BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #481
Hahahahaha lol! umeedit wewe haraka haraka baada ya kujistukia, ila naomba Brazil wasiyaage mashindano mapema kiasi hiki. Halafu huyu Neymar naye ugomvi na kiburi uwanjani kinamuharibia sana na si ajabu kinaweza kuigharimu timu.
Hapa hujasoma btn lines lol.....nimesema pole yetu hata nami linanigusa......