Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Tasfiri yangu ni hii...

1/Daraja la kisiasa limejengwa kuruhusu wanasiasa kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine baina ya CCM na CHADEMA.

2/Mwelekeo wa hilo daraja unaonyesha kuna wepesi(Mteremko) zaidi kutoka CCM kwenda CHADEMA.

3/Mwelekeo wa daraja unaonyesha Uko imara zaidi kwenye kingo za upande wa CHADEMA kuliko upande wa CCM(Ukijenga picha kubwa kuwa ni salama zaidi kisiasa kuhamia CHADEMA ukitokea CCM kuliko kutoka CHADEMA kwenda CCM.

4/Mlingoti wa bendera wa CCM unaonekana umelegea, kuchoka na kuinama kiasi cha kutaka kuanguka, wakati wa CHADEMA uko imara zaidi. (Hii inatoa tafsiri kuwa, CHADEMA ina uungwaji mkono zaidi kijamii kuliko CCM au Kisiasa CHADEMA ndani wako imara zaidi kuliko CCM).
 
Ukitoa tafasiri tofauti na ufipa tu WAnakuja na povu!
Tafasiri; kutoka CCM kwenda CHADEMA ni rahisi and vice versa is true!
Na ukiangalia ukuta wa CCM ni imara kuliko wa CHADEMA ( kuondoka kwa viongozi kutoka CCM to CHADEMA hakuna impacts kubwa sana kutokana na kuwa na viongozi wengi dhabiti.
 
Licha ya kwamba katikati ya hizo kambi mbili kuna daraja kuonyesha ni kuwa ni ruksa kuhamia upande wa pili, hebu angalia mchoro ulivyochorwa upande wa CCM uko juu (mwinuko) wa CHADEMA uko chini (bondeni). Inawezekana ni lugha inayoonyesha kuwa ni rahisi kushuka bondeni kuliko kupanda mlimani na kuna vingi vitakavyo teremka bondeni.
Umeona mbali m,baba
 
Tasfiri yangu ni hii...

1/Daraja la kisiasa limejengwa kuruhusu wanasiasa kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine baina ya CCM na CHADEMA.

2/Mwelekeo wa hilo daraja unaonyesha kuna wepesi(Mteremko) zaidi kutoka CCM kwenda CHADEMA.

3/Mwelekeo wa daraja unaonyesha Uko imara zaidi kwenye kingo za upande wa CHADEMA kuliko upande wa CCM(Ukijenga picha kubwa kuwa ni salama zaidi kisiasa kuhamia CHADEMA ukitokea CCM kuliko kutoka CHADEMA kwenda CCM.

4/Mlingoti wa bendera wa CCM unaonekana umelegea, kuchoka na kuinama kiasi cha kutaka kuanguka, wakati wa CHADEMA uko imara zaidi. (Hii inatoa tafsiri kuwa, CHADEMA ina uungwaji mkono zaidi kijamii kuliko CCM au Kisiasa CHADEMA ndani wako imara zaidi kuliko CCM).

Aisee uko vizuri hata hiyo milongiti ya bendela hiko strong
 
Tasfiri yangu ni hii...

1/Daraja la kisiasa limejengwa kuruhusu wanasiasa kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine baina ya CCM na CHADEMA.

2/Mwelekeo wa hilo daraja unaonyesha kuna wepesi(Mteremko) zaidi kutoka CCM kwenda CHADEMA.

3/Mwelekeo wa daraja unaonyesha Uko imara zaidi kwenye kingo za upande wa CHADEMA kuliko upande wa CCM(Ukijenga picha kubwa kuwa ni salama zaidi kisiasa kuhamia CHADEMA ukitokea CCM kuliko kutoka CHADEMA kwenda CCM.

4/Mlingoti wa bendera wa CCM unaonekana umelegea, kuchoka na kuinama kiasi cha kutaka kuanguka, wakati wa CHADEMA uko imara zaidi. (Hii inatoa tafsiri kuwa, CHADEMA ina uungwaji mkono zaidi kijamii kuliko CCM au Kisiasa CHADEMA ndani wako imara zaidi kuliko CCM).
mkuu umenifanya nirudi nikaangalie tena picha
 
View attachment 622903
wataalam wa lugha za picha kazi kwenu


Nionavya mimi:-

Angalia kwanza CCM iko mlimani, CHADEMA iko bondeni. Hii inaonyesha urefu kwenda juu kwa maana ya umri.

Bendera ya CCM imeenda upande wakati ya CHADEMA imesimama wima.

Sakafu ya ccm inabongonyoka na kwamba watu wanaishara ya kuanguka kutoka kule juu na kutumbukia kwenye shimo lisilokuwa na mwisho. Hii ni kwamba ccm si mahala salama kwa binadamu isipokuwa labda wachache waliosimama kwenye kushoto sana ingawa pia slope iliyopo inaashiria wataporomoka tu ni suala la muda tu.

Sakafu ya CHADEMA iko flat na stable kwa maana ya kwamba ni mahala salama kwa uhai.

Neema ni kwamba kuna ngazi inaanzia pale wanapoporomokea ccm, ambayo, iko imara na slope ya ngazi hiyo inawaelekezea kwenda CHADEMA.
Ni kwamba watakaoiona hiyo ngazi Imara na kuifuata watafika CHADEMA salama na wataokoka lakini watakaoshindwa kuitumia, lazima wapotee completely hata wasionekane tena.

KWA MANTIKI HIYO, CHADEMA NI MAHALA SALAMA WAKTI CCM NI LANGO LA MAUTI! SASA WANACCM WANAOTAKA KUISHI, BORA WAHAMIE CHADEMA KULIKO KUSUBIRI MAUTI YAO KULE!
 
Tasfiri yangu ni hii...

1/Daraja la kisiasa limejengwa kuruhusu wanasiasa kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine baina ya CCM na CHADEMA.

2/Mwelekeo wa hilo daraja unaonyesha kuna wepesi(Mteremko) zaidi kutoka CCM kwenda CHADEMA.

3/Mwelekeo wa daraja unaonyesha Uko imara zaidi kwenye kingo za upande wa CHADEMA kuliko upande wa CCM(Ukijenga picha kubwa kuwa ni salama zaidi kisiasa kuhamia CHADEMA ukitokea CCM kuliko kutoka CHADEMA kwenda CCM.

4/Mlingoti wa bendera wa CCM unaonekana umelegea, kuchoka na kuinama kiasi cha kutaka kuanguka, wakati wa CHADEMA uko imara zaidi. (Hii inatoa tafsiri kuwa, CHADEMA ina uungwaji mkono zaidi kijamii kuliko CCM au Kisiasa CHADEMA ndani wako imara zaidi kuliko CCM).
Kama tunaitakia mema nchi yetu lazima tufurahie kuwa na upinzani makini. Ila huu upinzani uliopo mtihani
CCM INAKUFA
 
Back
Top Bottom