Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Hahahahaha lol! umeedit wewe haraka haraka baada ya kujistukia, ila naomba Brazil wasiyaage mashindano mapema kiasi hiki. Halafu huyu Neymar naye ugomvi na kiburi uwanjani kinamuharibia sana na si ajabu kinaweza kuigharimu timu.

Hapa hujasoma btn lines lol.....nimesema pole yetu hata nami linanigusa......
 
Hahahahaha lol! umeedit wewe haraka haraka baada ya kujistukia, ila naomba Brazil wasiyaage mashindano mapema kiasi hiki. Halafu huyu Neymar naye ugomvi na kiburi uwanjani kinamuharibia sana na si ajabu kinaweza kuigharimu timu.

Haaaa!! Jamani sijaedit BAK unanisingizia..... Siyo kibur vinatia hasira sana watu wanakukamia kama nini ukiona nawe ndo umeibeba timu loh uvumilivu lazima uwe ziro si unaona hata jana Messi alikuja kuwaka alivyoona vimemzidi.... Ila huku Latin America wanacheza mpira wa rafu sana toka mashindano yaanze kila game ni udava tu.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Carlos Bacca...

Centre foward ya Sevilla hiyo...

Ooh!! Nilisikia jina hilo nikafikir nimeskia vibaya aiseee halafu wote wanachezea Spain wakikutana huko kabifu kanaweza zaliwa tena....
 
Na referees na linesmen wao (latin America) mara nyingi wanashindwa kumudu mchezo hivyo kusababisha vurugu wakati mechi inaendelea na hata ikimalizika. Sasa Neymar kishapewa Red card atakosa mechi ifuatayo na kama watapita atakosa na ya ngwe ijayo, wakitolewa anaweza kabisa kubebeshwa lawama za timu kushindwa kusonga mbele.

Haaaa!! Jamani sijaedit BAK unanisingizia..... Siyo kibur vinatia hasira sana watu wanakukamia kama nini ukiona nawe ndo umeibeba timu loh uvumilivu lazima uwe ziro si unaona hata jana Messi alikuja kuwaka alivyoona vimemzidi.... Ila huku Latin America wanacheza mpira wa rafu sana toka mashindano yaanze kila game ni udava tu.....
 
Na referees na linesmen wao (latin America) mara nyingi wanashindwa kumudu mchezo hivyo kusababisha vurugu wakati mechi inaendelea na hata ikimalizika. Sasa Neymar kishapewa Red card atakosa mechi ifuatayo na kama watapita atakosa na ya ngwe ijayo, wakitolewa anaweza kabisa kubebeshwa lawama za timu kushindwa kusonga mbele.

Kweli referees nao siyo kabisa..... Mmh!! Mi nawaombea wapite tu maana hizo lawama zake atakazopewa so mchezo.....
 
Hahahahaha lol! umeedit wewe haraka haraka baada ya kujistukia, ila naomba Brazil wasiyaage mashindano mapema kiasi hiki. Halafu huyu Neymar naye ugomvi na kiburi uwanjani kinamuharibia sana na si ajabu kinaweza kuigharimu timu.

Neymar Jr. ni mchezaji mzuri sana.

Anachoniboa mimi ni hiyo attitude yake.

Halafu anapenda mno kulia lia na kujinagusha na kujifanya kaumia sana.

Akiacha hayo ma extracurricular activities na kulenga katika kucheza soka tu nadhani kiwango chake kinaweza kupanda sana.
 
Wapendwa wangu muwe na wakati mwema ngoja mi nianze siku yangu......
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Commentators hapa akiwemo Ruud Gullit wameshaanza kumchora kwamba si ajabu utovu wake wa adabu uwanjani ndio umeshaigharimu timu na hivyo inaweza kushindwa kuendelea kwenye mashindano haya.

Neymar Jr. ni mchezaji mzuri sana.

Anachoniboa mimi ni hiyo attitude yake.

Halafu anapenda mno kulia lia na kujinagusha na kujifanya kaumia sana.

Akiacha hayo ma extracurricular activities na kulenga katika kucheza soka tu nadhani kiwango chake kinaweza kupanda sana.
 
Yaani nimeamka kuangalia afu wanarudisha machungu yale yale ya mwaka jana. Hili litimu hili khaaaaa

Haha relax bro, wamecheza vizuri tangu WC, they were bound to lose at some point, na wamepoteza kwa team bora, japo walicheza irresponsibly. Kitu kingine ni kwamba, hii michuano sio ya Brazil, historia yao humu si nzuri kulinganisha na michuano mingine mikubwa.
 
According to CONMEBOL Neymar will only be suspended for 1 game because red cancels yellow, unless a new decision is taken.

CHxL-mYWoAANRuQ.jpg
 
Back
Top Bottom