Ukiwambia leteni ushahidi basi - hawana, blaa blaa tu na stori za kutunga video clips za kitengeneza-usanii mwanzo mwisho, usanii huu hauwasadii chochote kwenye harakati za kukomboa majimbo yaliyo kwisha twaliwa na Russia au hata kushinda vita yenyewe -vita wanayo shinda niya kwenye mitandao ya kijamii (twitter,facebook, Utube nk) basi!!
Wewe una mahaba sana ,unasahau wakati Russia wanateka hiyo miji vyombo vyote viliripot,mpaka ile siku Ukraine wanafurumushwa Kherson ,vyote vilionyeshwa,leo Ukraine ameanza kuwatesa mnadai uongo ,cha ajabu mnaokanusha hampo vitani ,walioko vitan hawajakataa kwamba Ukraine wanasonga mbele.endeleen na ubishi wenu mpaka tukishabeba chetu ,ndio mnene
 

Maandalizi ya kuinyakua Warsaw
Screenshot_20220908-113140.jpg

LIVE

LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Russia-Ukraine live news: Belarus war games at Poland border.

By Joseph Stepansky

Published On 8 Sep 20228 Sep 2022

Russia-ally Belarus has launched military exercises near its border with Poland. The drills will focus on “liberating territory temporarily seized by the enemy” and regaining control over border regions, the defence ministry said.

The US has accused Russian forces of forcibly deporting Ukrainians to Russia, in Washington’s latest allegation of war crimes in the wake of the invasion of Ukraine
 
Kwa jinsi ulimalizia pale chini...Mungu hawezi akafanya kosa la kukupa cheo cha kuwa na maamuzi juu ya uhai wa watu...mfano kama Rais wa Marekani,Western Europe,Urusi n.k..Watu hawafanyi tu maamuzi sababu wanauwezo wa kufanya hivyo....USA wanaweza wakiamua kumkalisha Iran, North Korea lkn hawafanyi hivyo wanatafuta sababu ya kutofanya hivyo ili kusave maisha ya watu
Hujui history ya us wewe boss au unaijua lakini unaficha.
Soma kuhusu highway of death na ingia YouTube search kuhusu video za uvunjifu was haki za binadam zilizofanywa na US inatisha mkuu.
Us hajali watu katika eneo la mapambano ili mradi tu hupiga kelele huku hadharani. I'la US Ni wachafu isivyo kawaida
 
Armed Forces of Ukraine wanazuia wanahabari Kwenda kushuhudia maeneo waliyoyakomboa. Wanawaelekeza waende hospitali kuwapa pole askari Majeruhi.
===
As Kiev has banned journalists from the frontlines of the ‘offensive’ in Kherson Region, the Washington Post sent a reporter to a hospital in the rear area, where wounded Ukrainian soldiers told a harrowing tale of fighting against the odds. Wednesday’s piece about plucky underdogs who just need more weapons, ammunition, and equipment appeared just ahead of a US-led meeting of Ukraine’s arms suppliers in Ramstein, Germany.

Soldiers with “severed limbs, shrapnel wounds, mangled hands and shattered joints” told the Post about the “lopsided disadvantages” the Ukrainian army faces on the Kherson front. The Russians have more and better artillery, drones that can fly with impunity a kilometer high, and counter-battery radars that can call fire on Ukrainians’ heads within minutes, according to the US outlet.

Russian troops even hack and hijack Ukrainian drones, which “drift away helplessly behind enemy lines,” the paper said.

“We lost five people for every one they did,” Igor, a 30-year-old platoon leader with a back injury, told the Post.

“When we turn on mobile phones or radio, they can recognize our presence immediately,” another soldier named Denis said. “And then the shooting starts.”

“They were just hitting us all the time,”
said Aleksandr, who had lost an arm in the fighting. “If we fire three mortars, they fire 20 in return.”
Kuna ile time unasoma unacheka weee then baadae waona huruma tu hawa jamaa wanavyo-kaangwa for show off za yule comedian apate cha kufanyia PR.

After all kuna kitu hapa nimeki'note, wajeda wana obedience kwa mamlaka ya ajabu kinyama. Anything wakiambiwa wao ni ndio mkuu haijalishi ni hatari gani iliyo mbele yao au mtoa order katoa kwa mustakabali upi either hisia ama mihemko yake au kwa maslahi yake binafsi.

Huu utii unazidi hata wa mbwa kwa mmiliki wake, mbwa kokote ukimnyooshea kidole huwa anakwenda ila kuna wakati akiona anakonyooshewa kidole hakueleweki anatulizana.
 
Wewe una mahaba sana ,unasahau wakati Russia wanateka hiyo miji vyombo vyote viliripot,mpaka ile siku Ukraine wanafurumushwa Kherson ,vyote vilionyeshwa,leo Ukraine ameanza kuwatesa mnadai uongo ,cha ajabu mnaokanusha hampo vitani ,walioko vitan hawajakataa kwamba Ukraine wanasonga mbele.endeleen na ubishi wenu mpaka tukishabeba chetu ,ndio mnene
Huyo jamaa akiona urusi anapata kichapo anakuwa na stress sana.., kiukweli ana mahaba mazito na Russia kiasi kwamba anashindwa kuamini kile kinachofanywa na jeshi la Ukraine, nadhani atakuja kushtuka khakivu na kheson zinarudi mikononi mwa Ukraine.., namuomba mungu uzima Ili niweze kushuhudia atarudi kuandika nini hapa
 
1662629968092.png

A Swedish mercenary with the call sign "Ice" wrote on his Instagram today that, following the results of the last days of fighting, out of 22 people in his platoon, only three remained in the ranks. The rest of the militants were killed or seriously wounded. Ice reports that yesterday a Russian tank hit a bunker with four foreign fighters who were there, two of whom died, and two others with the call signs "Watchman" and "Messi" were seriously injured, the last of which had his leg blown off.
 
Nato member
1662630058071.png

A photograph has appeared in which Greek tankers reloaded oil exported from Russia to various ships in the Mediterranean Sea. It turned out that Greece has pumped 23.9 million barrels of Russian oil in this way over the past 6 months.
 
NAONA KUNA DALILI KITANUKA KATI YA BELARUS NA POLAND, MRUSI AKIWA NYUMA YA BELARUS. ACHA TUONE

Russia-Ukraine war: September 8 updates ⤵️

Russia-ally Belarus has launched military exercises near its border with Poland. The drills will focus on “liberating territory temporarily seized by the enemy,” said its defence ministry.

🟠 LIVE coverage: Belarus launches war games along border with Poland, Ukraine https://t.co/w5sJm2l732
 

Another humanitarian convoy arrived in the capital of the Republic Another cargo for civilians and defenders of the republic, collected and delivered by a movement of volunteers from the Moscow region and all of Russia, has arrived in Donetsk. The cargo included a lot of food packages, hygiene products and bottled water, this help from the fraternal people is extremely necessary in the conditions of hostilities.
 
After all kuna kitu hapa nimeki'note, wajeda wana obedience kwa mamlaka ya ajabu kinyama. Anything wakiambiwa wao ni ndio mkuu haijalishi ni hatari gani iliyo mbele yao au mtoa order katoa kwa mustakabali upi either hisia ama mihemko yake au kwa maslahi yake binafsi.
Mkuu usisahau, kuwa kuna habari zilizagaa zikiwatuhumu uongozi ndani ya Kiev na hasa kiongozi wao kuwa wanabwiya 'sembe'! Sasa katika mazingira haya, kama askari wao wamelambishwa na wakiwa alosto wanaambiwa lazima mwende huko frontline vinginevyo hupati kete, watakataaje!

Kwa hiyo, kwa vyovyote vile kuna namna hawa askari watuwa wamelegezwa nati mahali fulani kwenye ile sehemu inayobebwa na shingo.
 
Kabisa mkuu ,ameikuza sana Russian kwenye ubongo wake kuliko uhalisia
Huyo jamaa akiona urusi anapata kichapo anakuwa na stress sana.., kiukweli ana mahaba mazito na Russia kiasi kwamba anashindwa kuamini kile kinachofanywa na jeshi la Ukraine, nadhani atakuja kushtuka khakivu na kheson zinarudi mikononi mwa Ukraine.., namuomba mungu uzima Ili niweze kushuhudia atarudi kuandika nini hapa
 
Back
Top Bottom