Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Kundi sasa limekuwa tamu hili...

Itakuwa burudani sana Peru naye akimchapa Venezuela...

Maana hiyo mechi ya mwisho ya Brazil vs Venezuela iwe mtoto hatumwi mnadani...
 
Brazil's winning streak of 11 games since the disastrous 7-1 loss to Germany in the semi-finals of their home World Cup is over.
 
BAK pole yetu looh!!!! Kimoko only.....

FT Col 1- 0 Brz
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Neymar red....nani wa Colombia Red....hivi inaruhusiwa filimbi ya game end imelia kisha refa kutoa kadi? Sielewi hapa.....
 
Na leo wakifungwa na Neymar tayari ana yellow mbili hivyo mechi ijayo hachezi wanaweza kabisa wakayaaga mashindano katika hatua ya mwanzo kabisa. Wamekosa goli la wazi kabisa.

Brasil wamekosa magoli mawili ya wazi kabisa!
 
Neymar red....nani wa Colombia Red....hivi inaruhusiwa filimbi ya game end imelia kisha refa kutoa kadi? Sielewi hapa.....

Unapigwa kadi kama kawaida...

Hata shabiki ukizingua refa anakupiga kadi...
 
Kwa kunipa pole mimi, inaelekea kambi yako ni Argentina, haya banaa... kushinda mchezo ujao ni lazima vinginevyo kuna uwezekano wa kuyaaga mashindano mapema na hivyo kuendeleza maumivu katika Taifa ambalo linapenda soka kuliko Taifa linguine lolote hapa duniani.

BAK pole yetu looh!!!! Kimoko only.....

FT Col 1- 0 Brz
 
Mnakumbuka incident ya Zuniga kumtandika Neymar kigoti cha mgongo wakati wa World Cup hadi akamvunja...

Nahisi ndio hasira wanataka kuzimalizia leo...

Kumbe aiseee!! Unakumbukumbu weyeee!!!
 
Kwa kunipa pole mimi, inaelekea kambi yako ni Argentina, haya banaa... kushinda mchezo ujao ni lazima vinginevyo kuna uwezekano wa kuyaaga mashindano mapema na hivyo kuendeleza maumivu katika Taifa ambalo linapenda soka kuliko Taifa linguine lolote hapa duniani.

Hapa hujasoma btn lines lol.....nimesema pole yetu hata nami linanigusa......
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndiyo tatizo la kumtegemea mfungaji mmoja tu, bado wana safari ndefu sana kurudi katika soka lile tulilozoea kuliona la miaka ya nyuma au si ajabu ndiyo limeshapotea.

Brasil wamekosa magoli mawili ya wazi kabisa!
 
Back
Top Bottom