Special Thread: Usiku wa mahaba

Special Thread: Usiku wa mahaba

sasa ni zamu yangu. Messenger nae ana haki ya kula... kiwatengu alinituma kwako, nikakupeleka, akakushindwa!!
Shame on you kiwatengu! Lol lol...
Ulishindwaje kumtawanya huyu mtoto mlaini laini hivi?
hahahah kumbe ni kweli ule usemi unaosema makuadi huwalaga mteja wao heheeheh...taratibu mme wangu asipaone hapa maana ndoa tamu jaman lol
 
kuna watu hawajui kuzungumza na wapenzi/ wake zao pindi wanapohisi kuna jambo linawakera.

mfano kuna kitu hukipendi kwa mpenzio(me) wanaume wengi wanapenda saana kukaa kwenye kochi/kitandani mguu mmoja umekanyaga chini mwingine kaulaza juu ya kochi sasa wewe ke tumia hii nafasi wakati huo mmekula chakula mmeshiba mmeoga fresh uwe na uso wa furaha ktkati ya miguu yake pale kaa pale then unamlaalia hiiivi automatically hata kama we ni mfupi kichwa kitagusa kitovu chake then mikono yako 2 izungushe kiunoni kwake itakutana mgongoni atajikuta tu naye kaizungusha mikono yake akukumbatie.

hapo ukinyanyua macho juu unamtizana naye akitizama chini tu macho yenu yatagongana..tabasamu kidogo sasa alaaa mwambie (godson) G. najupenda sana mpenz/ mme wangu sijuti kuwa na wewe ntakupenda nakukuthamini daima. lazima ajibu maneno matamu , hapo sasa unamwambia sweeewtyyu kuna kitu hakinipendezi mwenzio!! atajibu nini mamaa/ baby/ darling unachelewa kurudi nyumbani, ukija unakuwa busy na whatsap/jamii forum mawasiliano yako na wanawakw wengine mi yananitia mashaka na naogopa yatapunguza mapenzi yetu, kitu gani umekosa kwangu jaman mpige kabusu kidogo uone kama hajakuambia mwaj waukweli ndo ananichelewesha mamaa but ucjal naacha kuanzia leo. but ukiona kabadilika tu akirudi nyumbani uwe na mapenz hothot, room safii mashuka hayanuki shombo ataona kule anapoteza mda. hata mwanamke ukimuaproach in a romantic way ukamwambia jambo ambalo hupendi thwn malizia na mechi yenye bashaaha umeua bendi..
Dah hii nimeipenda kwa kweli
 
Duuuuuh nataka kujua hawa watu umewamention au? Watapata notification??
Najuuuuutaaaaaa kukufahamu leo nitakosa bara na pwani

Hao watu ni majirani zetu niliwaita tu waje washeherekee hiyo good news pamoja nasi.
 
Mmmhh. Yaan kama vile naona halufu ya ujane.
Nitaachwa ujue
Bora uachwe tu maana nakutafuta kama sana....

Nimekumiss kama wakazi wa antarctica walivyolimiss jua...

Nakupenda kama neno penda lilivyo...

Dah....
 
Bora uachwe tu maana nakutafuta kama sana....

Nimekumiss kama wakazi wa antarctica walivyolimiss jua...

Nakupenda kama neno penda lilivyo...

Dah....

Lol kwa haya mashairi sijui nijilete mwenyewe...
 
Bora uachwe tu maana nakutafuta kama sana....

Nimekumiss kama wakazi wa antarctica walivyolimiss jua...

Nakupenda kama neno penda lilivyo...

Dah....

Jirani!!! Haya kila la kheri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom