Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 2,397
- 3,070
This got me thinking, just me thinking, msiseme namfufua marehemuEveryone who wants to continue and works with the Russian Federation is being threatened by the United States — Putin
However, this means little when real leaders are at the helm of the country, the president stressed.
"Those who think about the sovereignty of their country and the well-being of their population."
@LLSeniors
After the Cold War, the United States declared itself "God's messengers on earth", without responsibility, only with interests - Putin.
@LLSeniors
Inatia hasira sana ukitafakariKauli imekaa ka ya ukombozi... em fikiria nchi ina rasilimali halafu masikini. Wadau wamekaa kando na Printer zao wanakuja kukupa hizo karatasi af wanachukua mali wanasepa nazo!
US kajiwekea kibindoni karibu Tani 8k za dhahabu. Ila ela za malipo mnapewa printer ikipiga kelele za prrrrrrrrr dah.
Tumejaribu kukuonyesha ushindi wa Ukraine na effect zake. Ukipenda sema alikuwa anashinda au alishindwa na kutokewa na hayoAmbao mko upande wa urusi mnawezaje kuwa kwenye same side na mtu wa namna hii?
hapo unakuta ni jitu moja linabadili id Kama dj. Mie huwa napita kimya kimya kuepusha kuambukizwa ujinga. Mkuu shituka unachat na mtu mmoja hapo.
9.9Mnampa ngapi out of ten huyu mdau...
NATO is like a ship that is sinking confidently. It’s strange, because they say: “Whatever you call a boat, it will float.” Only here is the alliance (union, association) - as if it were not an alliance at all, and the boat does not float, but sinks.
In order for the ship to reach its destination (for the alliance to achieve its intended goals), cohesion, support, and unity of views are needed. On board NATO - not a single "lifeline", but a lot of "ballasts" in the form of disagreements and misunderstandings.
1. Turkey, Finland and Sweden have different perceptions of "terrorism" and have not come to a consensus which groups are "with us" and which are "against us". And the captain of the ship, Mr. Stoltenberg, in turn, masterfully abdicated all responsibility, saying, they say, "who knew that there were such deep disagreements in the alliance."
2. Turkey and Greece, which are on the verge of armed conflict due to the status of the islands in the Aegean Sea.
3. Spain, which forgot for a moment that NATO is a defensive alliance, and was going to put the alliance's battle tanks in Ukraine and Germany, which, to my great surprise, is still able to block such decisions;
And all this is just the tip of the iceberg.
On June 29, a "historic and transformative" NATO summit is to be held in Madrid. However, there is a strong feeling that disagreements within the alliance cannot be resolved in a single meeting. Being in the same boat, the participants still want to sail in different directions. And no one hears. And the worst thing is that no one wants to hear it.
Keshawapoteza. I mean hii ni damage ya kihisia
Mnaanza kuwa waelewa sasa eeenhHayo majimbo yatakuwa sehemu ya Urusi (Kama Crimea), itakuwa vigumu kwa Ukraine kuyadhibiti tena.
Huenda Ukraine ikashinikizwa na wafadhili wake ikubali kuachia hayo majimbo ili Vita visitishwe.
Kwan hadi sahiv asingekuwa anasaidiwa na nato na usa angekuwapo?Wap Ukraine imetoa tamko la kujivunia?jamii ya kimataifa ndo tunashangazwa na Uwezo wao wa kuwapush back nchi kubwa kama Russia.Tulitegemea pia Russia ilitegemea kuiangash ndani ya mwezi.maajabu Russia ndo anarudishwa nyuma saiv.
Amesemaje MKUU mie naanza na koments za juu huko siachi hata mojaPutin katoa bonge la Speech, Media zetu za uswahilini hapa tunaojiita NAM wamekomaa na Ukraine kujiunga EU.
Hivi hawa nao wanapangiwa cha kutangaza eeh?
NATO wanangojea nn wakamzuie !!!??nafikiri leo Mrusi atachekelea ila awe tayari maana watu wa magharibi + USA watatafuta njia hata kama itakuwa ya muda mrefu ku fix hili aka killing softly. Wameona kama wangetoa silaha nzito basi vita ingekuwa balaa maana Mrusi anaweza kusababisha maafa zaidi ya Dunia, Hajali kurusha kumbora hata kama ni kwenye uwanja wa mpira wakati watazamaji wamejaa maelfu - Putin ni mtu dhaifu sana - watu dhaifu wenye mamlaka hupenda kuua bila kujali what next.
Kupigana na mrusi uwe tayari, ni kama ugomvi wa kitaa - bisibisi, yai viza, koleo, mundu, upupu, viwembe, nyundo, misumali, mpini nk - yaani chochote kilichombele yake anakitumia.
Hii ni tofauti kubwa na mataifa ya Magharibi kwa mfano US alikwenda IRAQ wakamaliza vita bila kuvunja vunja majumba na kuharibu miundombinu..... US pia akaenda Libya akamaliza vita bila uhalibifu mkubwa wa miundombinu kama huu hapa.
Ni kama Mrusi bado anapigana vita kizamani.
View attachment 2260433
View attachment 2260434
View attachment 2260485View attachment 2260484
nishawambia hamubishani na watu kwa fact hizi ni kenge zinakuja na id mpya tuone kuwa pro nato wapo wengi kumbe hakuna hata kumi hawafiki kabsa.Duh... we sio UPOPO kweli
NATO mnangojea nnMrusi anabomoa majengo, mitaro ya maji safi na taka... huu si ubinadamu. Vita imegeuka ya kuharibu miundombinu na majengo, this is not acceptable; kimataifa Putin kachemka vibaya sana.
Better yet alichokifanya na anachokifanya Putin kime prove maneno ya Nyerere na JPM uchumi wa kijamaa unao jitegemea. Alichonacho awe valued kulingana na utajiri wa rasilimali,vivutio na maeneo yake sio kuprint pesa kitapeli wakati huna lolote Bali siasa. This time round, dunia inabadilika sasa kutoka kwenye paper nakurudi kwenye assets kama madini, wanyama, ukubwa wa maeneo nchi kavu na bahari.This got me thinking, just me thinking, msiseme namfufua marehemu
Angekuwepo yule mwamba [JPM] inawezekana angetoa li speech moja la kibabe sana hadi tungeunganishwa kwenye sanctions, maana kwa akili zake yule........
Cha ajabu tungekuwa proud maana tushaaminishwa tunajiweza. Basi tu labda kusudi lilikuwa jema wacha tuishi humo. Yamepita hayo. Tutakukumbuka mwamba.
ukitaka kuyajua fanyeni mgawane Id hizo kila mmoja anadili na id moja. Lazima zingine zitamute sababu hatoweza kumudu replies za wadau.kwa hilo nakuunga mguu maaana akili zao na mawazo yanafanana... kama hujaangalia ID unaweza fikiri mwandishi ni yule yule
Yaan wanatakiwa wafe kwawingi sanaKwa hivyo kama hawataurithi ufalme wa Mungu ndio tuwalipue kwa mabomu na kuua watoto wao, mkapate darasa la Ukristo kama mnataka kujiunga, sio dini ya visasi vya kujilipua mabomu ili upewe mabikira.
Kingine, dini sio ya kulazimisha watu, hao mnaosema mashoga wa Ukraine ni haki yao kuishi watakavyo, hakuna aliyepewa jukumu la kulazimisha watu jinsi ya kuishi. Kwenye dini yenu ya waarabu mnatabia za kijinga kukata watu vichwa kisa haawabudu mambo yenu.
Acha awaue watazaliwa wenginePutin ni katili, anaua watu sababu he got nothing to loose at his age 70+, he has eaten his life already now teminating life of innocent youngsters below 35.
Tena kwa sababu ya kijinga kijinga za kale wakati wa Soviet union.