Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Nahisi waliamua kufanya makusudi ili Wananchi Tujue nini? Kinaendelea baada ya Majigambo mengi kuwa Timedhibiti Mafisadi wote na mijizi
 
Ni zaidi ya EPA sijui hadi tunafika 2020 atakuwa katupiga kiasi gani
 
ila kipanya simuelew aisee.....kwenye radio pale asubuh ni kama yupo pamoja nao...lkn kweny katuni huku anakua tofauti fln hv......sasa sjui ni kwa nn
 
Back
Top Bottom