Special Thread: Usiku wa mahaba

Special Thread: Usiku wa mahaba

hujampa vyote bado ukimpa vyote atatulia kama maji mtungini.hembu fanya mlambishe uone mpaka kuanzisha hee thread nikutapatapa kwakwe tuu .

ww mpe bana kwani kuna ubaya gani si nimumeo wa kufa na kuzikana?? kwenye shida na raha??

lege hadi nimeongea hivi jua nimempa mengii..nimempa kila kitu kwa kweli sema hataki ridhika woii ngoja aangaike dunia itamfunza badae atarudi mwenyewe
 
sasa tunafanyaje bhanaa!
we mtoto wa mujini bwana hebu korokochoa fasta fasta kabla sijakwea meli kwenda kanda ya ziwa!!:wacko:

hahahah ukiona hivo nimebanwa pabaya sikurupuki jaman kwa huyu mwanaume anajua kukaba...plzz ukirudi kanda ya ziwa usisahau kuja na satoo
 
hahahah ukiona hivo nimebanwa pabaya sikurupuki jaman kwa huyu mwanaume anajua kukaba...plzz ukirudi kanda ya ziwa usisahau kuja na satoo

Kanda ya ziwa nifuate nini bhana wakati nimeshafika huku pesa zinakotokea wewe?

Btw, nilikuwa nimeshafika Jangwani, ngoja tu nirudi tu nikapumzike!

Ni kama tu umenipiga kibuti.....
 
Kanda ya ziwa nifuate nini bhana wakati nimeshafika huku pesa zinakotokea wewe?

Btw, nilikuwa nimeshafika Jangwani, ngoja tu nirudi tu nikapumzike!

Ni kama tu umenipiga kibuti.....
Excel nawe kumbe ni wa kanda ya nyonyo?
 
Last edited by a moderator:
Kanda ya ziwa nifuate nini bhana wakati nimeshafika huku pesa zinakotokea wewe?

Btw, nilikuwa nimeshafika Jangwani, ngoja tu nirudi tu nikapumzike!

Ni kama tu umenipiga kibuti.....

hahahha mwanaume akati tamaa hivyoo..tuendelee na safari yetu ya matumainii
 
hahahha mwanaume akati tamaa hivyoo..tuendelee na safari yetu ya matumainii

Najua wapi pa kukushika uachie!

We hata sio mgumu unaponiona. lol lol...

enzi za kiwatengu. Those days bwana ulikuwa matawi mpaka Rich Pol akauza xtrail sababu yako!
 
Last edited by a moderator:
Najua wapi pa kukushika uachie!

We hata sio mgumu unaponiona. lol lol...

enzi za kiwatengu. Those days bwana ulikuwa matawi mpaka Rich Pol akauza xtrail sababu yako!

hahah ndo hivo mwenye kisu kikali ndiye mla nyama hatimae kibo10 akajilia nyama yake....huhuu ila i miss those days
 
hahah ndo hivo mwenye kisu kikali ndiye mla nyama hatimae kibo10 akajilia nyama yake....huhuu ila i miss those days

Ila ulituamsha tuamsha wengi we mtoto...

Hivi kwanini kiwatengu alikushindwa?
 
Last edited by a moderator:
kula kuliwa kitu gani...hahah wee uoni hata sie saivi tunawala sisiem tunapiga kura ukawa
sasa ni zamu yangu. messenger nae ana haki ya kula... kiwatengu alinituma kwako, nikakupeleka, akakushindwa!!
shame on you kiwatengu! lol lol...
ulishindwaje kumtawanya huyu mtoto mlaini laini hivi?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom