Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,192
- 13,736
Hawezi kukwambia maana hana cha kusema Mkuu,hawa wanachojua ni "Putin anakiwasha Ukraine" lakini ukimjia na hoja kama yako,hana jibu la maana atakalokupa.Sio imebidi ucheke tuambie tangia mmeanzisha uvamizi wenu kule Ukrain jeshi lenu la anga limefanya maajabu yapi mpaka sasa maajabu ya maana na sio kubomoa bomoa majengo tu ya Raia apana jeshi lenu la anga limefabya nini cha maana kwenye hii vita yenu mpaka sasa