Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Mtambulishe kabsaa acje akaleta shida hapa
Aaaah hapa hawezi kuvuruga tena!
Mtambulishe kabsaa acje akaleta shida hapa
Aaaah hapa hawezi kuvuruga tena!
Yaani we mtoto sijui hata nikufanyeje yaani, nimekushindwa kabisaaaa, hivi hiyo warning hapo juu hukuiona??? Utanilipa nakwambia huyu ndege akipeperuka, sasa hao ulowataja hapo wanahusikaje kwa mfano??? Kaone vile ndio maana kacute.
Sikuona mamy nithameheee ata ivyo wax hajaona kuw wew una mtu na pia mtalakwa .
Vip ana honga?
Nina imani hataweza ataisoma namba mwk huu
Baby njoo huku kuna mtu anataka kuvuruga ndoa yetu cute b
Yaani huyu haongi bali anamwaga mifedha, ukisikia kismati sasa ndio hiki, huyo alonitaliki kwanza nani? Alafu wewe mtoto wewe hebu uwe na adabu mara mojamoja sawa? Haya muamkie shemeji yako.
Nishamwamkiaa hahahaaaa ngoja na mimi nikatafutee
Shemeji shikamoo
alikuacha???????
"niliyekampenda" wewe utakuwa wa kuleeeeee
"mama" tena? Unanizeesha bwana niite "baby"
Alafu usisahau na miamala tafadhali.