja? Vipi Kuna bomu lishatua US!
Na je unaiona marekani ikiacha kutoa misaada Ukraine? Unafikiri ni kwanini mpaka sasa hajachapwa?

Unahisi wewe unaijua urusi zaidi ya marekani?

Timizeni kwanza mliosema, then ndio mseme marekani ni dhaifu.

US yeye alisema urusi ikipiga hata nzi kwenye eneo ama nchi yoyote ilio chini ya NATO basi atakiona, vipi urusi kashapiga?

Hivi huoni mpaka sasa marekani ni mbabe maana anasaidia hata mtu asie muhusu, vipi ikitokea yeye kaguswa, itakuwaje


Mwisho, acheni story za kahawa, watu hizo ndizo kazi zao, assignments zimefanyika miaka na miaka na wameona wanaweza kupambana na urus, huwezi kumtaka mtu usie muweza.

Kwani we ulitegemea urusi kutoka jasho hivi?
We ni mwehu... NATO WAMEUNGANA NCHI 30 DHIDI YA NANI !!?? WANAJILINDA DHIDI YA NANI!!? ....JIPIGEE KIFUANI KUKEMEA HUO WEHU WENU SHEEEEENZY... MJIUNGE NCHI 30 DHIDI YA NCHI MOJA !!?? MLIONA NGUVU YAKE KATIKA VITA VYA PILI BE YA DUNIA MKAHANYA... MKAJIUNGA .... UMEBAKIZA AKILI YA KUTAWAZA TU ... NAYO UNAWEZA KUWA HUNA LABDA YA KUVUKIA BARABARA.
 
Tayari naona limesemwa huko juu nikilirudia itakuwa kiporo. Kwa ufupisho zaidi ni Overprinting. Kumekua na Ongezeko la dola nyingi sana kwenye mzunguko ndani ya mda mfupi, Hali inayopelekea mfumuko mkubwa wa bei.

Ukiangalia kiasi kilichoongezeka ndani ya hiki kipindi lau kama dola isingekuwa inatumika sana basi uchumi wa US unge+collapse kama jengo lililopigwa tetemeko.

Kingine nijazilize maelezo ya Ask-Q

Ku-Print fedha kupo kwa aina 2,
1. Ku-print fedha kuongeza fedha hizo kwenye mzunguko na
2. Ku-print fedha ku-replace zile zilizochakaa ambazo zipo ndani ya mzunguko.

Ya kwanza ikifanywa kwa fujo inaugharimu uchumi mazima due to hyper inflation.

Ya pili ni healthy kwasababu supply ya fedha inakuwa maintained na demand hivo value yake pia inakuwa preserved.

Alichokifanya US ni hiyo ya kwanza, kajaza lundo la dola kwenye mzunguko ndani ya mda mfupi.
Shukran MKUU
 
Binafs na ham sana ya kuona Civil wars za hawa watu. Wanaojifanya kuzijua sana haki za magasho kuliko haki za Raia wao kupata huduma za kijamii wanazozichezea kamari kwa jina la Ukraine.
Hujanizidi mimi MKUU yaan natamani sana sana sana EU na US kiumane
Nanaamini safari hii kwamambo yanavyozidi kubana huko kwahao wapuuzi wanaojiona wao wanaakili sana kitaumana tuu
Lamsingi PUT IN aendelee tu kukamatia hapo hapo alipokamatia
 
Mpaka Leo malengo ya "Coward Putin"hayajatimia.Zenensky Bado ni raisi wa UKRAINE, Kyiv bado ni mji mkuu wa UKRAINE."Coward Putin" amebaki kutishia kutumia nukes huku amejificha kwenye mashimo kama panya,na waoga wengine kama kina Hassan Nasrallah.Ni maombi yangu atakapofwetua button ya nukes ianze kumuangamiza yeye mwenyewe Hapo Kremlin 🤔
 
Hapo mkuu mrusi kujifanyia hujuma inakuwa na nguvu kuliko kama angefunga Kwa kusema nimeamua kufunga kwanini ni kwasababu

Akijifanyia hujuma maana yake kampuni za seamens watalazimika kuja kutengeneza sasa kama kuna vikwazo raia wa EU kipindi cha baridi hawata mlalamikia Putin Ila watawalalamikia viongozi wao Kwa kufanya maamuzi ya kujinga na hii itasababisha machafuko Kwa EU na kitu ambacho Putin anakitaka kama Putin akiamua yeye mwenyewe kufunga gas wananchi wa EU watashikamana na viongozi wao Kwa kuwa kitendo cha wao kukosa gas ni Kwa sababu Putin kaamua kufunga bomba la gas na Siyo maamuzi mabaya ya viongozi wao, sasa Putin hataki Kwa namna yeyote aonekane kuwa matatizo wanayopitia raia wa EU chanzo ni viongozi wao na Siyo putin
@Mathanzua na MR MAJANGA
Nime uelewa huu mjadala wenu watu mnapanguana kwahoja
Hongereni sana WAKUU
 
Back
Top Bottom