Kichaafulani
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 1,295
- 1,275
Yanaendaje sasa kwa mfano?
Bas saawa mdada!
Yanaendaje sasa kwa mfano?
Mkuu jukwaa la wakubwa ndio lipi..maana mimi mwenyewe ni mgeni humu
nenda PM mwambie invisible kuwa unataka kujiunga na jukwaa la wakubwa atakuunga utawaona wakubwa walivyoimarika kwenye hiyo sekta.....!!!!
Baby tafadhali usirubuniwe huyu kibo 10 inabidi niongee na mods apigwe ban
Kibo 10 plz achana na mke wangu atoto usipende kupigwa ban Mkuu
Hawa wazee wana tamaa sana wamekua chanzo cha kuvunjika kwa ndoa za vijana sasa kwa taarifa yake hapa ameshndwa
Wewe kibo ten nakusihi achana na mke Wang "atoto "yatakayo kukuta sipend kuweka hapa ni hayo tuu Mkuu
Baby usikubal tafadhali
Kwan mke wangu kasema anaumwa halaf wewe kua na adabu na wake za watu, ulikataza mwenyewe kuwa mtu haruhusiwi kutongoza mke /mme wa mtu sasa ww ndo unajifanya kidume sio plz acha hii tabia mara moja
Mbona kachelewa nimeshafaidi sana hahaha..Dogo anamkwara atoto kausha usitoe siri hata kwa bunduki
Unachokitafuta hukipati ng'oooooo!
Unachokitafuta hukipati ng'oooooo!
Mbona kachelewa nimeshafaidi sana hahaha..Dogo anamkwara atoto kausha usitoe siri hata kwa bunduki
"Mambo baby wangu"naona kibo 10 anazidi kukuchafua dear
Mwambie huu si mkwara hii ndoa haivunjiki kama alivo vunja za wengine hatua kali dhidi yake zitachukuliwa tupo imara sana
We shaurilo ila usijerudi kunililia nikuombee msamaha!