Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Haiwezekani tukasahau maana 1.5 trill ni kubwa sana
FB_IMG_1524139190848.jpg
 
Labda waliojitoa ufahamu AKA MAZWAZWA ndiyo watasahau huu wizi mkubwa katika historia ya nchi yetu kuliko wizi wowote mwingine wa kubwa la majizi na genge la majizi wenzie.
Mkuu wizi kama huu wahenga wanauitaga FUNGA MWAKA
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ingekuwa kikwete angemchora sura yake halisi lakini huyu wa sasa kaogopa hahaha
 
Kila siku kuita watu wapiga deal, mara tumelogwa, mara hii ndiyo Tanzania , tuombeane, mara machozi yananilenga, sasa mwisho wa siku balaa mara mia
 
Back
Top Bottom