Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

1. Kutoka CCM(juu) kwenda CHADEMA(chini) ni rahisi lakini kutoka CHADEMA(chini) kwenda CCM(juu) ni shida!...
2. Upepo unavuma toka CCM kwenda CHADEMA.
 
Hata bendera ya Chadema imetandazwa kinyume na ccm imesinyaa
 
Ukiangalia kwa umakini upande wa chadema hauna surface ya kutosha, means wanaokuja huko wanabanana sana na pia nafasi ndogo inareflect ufinyu wa kufikiri. Daraja ni kivuko cha wanaotoka kwenye upeo mkubwa kwenda kwa wenye upeo na fikra ndogo.
far fetched idea
 
tafsiri yangu,
chadema ipo chini na ccm juu, kwa hivyo ili chadema iweze kuifikia ccm kimafanikio, inatakiwa kuwa/kufanya kazi ya ziada (thats why kuna ngazi)
Mzee ngazi ni tofauti na daraja hilo ni daraja na si ngazi
 
Japo kuna mto mrefu kati ya vyama ( tofauti ) lakini bado wanachama wanavuka kwenda ng'ambo zote
 
Afu hii Bendera ya CCM mbona ni kama sura ya mtu afu ana likidevu lirefu?

Na anaonekana kama anawaangalia CDM kwa hasira kali.
 
Kipanya nae si atangaze nia au aombe kukarbishwa malangoni tu.
Hapa anamnanga yule aliyekataa ujinga wa kuomba kufunguliwa malango?
Sasa nimeelewa lengo la wanachadema wengi wanapenda kuichonganisha CCM... Ili waokote makapi..
Shame on you all
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…